Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Leo droo za ueropa na uefa champions league zitafanyika. Droo hii inafanyika pale mchini Zürich, Uswis. Majira ya Mchana. Timu zinazosubiri kupangwa uefa champions league ni; Manchester united...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hajawahi Kunidanganya na ndiyo amekuwa akinipa Matokeo ya Mechi mbalimbali za Simba SC na hata zile za Taifa Stars nami huwa nawawekea hapa hapa kila Kitu na mara nyingi 85% huwa ni kweli kama...
1 Reactions
81 Replies
8K Views
Manchester kashatokaa mie nishasemaa Manchester...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Napoli (ITA) v Arsenal (ENG) Villarreal (ESP) v Valencia (ESP) Benfica (POR) v Frankfurt (GER) Slavia Praha (CZE) v Chelsea (ENG)
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Ebwana kama wewe unajua timu yako imepita kuingia katika robo fainali basi ni vyema ukajua pia kama timu yako imepangiwa na nani. Sasa mambo yote hapo chini kwenye picha ujue kwamba kivumbi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Juventus vs Barcelona Manchester United vs Manchester City Tottenham vs fc Porto Liverpool vs Ajax Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
64 Replies
6K Views
Habari zenu Wakuu Kuelekea Mechi Ya Jumamosi Kati Ya simba na AC vita club ya Congo embu Cheki Hizi rekodi za UEFA .PSG kapigwa Kwao .Real Madridi Kapigwa kwao .Baryen Munich Kapigwa Kwao Na...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Kumdhamin bayern kwa MTU kama liva ni kusumbua akili mkeka huo apo juu beti ata ada,kodi, nk Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Big up kwa timu tajwa hapo juu kwa kufuzu kuingia robo finali, kwani timu hizi zimewatoa vigogo wakiwa hawaamini kama walikuwa na vigogo wenzao, mfano UTD hawakupewa nafasi ya kuitoa PSG...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika vitu vilivyosumbua Arsenal kwa miaka mingi ni kupata ushindi dhidi ya Timu kubwa kwenye EPL , mara zote wamekosa kabisa kujiamini wanapopambana na timu hizo , na wamekuwa wakipigwa goli...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Unapita zako,je hatua ya kwanza kufanya ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu! Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa...
9 Reactions
109 Replies
20K Views
Keep in mind, the results I saw before the match was played. FT Juventus 1 - 0 Atletico Madrid Atletico Madrid have entered the quarter finals
0 Reactions
30 Replies
3K Views
1. Kuwa Mshabiki wa Liverpool FC 2. Kuwa Shabiki wa Simba SC 3. Kuwa Shabiki wa Mchezaji Lionel Messi 4. Kuwa Shabiki wa Mchezaji Sadio Mane 5. Ipende sana Bendi ya Wenge Musica BCBG yake JB...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna ushabiki mwingine sio fair kabisa yani kuna mashabiki wa Yanga wanaibeza Simba kuwa hamna cha maana walichokifanya mpaka sasa kwenye mashindano ya Champions league kisa imepoteza michezo ya...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama ni kitu nachokiihisi UEFA NI KUTAKA JUVENTUS NA BARCA WAINGIE FAINALI Yaani MESSI vs RONALDO kama ilivyokuwa mwaka jana BARCA kupewa Roma kwa bahati tu alikanyagwa ila lengo lilikuwa hilo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tangu sakata la Mo dewji kutekwa linalosubiri report ya IGP ili kurudisha imani ya wafanyabiashara wakubwa haswa wa kihindi na jumuiya ya kimataifa ya wafanyabiashara ambao hawaamini billionaire...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naona # kibao zinatembe janvini na kwenye social media naomba kujuwa ni # hipi inaweza motivate mashabiki na wachezaji kama nilivyo zitaja hapo juu. Get ready for the come back au do or die?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Sijaelewa mantiki ya Zinedine Zidane kurudi tena kuifundisha Real Madrid. Kipi kimemsibu Florentino Perez na menejimenti kiujumla?? Yote kwa Yote ilikuwa ni suala la muda jambo hili...
3 Reactions
86 Replies
7K Views
Back
Top Bottom