Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni muda mrefu sasa mimi kama mpenzi na shabiki wa mpira wa miguu ambao ni mchezo namba 1 kupendwa sana duniani na Tanzania ikiwemo, nimekuwa nikifuatilia mechi mbalimbali za mpira wa miguu hapa...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten ameamua kuweka makucha hadharani baada ya kumtukana LIVE shabiki wa Simba kisa kuambiwa hana akili. Ten aliweka ujumbe katika ukurasa wa Instagram kwa kusema...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Jay Msangi Jana ameondoka Tena Kwenda Na Bondia Denmark. Je Wenzangu Mmepata Yale Majibu ya Tuhuma za Kuwazulumu Fedha zao wale Vijana Boxers waliocheza SOUTH AFRICAN? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
3 Replies
720 Views
HABAAR LIKA LANGU WAKUBWA SHIKAMOOOOO, Ndugu wote tu watanzania naomba tuweke tofaut zetu pembeni ili kesho tumwaibishe mwarabu maana hawez kuja na kutamba kwenye himaya yetu lazma afe twendeni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Rotation ya kikosi cha Simba Usiku wa leo wazanzibar na dunia nzima itakuwa uwanjani na kideoni wakitalii. Sio utalii wa Serengeti bali ni utalii kushuhudia soka safi la mnyama Simba,kushudia...
11 Reactions
203 Replies
25K Views
Jana usiku eti makomando wa simba wana ulinda uwanja..sasa swali la kujiuliza Saoura fc ni wageni hawajui chochote wataufanya nn uwanja au watafukia nn simba bwana eti wakiulinda uwanja ndio...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Na Saleh Ally Tayari mshambuliaji Nonda Christophe Nonda ameamua kustaafu soka, sasa anaendelea na maisha mengine, mfano suala la uhamasishaji wa amani katika sehemu mbalimbali duniani. Yanga...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Ukisoma gazeti la mwanaspoti la leo mama Karume anafafanua jinsi mgogoro ndani ya Yanga ulivyopelekea kujitenga kwa baadhi ya wanachama na kuanzisha Sunderland mwaka 1936. Kisha kuitwa Simba hapo...
0 Reactions
63 Replies
38K Views
Mikia : Yanga haijawahi kuingia makundi Champions League. Yanga : Remember 1998, sisi ndio waasisi, tena ilikuwa 8 bora sio nyie makundi timu 16. Mikia : Yanga haijawahi kujaza uwanja wa Taifa...
9 Reactions
51 Replies
7K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
582 Views
Zimebaki siku chache tu Taifa liingie kwenye aibu kubwa kimichezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Sent using Jamii Forums...
7 Reactions
51 Replies
8K Views
we were to have a good weekend,[emoji26][emoji26] Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
743 Views
Wakuu naomba kujua kocha Mkuu wa Taifa Stars Emanuel Amunike anarudi lini kwa maandalizi ya Timu yetu ya Taifa kwenda Afcon...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ama mbinu za kummaliza Adui yako si kwenye vita pekee;hata Yanga Makonda alituua na kutumaliza kabisa hasa baada ya Mhe Diwani wa Mbagala na Jembe la Yanga (Manji)kubambikiwa kesi za hovyo kabisa...
4 Reactions
35 Replies
5K Views
Nimeona Kauli mbiu ya Simba watakayotumia siku ya Jumamosi kwenye pambano lao na Saoura ya Algeria. Kwa ushauri wangu Kauli mbiu hii ingekuwa kwa kiswahili maana wengi wetu hatujui kiingereza...
1 Reactions
50 Replies
6K Views
Hatua ya makundi ligi ya mabingwa Afrika kuanza kupigwa Jumamosi ya Januari 12, 2019 kwa wawakilishi wa Tanzania Simba SC, Mnyama Mkali kuliko wote mwituni, inakapokwaruzana na JS Saoura ya...
10 Reactions
174 Replies
16K Views
-Kila la kheri Simba SC wapigeni pigo la moyo JS Saoura leo na ushindi wa mechi ya leo utawapa nguvu ya kupambana mechi zinazofuata Mungu ibariki Simba, Mungu Ibariki Tanzania. 1-Manula 2-Gyan...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Hii thread ya updates za Kagame Cup Sent using Jamii Forums mobile app 01.01.2019 KVZ vs Malindi matokeo bila bila Tar 02.01.2019 Chipukizi 0- Mlandege 1 UPDATES NUSU FAINALI Azam 3 - KMKM 0...
0 Reactions
88 Replies
10K Views
" Nawaomba wana Yanga wasije wakafanya makosa siku ya Jumapili, nawaombeni sana mchagueni Baraka Igangula. . kijana mstaarabu na mwenye nia ya dhati kuipeleka Yanga mbele, atatujengea uwanja na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…