Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

FERNANDO PEYROTEO MSHAMBULIAJI HATARI KABISA ALIYEPATA KUTOKEA DUNIANI NA NIHZRATH NTANI JNR Kuna matukio ambayo unaweza kuyafanya na ukaendelea kukumbukwa hata baada ya kuondoka Duniani...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Haruna Moshi ni mchezaji mzuri na anatumia sana akili kucheza mpira. -Mwinyi Zahera
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kikosi hicho kimeongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Francis Ndulane pamoja na wachezaji 20, watu sita kutoka benchi la ufundi wakiongozwa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems na viongozi...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
The draw for the Champions League last 16 for the knockout stages will takes place in Nyon on Monday 17 December and is expected to start at 11.00am GMT. The draw will be shown live on BT Sport...
1 Reactions
1 Replies
776 Views
Taarifa Kutoka Ukumbi Wa Diamond Jublee Zinaonyesha Kuwa Yusufu Manji ameshinda nafasi ya Mweyekit timu ya Yanga: Dalili hii ya Wapiga kura kuangalia pesa ya Rushwa ndiyo inaweza...
2 Reactions
87 Replies
10K Views
Thursday, January 10, 2013 Wachezaj wa Young Africans wakifanya mazoezi leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Emmen FC ya Uholanzi Timu ya Young Africans Sports Club kesho itashuka...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mwisho wa kunukuu msemaji mwenye IQ ndogo wa simba amesema hivi mbele ya kituo cha Radio. Wadau wa michezo naombeni mchambue na mdadavue hii kauli ya msemaji wa simba. Uwanja wenu
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Duuh roho inaniuma sana, naomba wanayanga wenzangu tujuzeni wengine tusofahamu kinachoendelea pale jangwani, hivi tatizo pale ni , 1. kocha........... 2...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wanajamvi hasa wanaspoti Ile siku hatimaye imewadia na muda mfupi ujao Simba na Yanga watashuka dimbani kutafuta mbabe baina yao ingawa Simba ni bingwa tayari wa ligi kuu. kama kawaida tupeane...
1 Reactions
259 Replies
26K Views
HIVI NDIVYO KLABU YA SOKA INAVYOTAKIWA KUWA (YANGA WAKIFANYA MAZOEZI ULAYA ) Wachezaji wa Young Africans wakifanya mazoezi leo katika Uwanja wa Fame Residence Football - Antalya Uturuki...
1 Reactions
22 Replies
13K Views
Updates: Hadi Mapumziko: Simba 2 - 0 Yanga Dk 50: Simba 2 - 0 Yanga Dk 63: Simba 3 - 0 Yanga
3 Reactions
1K Replies
78K Views
Timu ya Copa Coca-Cola ya Tanzania imeondolewa na timu ya Copa coca ya Zambia muda mfupi uliopita kwa kufungwa goli 1 kwa 0 huko mjini Nakuru nchini ambako mashindano ya Copa coca Africa...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Timu inayoshiriki Ligi kuu Uingereza Bunley imeonyesha nia ya kumuongeza Mbwana Samatta kwenye safu yake ya ushambuliaji. Tayari imeshatuma watu kumfuatilia. Timu nyingine zinayotajwa ni West Ham...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Mshabiki wa man city wanaishangila united ili imbonde liver wao...
0 Reactions
3 Replies
679 Views
SIMBA na Yanga ni watani wa jadi. Jambo linalofanyika Simba kwa namna moja ama nyingine litakuwa na tambo kwa Yanga. Simba ikishinda mchezo lazima itatoa tambo zake kwa Yanga na vivyo hivyo kwa...
11 Reactions
77 Replies
70K Views
Kwanza kabisa nakiri ya kwamba mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Yanga, sijawahi kuota ndoto juu ya tukio lihusulo mpira wa miguu. ila kwa mara yangu ya kwanza niliota ndoto kwenye mechi ya Ndanda...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
Sijui kama Liverpool wanatoka kwenye game hii ya Leo vipi kuhusu maoni yako juu ya mechi kali na ya kukata na shoka Karibu mwana jf:-
1 Reactions
82 Replies
7K Views
Tanzania bado tumeendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu katika michezo mbalimbali. Hivi karibuni timu ya mpira wa miguu wa ufukweni (beach soccer) ilikwenda misri katika michuano hiyo ngazi ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya ile derby kali, kuvurugika sasa rasmi ,itaenda kupigwa uwanja huru ,na sasa Waargentina hawa watavuka bahari hadi bara la ULAYA kwenye uwanja wa SANTIAGO BERNABEU kupambana HII SIO YA KUKOSA
3 Reactions
63 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…