Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

0 Reactions
0 Replies
622 Views
Mara ya kwanza na pekee hadi leo Taifa Stars kucheza fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (kipindi hicho yakijulikana kama Kombue la Mataifa Huru ya Afrika) ilikuwa ni mwaka 1980. Kipindi hicho...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Sasa nimeamini kuwa hapa duniani Watu hatufanani na hatuko sawa kwa mambo mengi tu na labda Mwenyezi Mungu ana makusudi yake yaliyotukuka. Yaani Mwenzako anapishana tu na Ndege huko angani...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
El Clásico record kabla ya Messi: Barcelona 66 - 87 Madrid El Clásico record alipoanza kucheza Messi: Barcelona 96 - 95 Madrid Umegundua nini Sent using Jamii Forums mobile app
5 Reactions
25 Replies
3K Views
eti ulisema simba inahonga wapinzani wewe wawakamie?hata kama ni kweli hiyo ni rushwa kweli? angalia hii hapa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TPL leo tunashuhudia kabumbu la kisasa kati ya Azam FC dhidi ya Simba SC uwanja wa Taifa muda wa saa kumi kamili jioni. Mpira umemalizika uwanja wa taifa Matokeo: FT AZAM FC 1-3 SIMBA SC...
12 Reactions
656 Replies
42K Views
Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Yanga, uliosimamishwa kutokana na baadhi ya wanachama kufungua kesi Mahakamani, sasa umepangwa kufanyika Machi 10, mwaka huu Awali, uchaguzi huo ulipangwa kufanyika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
ajax vs real madrid highlights 1-4
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Mshambuliaji wa Yanga SC, Mkongoman Heritier Makambo amezidi kung’ara baada ya kuchaguliwa kwenye orodha ya awali ya Wachezaji 40 watakaounda kikosi cha timu ya Taifa ya DR Congo. Congo ni kati...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika. Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni...
11 Reactions
221 Replies
41K Views
Nonda shabani "Papii" si jina geni kwa wapenzi wa soka wa bongo,huyu ni mchezaji wa zamani wa yanga ya dar es salaam ambae ameonyesha mfano wa kuigwa kwa wachezaji wetu wa bongo kutokana na...
0 Reactions
68 Replies
13K Views
Kwa bahati sikuweza kuangalia hii mechi Kipindi hicho lakini juzi kupitia Man u tv niliona hii game kwenye dakika ya 70 na kuendelea kipa wa man akaumia na ikabdi John oshea akae golini! Je sub...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumain uzima upo humu ndani, Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Ukiwa mfuatiliaji wa mpira wa miguu logo ya As Roma inaonesha Bweha akiwa na watoto wawili wanaonyonya. Hawa ni mapacha...
3 Reactions
2 Replies
4K Views
Kuelekea mchezo wa Tanzania Premier League TPL, kati ya Stand United dhidi ya Simba SC Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, Stand United chagueni wenyewe mnataka mfungwe mabao mangapi...
6 Reactions
86 Replies
11K Views
Klabu ya Minnesota United ya Marekani imetangaza kumsajili Mtanzania Ally Hamis Ng'anzi (18) kwa mkopo wa mwaka mmoja kukiwa na uwezekano wa kumnunua kutoka Klabu MFK Vyskov ya nchini Czech...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Karibuni kwa Live updates kutoka dimba la CCM Kambarage Mjini Shinyanga Moderator Mhariri utanisaidia kuhariri/EDIT kichwa cha habari iwe Stand united vs Simba kwa maana Stand United yupo...
11 Reactions
98 Replies
12K Views
Kumbe mibwabwa!!!!!
0 Reactions
87 Replies
14K Views
Wadau najaribu kufikiri kwa kina bila kupata majibu sahihi katika hili,katika kipindi cha miaka nane ya Tenga Tuliona TFF ikipiga hatua kubwa ya kimaendeleo katika sura la utawala ,kwa maana...
0 Reactions
1 Replies
869 Views
WARAKA WA WANACHAMA WA YANGA KWA TFF TAREHE; 23/02/2019 NA MOODY KABWE moodykabwe@gmail.com 0715268499 0685188679 Sisi wanachama wa YANGA nchi nzima kwa umoja wetu tuna masikitiko makubwa...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Kocha mkuu wa timu ya Fulham ametimuliwa kufuatia kipigo cha mabao2-0 kutoka kwa timu ya Southmpton. Kocha huyo aliyewahi kuiongoza Leicester city kutwaa ubingwa wa England alipata ushindi mara...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…