Wakuu hebu tupeane tetesi za usajili na usajili uliokamilika katika ligi kuu Tanzania bara.
Usajili wa wachezaji na Makocha,nani katoka wapi na kaenda wapi,je ni usajili mzuri ?
Yanga na Simba...
Ligi kuu imemalizika Leo kwa timu zote za Ligi kuu kucheza mchezo wa mwisho na timu mbili kushuka daraja na timu ya tatu kupambanishwa na timu za Daraja la kwanza ili kupata timu itakayoshuka na...
Kwa mfano hii.
Eric:
BARRY ElTON:
ATTENTION!!! ATTENTION!!! ATTENTION TO ALL SPORT LOVERES Join this TELEGRAM Channel and see how much you wil be making Today...
Habari zenu wadau. Ikiwa zimebaki siku kadhaa kabla ya michuano ya AFCON kuanza nchini Misri naomba kujua kama King'amuzi au kituo chochote cha Luninga ambacho kitarusha Mubashara michuano hii...
Esperance wametakiwa kurejesha kombe la ligi ya klabu bingwa Afrika na kucheza mechi ya marudiano ya fainali.
Esperance ya Tunisia iliongoza kwa goli 1-0 kwenye mechi ya marudiano lakini...
Timu ya Soka ya Young Africans “Yanga” imetoa taarifa ya kutoshiriki Kagame Cup mwaka 2019 kutokana na changamoto mbalimbali.
Changamoto zilizotajwa ni pamoja na
1. Wachezaji wengi kumaliza...
Wakati kenya wakiwa ufaransa, uganda na ghana wakiwa Dubai toka wiki lililo pita huku wakicheza mechi za majaribio.. Tanzania tumeweka kambi Kunduchi na kutangulia misri kuwasubiri wengine...
Timu ya Taifa la Wales anayochezea chipkizi wa Manchester Utd D.James imetazamwa na mamilioni wa mashabiki duniani.
Sabab kubwa ni mchezaji huyo James anasifika kwa mbio...
Amunike yaani nani kakushauri au kwasabu Ulimwengu yuko nje ya nchi ila ki ukweli Ajibu alistahili pale stars
ASANTE
nb:sasa tuna timu 4 CAF zilizobebwa kwa mgongo wa simba
BRIGHTON YA ENGLAND YAONGOZA MBIO ZA KUMSAJILI MBWANA SAMATTA
Timu ya Brighton inaongoza mbio za Usajili za timu kutoka Ligi Kuu ya England ambazo zimeonyesha nia ya kumsajili Nyota wa Kimataifa...
Mchezaji mbeligiji Eden Hazard ametimiza ndoto yake ya kuchezea klabu ya Real Madrid ya huko hispania. Hazard amesaini mkataba wa miaka mitano akitokea klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza.
Gennady 'Goodboy' Golovkin almaarufu kama GGG, bondia wa kiwango cha juu sana duniani wa uzito wa kati anatarajia kupanda ulingoni usiku huu kuzichapa na mcanada Steve Rolls.
GGG ambaye...
Tumeshuhudia utitiri mkubwa wa wachezaji wa kigeni wakija hapa kwetu kucheza ligi yetu. Wengi wao huwa ni magarasa lakini wachache huwa ni wachezaji haswa.
Ni wachezaji gani wa kigeni uliwahi...
Klabu ya Simba SC imepanga kujitoa kwenye michuano ya Kagame Cup yanayotarajia kufanyika July 07 hadi July 21 nchini Rwanda. Ceo wa klabu hiyo Crescentus Magori amesema watapeleka barua rasmi...
Kandanda ni burudani iliyo na Mambo mengi sana!
Kandanda ni kilevi kama vilevi vingine ni ngumu sana kua
acha kutazama kandanda kwa lugha ya mkato tutasema umesitisha au umepumuzika kutazama...
Kufuatia kukamatwa hapo jana kwa Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Bwn. Ahmad Ahmad raia wa Madagascar, kuna kila ishara kuwa watakaofuatia katika kamata kamata hiyo ni Marais wa...