Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kikosi cha Laela fc. kimewasiri mjini Iringa kutokea mji wa Laela mkoani Rukwa tayali kuwakabili Lipuli fc
1 Reactions
5 Replies
3K Views
HAINIPUNGUZII chochote nikikusalimu kwa kukupa gwala asubuhi leo, ila ni nyongeza tu ya uungwana. Kula gwala mtu wangu! Gwala nikupazo ni mambo matano yaliyotikisa jana kutoka duniani kuja...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani kumbe tulisema tuwangoje Taifa kwa kuwa kuna fursa ya kukata Nyasi kumbe...[emoji23][emoji23]
2 Reactions
56 Replies
5K Views
Hakika Ogopa Mchawi na Mnafiq Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho. Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mama kawa kijana baada ya kutoka kupiga mechi ya netbol katila time ya wabunge na kupata ushindi pembeni kushoto Ni naibu spika dr.tulia Basata nakaribisha vifungo vyenu hapa
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Chelsea msijifanye hamjui kesho mnakutana na kipara... Yaani misigara ya kocha wenu kesho tutamnywesha maziwa... Jificheni tu
1 Reactions
16 Replies
2K Views
sio jambo la kushangaza wakina boban kusajiliwa klabu kubwa kama yanga.. ndiyo!..umekuwa mshangao Mkubwa boban kusajiliwa yanga.. lakini uhalisia ni huu.. tuanze kwenye ligi yetu.. kiukweli ligi...
1 Reactions
2 Replies
928 Views
Mmmm hawa jamaa wolves leo wanawapunguza point jamaa. Watagawana point leo. Heading ni Wolves vs liverpool.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
1.Dida 2.Colbal 3.Kwasi 4.Paul Bukaba 5.Juko 6.Ndemla 7.Rashid Juma 8.Mzamiru 9.Salamba 10.Niyonzima 11.Kichuya kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Ni mchezaji machachari aliyewahi kuichezea timu mbalimbali ikiwemo klabu ya Simba. Amefariki leo msiba uko nyumbani Yombo. RIP striker
2 Reactions
35 Replies
10K Views
Jana niliona mashabiki wa Yanga wamejitokeza kwa wingi wakishangilia kwa nguvu na nilipenda pia kitendo chao cha uzalendo kwa kuchanga pesa kwa ajili ya viongoz na wachezaji. Mbeya pia...
10 Reactions
20 Replies
2K Views
Kila mwenye nia njema ya kuisaidia Yanga aonane na kocha wa Yanga amweleze ni mchezaji gani anahitaji nini kama hatuwaamini viongozi waliopo. Tusisubiri kuhangaika na wanaogomea mechi, it will be...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Ushindi wa 1-0 pale Arusha uwanja wa sheikh Amri Abeid umezidi kuiweka Yanga kileleni mwa ligi kuu bara na kufikisha points 47.Japokuwa leo kucha wetu mkuu hakuwepo bado tumeshinda.
7 Reactions
15 Replies
4K Views
Hawa watoto wa serengeti boys walioshinda ubingwa huko Cosafa kwa upuuzi wa soka letu na huyu Msomali pale tifuatifua kunauwezekano usiwasikie tena kwenye ulimwengu wa soka.Kazi kubwa anayofanya...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau mechi yetu inaanza sa ngapi leo huko Arusha
0 Reactions
158 Replies
19K Views
mimi bado sijaelewa
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Group la TANZANIA under 17,Kwa kifupi ni *TANU* Yaani. Tanzania Angola Nigeria Uganda
3 Reactions
13 Replies
1K Views
30 kwa 47 difference 17!! Simba Wakishinda tunashinda, Wakitoa sare Nasi tunatoa sare, Wakifungwa sisi tutaendelea tuuh....!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Wadau wa Soka nimeangalia klabu ya Simba msimu huu nimekutana na Mapungufu ambayo yasipofanyiwa Kazi Jahazi litazama. Hapa nimejaribu kuelezea mambo saba ambayo yanaweza yakaleta maafa msimu huu...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Bondia kutoka Tanzania Hassan Mwakinyo ametangaza nia ya kutaka kupambana na bondia maarufu kutoka Uingereza Kell Brook. Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 ambae aliushangaza ulimwengu wa masumbwi...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…