Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jina la Taifa Stars lilibuniwa nadhani mwaka 1967 hivi wakati wa mashindano ya pili ya East African Senior Challenge Cup. Kabla ya hapo timu ya taifa ilikuwa ikijulikana kama Tanganyika National...
3 Reactions
5 Replies
792 Views
Nilicheka sana kuona wale jirani zetu wanaojifanya wajuaji wajuaji wakati ni hewa walimimiwa 2 kavu kutoka Algeria. Kilichonifurahisha ni kufungwa mbili kavu pamoja na kujifanya wajuaji wajuaji...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi hakuna cha kulitangaza jina la Tanzania bali jina la Rais? Kuna vitu kama Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Madini Tanzanite na hata Fukwe zetu na sio Magufuli. Hivi akili zetu zimefikia hapo...
9 Reactions
35 Replies
3K Views
Wazuu nawasalimu sana.kwa ufupi kuna maneno ya kimichezo ukiyasikia ata kama MTU hapendi mpira lazima afatilie mfano kunyanyua kwapa(kubeba kombe),jicho mwewe(pasi ya uhakika),pass ya sambusa(pass...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
WANASIASA ndio zao! Kila kitu chenye kuvuta hisia za watu hukitumia kama mtaji wa kisiasa. Hata sasa, wanasiasa ni wengi Misri kiliko mashabiki kindakindaki wa mpira ambao liwake jua inyeshe mvua...
22 Reactions
32 Replies
4K Views
Let's be open ata kombe la dunia ufunguzi Wa namna hii wanaweza kuufanya wachache, hivi sisi pale kwa mkapa ufunguzi Wa under 16 tulifanya ufunguzi wa mashindano au ubakaji wa ufunguzi? Do...
9 Reactions
105 Replies
11K Views
June 23, 2019 Cairo, Egypt Bongo Zozo shabiki namba moja wa timu ya Tanzania yaani Taifa Stars azungumzia matokeo ya mechi ya Senegal vs Tanzania
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sote tunajua kiwango cha Jonas Mkude wa Simba kilivyo msimu uu amekua na kiwango bora aana cha kushangaza kocha mkuu wa Staz ameamua kumuacha kwa sababu zisizoeleweka.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Naona watu wanajitoka Sana, sasa na Mimi nitatoa kiasi hicho. Mr mkiki.
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Wakuu natamani kuangalia game ya stars na senegal, sifahamu ni chaneli zipi wanaonesha naomba msaada kwa wanao fahamu tafadhari.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa msiokuwa na Azam TV na DSTV link ya kuangalia live streaming hii hapo chini SENEGAL vs TANZANIA |Live Streaming Link
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna watu najua wanaabudu vya zamani vitu vikongwe hio ni kawaida kwa watu wengi wapo hivyo watakuja kupinga ila huu ndio ukweli Jonas Mkude ndio kiungo wa chini bora kuwahi kumuona Tanzania na...
3 Reactions
56 Replies
10K Views
TUMELOGWA. Na Thadei Ole Mushi PhD Holder Harrison Mwakyembe amewataka watanzania waichangie timu ya taifa ili wapate motisha wa kucheza mpira. Hii ndio Tanzania na watanzania wenyewe ndio sisi...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu Habari Jana timu ya taifa DRC ilishuka dimbani dhidi ya Uganda nakuambulia kipigo cha 2-0 Sasa alipoulizwa kwann kapoteza game ile akaanza lawama Kama Kawaida yake eti CAF waliwapeleka...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Bond ya bil 20 sijaona imefanya chochote hd leo.30/6/2019 ni siku ya mwisho kuwasilisha majina Caf.Hadi leo simba haijasajili mchezaji wa nje.James kotei jatima yake haijulikani, Haruna kimy hd...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Gwambina imefanikiwa kuwa team ya kwanza ya daraja la kwanza kumilikibuwanja wao wenyewe. Kuna baadhi ya vitu nimeviona kwenye uwanja wao nakupata mashaka juu ya ujenzi kwani inaonekana...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nimefuatila huyu straiker was South Africa anaeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22 Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita...
1 Reactions
112 Replies
12K Views
Simba B wana hali mbaya sana,hawapati posho,hawajalipwa mishahara na baada ya kufungwa na Mtibwa B,inatakiwa wacheze mchezo wa mshindi wa tatu na Yanga ila madogo wamegoma na kama viongozi...
4 Reactions
55 Replies
7K Views
Tanzania mpaka leo sijaona chanel yeyote ina toa matangazo kuwa watakuwa live AFCON Jana nimeona wenzetu kenya KBC kuwa wataonyesha mechi zote 52 bure.
2 Reactions
54 Replies
9K Views
Back
Top Bottom