Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

unaona jinsi hawa jamaa walivyowadanganya as vita wakakataa basi la simba,wakaja na mask zao,wakajilza kwenye corridor kama wanakufa vile wakati wa half time eti wamewekewa sumu,hayo ni maneno...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Tuliowahi kusakata ndondo tukutane hapa haraka sana. Mnakumbuka unwritten rules za ndondo halisi? Mi nakumbuka kadhaa 1. Hakuna offside. 2. Hakuna refa 3. Hakuna timu rasmi. Mnajipanga mstari...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna msemo wa wahenga wetu husema miluzi mingi humpoteza mbwa, ndicho nachokiona kwenye timu yetu iliyotawaliwa na usimba na uyanga kuanzia bechi la ufundi, wachezaji na washangiliaji...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
can anyone tell me why are these fools (DSTV) televising live Europa League in South Africa only
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyota ya Haji Manara afisa habari wa Simba SC imezidi kung'ara siku hadi siku. Mtandao wa kijamii mkubwa na maarufu barani Afrika umemuita Haji Marketing genius. Tunakubaliana sote kazi ya...
26 Reactions
58 Replies
6K Views
Bondia nyota wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amewasili mjini, Nairobi Kenya tayari kwa pambano lake la Kimataida dhidi ya bondia kutoka Argentina, Eduardo Gonzalez lililopangwa kufanyika Machi 23...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Nadhani kupitia hizi ' Hamasa ' ambazo naziona na nazisikia mara kwa mara kutokea sehemu mbalimbali ' Kiufundi ' kabisa tumewafanya sasa Wachezaji wetu wa Taifa Stars badala wawe ' Watulivu ' na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nianze na huyu jamaa.. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Japo zimebaki siku 2 tu game hii kupigwa jijini DSM lakini hakuna mzuka wowote mitaani ! huku kwetu Tandika Mwembeyanga mechi kama hizi huchangamsha mitaa hata wiki mbili kabla ya kuchezwa ...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Hakuna sababu yoyote ya Taifa Stars kufungwa ukizingatia ukweli kwamba Uganda wameshaqualify. Niwe tu mkweli kwa mechi yetu na Uganda hata kama tutamtumia kocha wa Lipuli ya Iringa lazima...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hata FIFA wanajua kuwa katika soka kuna matokeo ya kushangaza.Hivyo nawaomba wana SIMBA msiwe na wasiwasi kwani Simba ni timu ya kuandika historia,kuweka rekodi, kuvunja rekodi na matokeo ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hawa madogo wanafanyiana sub,kuna mmoja anawika kwa mda halafu mwingine akipata chance anafanyia vizuri,Shabalala alikaa benchi mwanzoni mwa msimu kidogo tumsahau kwa kiwango cha Nkwasi,mara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salute kwa Simba mpaka walipofika. Kusema kweli Simba ni club ya kutemela sana hata tz, wamefanya vizuri sana game zao hasa za hapa nyumbani. Ukilinganisha na sisi Yanga ambao tulipangwa kwenye...
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Yani ukifwatilia page ya wachezaji wa Uganda unakuta Watanzania wanawaambia wachezaji wa Uganda wawaachie washinde ili wana East Africa waende Afcon mimi naona Uganda wanajua kuwa wanaweza...
0 Reactions
2 Replies
678 Views
Kesho time ya taifa kenya inacheza na Ghana usiku saa 3 hapa citizen tv kuna jopo la wachambuzi sita wa mpira wa miguu wakichambua kwa kina kubadilishana mawazo na uzoefu safari ya afcon...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Sina uzalendo sawa mbaguzi sawa yote mseme sawa tuuu . Ila uhamasisahaji wa kisiasa nilouona siendi ng'ooo. Mmewatupa wanamichezo eti wasanii uchwara aka Kamwene andadogs ndo wanahamasisha...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Uganda’s president Yoweri Museveni has instructed the national football side not to lose a match against Tanzania, even if the Cranes have already qualified for next year’s African Cup of Nations...
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Huyu Haji nadhani hali yake inaathiri kufikiria vizuri(sorry kwa hilo) kelele anazopiga ni upuuzi mtu badala ya kudeal na kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani anamtengenezea Zahera enemity kwa...
17 Reactions
80 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…