Uongozi wa Singida United umesema kuwa kitendo kilichofanywa na Yanga Sc katika uwanja wao watatoa taarifa katika shikisho la soka TFF
Uongozi wa Singida umesema kuwa Yanga imewazuia kuingia...
Hii ishu ya watu online kusema kua wanadeal na kuuza mechi zilizopangwa matokea kwa ajili ya betting(wazee wa mikeka) inaukweli wowote?
Angalia mfano kama huyu mtu yeye nimeona sahivi ticket ya 3...
Bila ya kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu. Wiki iliyopita nilimsikiliza mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho la soka Tanzania (TFF) mtaalamu wa kimataifa wa kuinua na...
Tujadili kuhusu hili... Je, kocha Patric Aussems atapata nafasi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi dhidi ya As Vita kuelekea mechi ya jumamosi na Al Ahly?
Hivi punde nimesikia kutoka radio moja kipindi cha michezo kuwa Simba imekuwa ikifanya vibaya katika michezo yake hasa ile ya kimataifa moja ya sababu eti ni vile hawana kocha msaidizi, sasa...
Klabu ya African Lyon imeiandikia barua bodi ya ligi kuu Tanzania Bara (TPLB) kuomba mchezo wao namba 271 dhidi ya Simba SC uhamishiwe Dar es Salaam.
Lyon wamefikia maamuzi hayo ambapo awali...
Jana tumepigwa 2-0 na Sevilla kwao,ingawa ni 1st leg jumatano tutarudiana nou camp,lakini kwanini afanye upuuzi ule?Kweli unajaza Wachezaji wachanga pamoja na wageni unategemea nini?Mchezaji kama...
Niombi langu kwa chama cha mapinduzi. Maana hali ya viwanja ni mbaya sana uwanja umejaa vipara pich imeharibika wachezaji wanapata tabu kucheza. Jaribuni kufanyia matengenezo. Ni aibu chama...
Kweli Manara mna kikosi kipana,lakini mbona hampati matokeo mazuri?mfano Manula kesha bugia mikono miwili hivi bado tu mtampanga tena hio tarehe 12,na mkifanya hivyo maana ya kikosi kipana ni...
Huyu bwana kosa lake kuu ni nini?
Maana Tenga, Karia na Malinzi wote walimfurusha huyu bwana shida yake nini hasa?
Naomba ufafanuzi wadau wa mpira wa miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
_*After Asia Cup win, Emir of the State of Qatar awards every player of the National Team the following:*_
➡Apartment in London for every player in the Qatari team
➡Jeep Model 2019
➡($2.7m) QR...
Unacheza AWAY GAME na timu ambayo ni nzuri yaani inakuzidi kila idara, unaamua kucheza 4-3-3 Yaani unaanza na washambuliaji watatu.
Huu ni uamuzi wa ajabu kabisa, isitoshe unajua fika kwamba...
Yap si hela wanazo,wadhamini wanao na uwezo wanao.
Mi naona kikosi kizima,kocha,menega,uongozi,mpaka msemaji manara waondolewe Kwa kufunua uwanja mpya.kuzunguka tz nzima na kutafuta vijana wenye...
Moja kati ya stori inayotrend kwa sasa katika soka bongo ni kuhusiana na club ya Simba SC kufungwa 5-0 dhidi ya Al Ahly katika mchezo wao wa tatu wa hatua ya makundi wa CAF Champions League, baada...
Nadhani sasa ni utoto kila timu zetu zinaposhindwa ugenini hasa Uarabuni kusingizia hali ya hewa.
Nchi yetu bahati Mwenyezi Mungu katupa sehemu zenye joto na baridi pia sasa kama timu inakwenda...
Wakuu, jana nilikuwa nikiangalia mechi kati ya Inter Milan na Bologna. Kilicho nishangaza ni kuona majina ya wachezaji wa Inter kuandikwa Kichina kwenye jezi zao.
Sent using Jamii Forums mobile app