Kama kuna Mtu ambaye atakuwa na furaha Kubwa na ya Kifani pale Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars ) ikifungwa na Kushindwa Kufuzu AFCON basi bila Kupepesa Macho, Kumung’unya Maneno wala...
Yanga, Azam na vilabu vingine vya ligi kuu mnaonaje Tanzania tukipulizia dawa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo vya timu ya taifa ya Uganda. Maana nyie ndo mnajua kama dawa ilikuwa inafanya kazi...
Huu ndio mchanganuo wa prizes mpya za CAF kuanzia 2017-2020 kwa CAF Champions. Baada ya kukunja mabilioni kwenye hatua ya makundi,sasa Mnyama wenu tumekunja tena USD 650,000 sawa na takribani TZS...
Kuondoka na kurudi kwao kwenye vikundi vyao kunafanana kabisaaa! wote waliandika wenyewe barua za kujiuzulu ambazo hazikuidhinishwa na mikutano yao mikuu. Ova
Tunajua kuwa Babu Cheche na baadhi ya viongozi kwa kushirikiana na wachezaji kadhaa waliamua kumhujumu Pluijm ili atolewe apewe team huyu anayeitwa babu cheche. Inafahamika pia mshahara anaopokea...
Kuna maneno mengisna miongoni mwetu washabiki wa Simba ,kuwa Kocha Mwinyi Zahera alikuwa bega kwa bega kuisaidia Vita .Matokeo yake alikosa muda wa kuungana na timu yake kwenda kuwavaa...
Top 3 wanaoteseka na kuumia zaidi kwa maana mda wote walikuwa wanaomba simba fc apoteze.
Umaarufu wao pia utashuka mtaani hadi Simba atakapotupwa nje ya mashindano ya Club bingwa Africa .
1...
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya...
Simba SC haina ubavu tena wa kupata point hata moja, hivyo basi itakuwa ya mwisho kwenye kundi lake na point 3 ilizozipata kwa Saoura!
Baada ya mechi zote , msimamo utakuwa kama ifuatavyo:
1 Al...
Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na...
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS...
Kuelekea mechi ya Simba SC dhidi AS Vita Club kutoka Kongo, hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, mchezo utakaovurumishwa Jumamosi Machi 16, 2019 kunako Uwanja wa Taifa jijini Dar es...
Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki...
Wasalaam
Wale wanaojipa matumaini eti Simba atambamiza Vita mnajipa ugonjwa wa moyo bure bure. As Vita sio wa kuaga haya mashindano kwa kutolewa na Simba hii.
Kama unabisha tukutane saa tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.