Dan Odhiambo Osok ataendelea kukaa rumande hadi Julai 8 atakapopelekwa tena Mahakamani kwa tuhuma za kumnajisi Mwanafunzi wa Kike
Mahakama iliamua kutompa dhamana baada ya Mwendesha Mashtaka...
Leo tena,Brazil imenyukwa na Uholanzi. Hadi naingia hapa ilikuwa mbili bila. Uholanzi wametwaa nafasi ya tatu na Brazil ya nne.
Argentina ya Messi haikufungwa na Uholanzi. Argentina ni imara...
Kwa mtu aliefuatilia mechi kati ya Algeria na Senegal, Algeria ni mapande ya Mtu jamani yameshiba kisawasawa ukimpush tegemea kudondoka tu 😀😀 ,,inshort majamaa yana nguvu halafu marefu. Akina...
Nahodha wa Taifa stars Mbwana Samatta amesema Afcon ni mashindano makubwa yanayohitaji umakini na mipango na kwa maana hiyo Taifa stars bado ina safari ndefu sana kuyafikia mafanikio ya kweli...
TAIRONE SANTOS DA SILVA. Ni mchezaji wa zamani wa vilabu vya
:
[emoji778]2009-12: Esporte: Mechi 18
[emoji778]2012: Cerâmica: Mechi 0
[emoji778]2013: Canoas: Mechi 7
[emoji778]2013: Cianorte...
Ligi ya Mashujaa mtaa kwa mtaa mkoani Lindi iyozinduliwa hapo juzi tarehe moja na mkuu Wa wilaya ya kilwa ndugu Christopher ngubuyagai imeendelea hapo Jana kwa kuheza michezo kadhaa ambampo...
Watanzania bhana yaani kila ukipita pamoja na Wachambuzi wenu Uchwara utasikia kuwa eti leo Taifa Stars a.k.a Makonda CCM FC huko Misri itaifunga Algeria na Kusubiria Best Loser ambapo Tanzania...
FOXES REJECT £70M MAGUIRE BID
Manchester United’s improved £70m bid for Harry Maguire has been rejected by Leicester, Sky Sports News understands.
United moved ahead of rivals Manchester City in...
Nimemwangalia kijana wetu anaecheza kwenye ligi bora duniani huko uingereza ama kweli Benchi la ufundi la Taifa stars halipo serious pale hatuna mchezaji ndugu zangu
Yule mambo ya mpira sidhani...
Ameeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo...
Paul Makonda si mtaalamu wa saikolojia, Paul Makonda hana taaluma ya ukocha wa mpira wa miguu.
Lakini anapewa airtime ya kutosha kwenye timu
ya taifa ilihali tunao legendary kibao kama Ally...
Timu ya mpira wa kikapu ya Tanzania imefungwa mechi zote kule UGanda kwenye mashindano ya Kanda ya tano afrika.
Kenya ilishika nafasi ya kwanza,ikifuatiwa na Misri, Uganda, Rwanda na mwisho...
Nakwepa sana kitu kinaitwa chuki, nakwepa mno visasi... Chuki huzaa kisasi na kuviziana.... Kuombeana mabaya na kushindwa
Kama Taifa tulipitia vipindi tofauti vya chuki... Achana na chuki ile ya...
mimi ndimi.
Hawa mapimbi ni timu yangu ila kwasasa nataka nihamie niende man city!
hawa makima kusajili wanasajili wachezaji wa kawaidaaaa, utadhani wanaenda kushindana na NAMUNGO FC!
kwa style...
Wadau nadhani yaliyotokea Misri kwa Timu ya Taifa sote ni Mashahidi.Timu imecheza mechi 3 ,imefungwa jumla ya magoli 8-2 na kuwa ya mwisho ktk kundi lake na kisha kutupwa nje ya mashindano raundi...
Habari wanajamvi?
Kwa bahati mwaka huu tumefanikiwa kuingia AFCON ili hali mi mpaka sasa sijui tumpe nani sifa za mafinikio hayo ya kuiwezesha timu yetu kwenda huko kwa mafarao. Nashindwa wa kumpa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.