Ndio hatuta shiriki tena Miaka 50 ijayo.Ngoya tusubiri tuone wabunge walienda kufanya nn misri.Hapo ndo tutajua ,Hiii nchi tunasafari ndefu sana.
Sijapata kucheza mpira katika ngazi ya ligi kuu...
Wandugu huyu aliyesema kwamba timu ya taifa haina lishe hajui kitu,tatizo nililoona ni stamina ,kocha alifanya kosa kupanga wachezaji bila kuwapa mbinu ya kucheza na majamaa yamevimba kama wacheza...
Wakuu nimefuatilia sana mitazamo ya wapenda masumbwi,karibu asilimia tisini walishangaa kupigwa kwa Antony Joshua
Kama kawaida yangu huwa sipendi kufuata mkumbo,ilinibidi nijiridhishe nione ubovu...
Kwa kumtuma huyo Bashite eti sijui akafanye nini huko Misri kwenye mashindano ya AFCON ndo karoga timu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, huyo Bashite ndiye anayeenda kuitia timu uvivu mwili mzima na...
Mkurugenzi wa TBC anaitwa Dr Ayubu Ryoba , ni msomi wa juu kabisa , ambaye ndani ya TBC ndiye muongoza njia , hawezi kukwepa lawama ya jambo hili.
Taarifa za awali zinaonyesha kwamba kitendo cha...
Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema miongoni mwa sababu iliyochangia Stars kupoteza mchezo wa kwanza jana dhidi ya Senegal ni lishe duni ya wachezaji wetu.
Spika Ndugai...
Amepokea kichapo kikali raundi ya saba Ruiz amchapa kwa knockout baada ya kumdondosha mara nne
:::::::::::::::::
Kabla ya hili pambano baadhi ya mashabiki wa Joshua kwenye mitandao mbalimbali...
Nimejaribu kumsikiliza Karia marangingi nashindwa kujua mfumo wa uteuzi wa Rais wa TFF upoje ?
Nani anamteua Rais wa TFF?
Majina yanapendekezwa na nani?
Hili ni swala la kitaifa na lina umuhimu...
KWANGU MIMI TOP 5 NI HII PALE TAIFA.
5-SIMBA 0-1 KAGERA SUGAR.
4-SIMBA 1-o YANGA aka NDALA.
3-SIMBA 3-0 JS SAOURA.
2-SIMBA 2-1 AS VITA CLUB
1-SIMBA 3-1 NKANA FC.
ZAKO BORA NI ZIPI BILA UPENDELEO???
Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia...
Kocha Amunike ametoka kwao kuja kutuharibia Taifa Stars. Kawaacha Afcon Ajibu na Mouse eti hawana nidhamu. Tumeona makocha wangapi wakifanya kazi na wachezaji wasiokuwa na nidhamu lakini wanacheza...
Tokea Uhuru hata leo mmekwenda afcon mara mbili tu na bado hamjui hiyo ni rekodi kwenu na ndo heshima yenu hiyo, bahati mbaya nyie siyo watu was rekodi na rekodi kwenu si lolote tofauti na wenzetu...
Spika Ndugai pamoja na wabunge wote walioenda Misri kuishangilia Taifa stars wamerejea na kutoa shutuma nzito kwa kocha Amunike.
Juma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko...
Mpira una misingi yake na kanuni zake ili timu ifanikiwe lazima iwe na wachezaji wenye uwezo na nidhamu..Si hivyo tu bali hao wachezaji wawe na misingi ya mpira toka chini mpira sio kubahatisha...
Mwakyembe bado hajasaidia tasnia ya soka hiyo sheria inakandamiza soka na inaingilia mambo ya soka.
Serikali inatakiwa iwe na mpango mkakati wa kuandaa vijana ikiwemo na kujenga vyuo vya michezo...
Timu ikifanya vizuri kwenye mechi fulani, PONGEZI apewe Dkt Magufuli na Mwenyekiti wa kamati ya hamasg, Makonda. Timu ikifanya vibaya LAWAMA apewe Coach Amunike.
Huu ni unafki wa aina fulani...