Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakati tetesi zikivuma kuwa Steven Gerrard anajiandaa kutangaza kustafu kabisa soka katika timu yake ya L.A Galaxy. Leo tuangalie viungo watatu wa Kiingereza waliotamba kwa miaka 15 iliyopita...
10 Reactions
140 Replies
21K Views
MAFANIKIO YA CHRISTIAN RONALDO NI MAUMIVU MAKALI KWA MAMA YAKE MZAZI. ' Usibishe. Tangu akiwa angali tumboni mwa mama yake mzazi 'Maria Dolores'. Tayari Mwanasoka Bora Ronaldo alisha yaonja...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Leo hii usiku majira ya saa 5 kamili usiku michuano ya vilabu bingwa barani ulaya itakua inaendelea Zamani ilizoeleka katika hatua ya robo fainali zilikuwepo timu 2 au mbili, lakini hadi sasa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Sababu zipi timu zetu za Afrika zinakuwa nyanya (5-0, 5-0, 2-0, n.k) ugenini na kuwa imara (3-0, 2-0, 1-0, nk) nyumbani tofauti na Ulaya ambako timu inapindua matokeo hata ugenini. Hii ni dalili...
0 Reactions
5 Replies
818 Views
$
Mpo humu! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Naomba kujua gharama ya golf stick Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Wengi hamuijui hii, MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI, Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO, kati ya ARGENTINA na MAREKANI Kipute kilipigwa dk 90 wanaume wakatoka...
27 Reactions
108 Replies
18K Views
Habarini za mda huu wadau wana sport wenzangu, naombeni uliza eti kuna apps ya kutabiri matokeo ya mpira yani , TIPS BEATING PREDECTION nimesikia kwamba kuna iyo apps ndio maana nime leta hii mada...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Paul Pogba anatarajiwa kuchukua majukumu yake ya upigaji penalti kwenye mechi ya Arsenal itakayochezwa muda mchache ujao. Marcus Rashford alipewa majukumu hayo kwenye mechi na PSG na kuivusha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bolton confirm players and staff have been paid February salaries By Dan Sansom Last Updated: 12/03/19 5:05pm Bolton have confirmed that all outstanding salaries for players and coaching staff...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Muda mfupi uliopita haji alikuwa na press conference, lakin muda wote WAKATI anaongea sijakuelewa kabisa ulichotaka kukiongea, Mara Simba n timu kubwa haiendeshwi kwa mabakuli, Mara Simba ndio...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
umevimbiwa na shibe, unawaita mashabiki mpururo wale wa buku 7000/= unasahau kuwa wale ndio huwa wanajaza uwanja? ni dharau na kiburi kilichopitiliza waombe radhi
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hapa siizungumzii Manchester City, la hasha nawazungumzia manchester united, mabingwa wa kihistoria kunako ligi ya uingereza, naam ni manchester united ama mashetani wekundu ukipenda. Man U kama...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu, jana palikuwa na mechi (TPL) kati ya Biashara United na Ndanda FC, kilichonifadhaisha mtazamaji nilikuwa peke yangu katika banda umiza. Hii imenifanya kuona umuhimu wa 'media' zetu kutumika...
0 Reactions
3 Replies
947 Views
Mwenye updates please aziweke hapa...Leo niko sehemu isio nzuri mtandao unasumbua. Kila la heri Yanga yetu
6 Reactions
94 Replies
11K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, Nachukua nafasi hii kumpongeza Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Yanga kwa kutuletea Maestro Middo Papii Kabanga Shishimbi kakifunika kikosi kinachosemwa cha 1.3 b...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mwenendo wa timu ya Real Madrid unamaanisha kwamba muda wa kocha wake mpya unahesabika . Hii timu haina utaratibu wa kuvumilia ujinga , kipigo cha leo cha 3 - 0 dhidi ya CSKA MOSKVA ni cha...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Mbunge kutoka Uingereza alitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Ulimwenguni(FIFA) kuchunguza tuhuma za kuwa nchi ya Qatar ilitoa kiasi cha Dola Milioni 400 kwa FIFA ili ipewe uenyeji wa Kombe la...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom