Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Barcelona wenzangu Valencia wametupiga 2-1 mchezo wa fainali kombe la mfalme, nilivyoyaona magoli yote mawili tuliyofungwa ni uzembe wa wazi wa defenders ukiongozwa na Pique, hivi lini...
2 Reactions
51 Replies
5K Views
Kama kuna Timu mbili Kubwa duniani ambazo nazichukia na sitozipenda au Kuondoka Kwangu Ulimwenguni ni Yanga SC ya Tanzania na Manchester United ya nchini Uingereza. Haiwezekani Manchester United...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mna timu kabambe , kuanzia kocha hadi wachezaji na mnacheza ligi ya mabingwa , kama haitoshi mmemtandika mbabe Real Madrid kwa kipigo cha mbwa aliyekunywa maziwa ya mtoto , bao 3-1 , mnafungwaje...
3 Reactions
66 Replies
5K Views
Hii ni baada ya kuichapa Derby count kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali wa fainali ya Play off Mabao ya El Ghazi dk 44 na lile la Mac Ginn dk ya 59 yalitosha kuifanya Villa ikamilishe timu tatu...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
KWANZA Klabu yangu ‘ pendwa ‘ ya Simba imekuwa Bingwa tena na Kukabidhiwa rasmi Kombe lake ili iweze Kuiwakilisha vyema Tanzania ya Rais wangu Mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli katika Michuano ya...
9 Reactions
57 Replies
5K Views
Kuifagilia nchi ya Rwanda katika jambo lolote lile ni sawa na kuiambia dunia kwamba KUTAWALA NCHI KIDEKTETA NI JAMBO LA HALALI . Paul Kagame kiongozi wa Rwanda aliyethibitika kutawala nchi yake...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu Habari zenu? Mechi kati ya chelsea vs Arsenal katika Dstv inaonekana kwenye channel namba 723.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wazee kwa ambao hatua DSTV ..Star time tucheki zetu fainal kupitia link hiyo hapo chini Chelsea vs Arsenal | Live Streaming Link
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Duru kutoka Ulaya zinadokeza kuwa Barca wanafanya mazungumzo na klabu ya PSG kuhudu mpango wa kumrejesha Neymar. Katika dili hilo, huenda Barcelona wakamtoa sadaka Kiungo Phillipe Coutinho au...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Walinionyesha kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa katika 'spirit ya hali ya juu sana'. Barca japo ni timu bora na kubwa lakini spirit iliwaangusha. Ajax japo walikuwa wazuri sana lakini walizidiwa...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Hii nchi kuna utani kila sehemu. Hivi TFF wanawezaje kutoa kikombe uchwara kama hiki kwa Bingwa wa Nchi? Mimi nimezoea kuyaona kwenye michuano ya UMISSETA ile michuano ya wanafunzi wa sekondari...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa kanuni zinazopatikana kwenye website ya bodi ya ligi http://tplboard.co.tz/downloads Kagera anatakiwa kucheza play off na si kushuhwa daraja mooja kwa moja kanuni namba 7 kipengele...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari wana jf, Baada ya kupita kwenye mitandao mbalimbali na pia kusikiliza kauli za kutoka TFF nashindwa kuamini kama Kweli ni tatizo kwa kiasi hiki Niende moja kwa moja kwenye Mada husika...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Nilitegemea Baada Ya Press Bingwa Atakua Lyon
0 Reactions
1 Replies
599 Views
Ukimsikiliza mtendaji wa bodi ya ligi ndugu wambura anasema kagera imeshuka daraja lakn Ukimsikiliza mwenyekiti wa bodi ya ligi bwana mguto anasema stand imeshuka daraja wakuu mnaoelewa hili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naangalia hili kombe ambalo wanakabidhiwa simba Leo uhakika ni Kama kinu, hakuna ubunifu wala halileti mvuto kulitizama Hili kombe kwa wahenga wenzangu mtakumbuka yalitumika miaka ya 80 kurudi...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) kwa msimu wa 2018/2019 linatarajiwa kufungwa leo Mei 28, 2019 kwa timu zote 20 kupepetana kunako Viwanja tofauti nchini Tanzania Simba SC, Mnyama Mkali...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam jana zinameeleza kuwa TP Mazembe wamesitisha nia yao baada ya kushindwa kufikia makubaliano binafsi na mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake na Yanga...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…