Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wale wakali wa betting nakupeni namna ya kupunguza hasara pale unapolose ticket unapata 10% ya ulicho loose njia ni rahisi nakusajili unadeposit pesa ikitokea umeloose hupotezi pesa yote unabaki...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
KUTOKANA NA SABABUZILIZO NJE YA UWEZO KAMATI IMESOGEZA MBELE MKUTANO HUO MPÀKA TAR 24 NOV VENUE MTATANGAZIWA
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Here we go, Juventus Vs Man Utd, leo matokeo yatakuwa tofauti kuliko wengi mnavyofikiria, njooni tupeane updates kinachoendelea...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
karibuni tuungane wote kufuatilia kampeni ya kuichangia Team yetu ya Taifa stars kwenda lesotho kushiriki michezo ya Afcon kampeni inaendeshwa na mhe.waziri wa michezo kaka yetu Dr.Harisson...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Waliochukua fomu ya kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Klabu kongwe nchini Yanga itakayofanya Uchaguzi wake tarehe 13 January, 2019:- Nafasi ya Mwenyekiti:- 1. Tarimba Abbas Tarimba. 2. Iman...
5 Reactions
48 Replies
8K Views
Ni katika uchaguzi utakaofanyika hivi karibuni kujaza nafasi zilizo wazi. Mdee atachuana na wakali wengine kama Aron Nyanda, Ally Mayai, Bin Kleb nk. Katika nafasi ya Mwenyekiti Manji amekubali...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu zangu,kesho tarehe 10 saa 4 kamili usiku kwa saa za afrika mashariki kuna mechi kali balaa baina ya BOCA JUNIORS AND RIVER PLATE..COPA LIBERTADORES#SUPER FINAL#SUPER CLASICO...timu zote hizo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika soka la Tanzania vimepita vizazi mbalimbali Kama kina lodgar Tenga, Sunday Manara, King kibaden, Mwamedi Mwameja, Edbily Lunyamila na hivi karibuni Juma Kaseja. Lakini kwangu Mimi japo...
3 Reactions
70 Replies
12K Views
Kuna baadhi wanadai kuwa mpira hakuna uchawi wakasema na kwa namna Mji wa Sumbawanga ulivyotamalaki katika uchawi basi wangekuwa na Klabu ya Ligi Kuu. Na Nigeria wangechukua Kombe Kombe la dunia...
3 Reactions
50 Replies
12K Views
Nimefanikiwa kutizama mechi kadhaa za Yanga Africa hasa hizi zilizochezwa uwanja ww taifa saa moja jioni nachelea kusema kwamba huyu jamaa hamna kitu pale, hamna striker mwenye hadhi ya kuwa...
7 Reactions
45 Replies
11K Views
Wakuu, nimekuwa najiuliza kuwa hapa kwetu pana msemaji wa klabu ya mpira mwanamke? Pana mtu mmoja huwa namsikia kwenye vipindi vya michezo sio mara kwa mara sauti ni kama ya mwanamama hivi ila...
1 Reactions
3 Replies
923 Views
Katika dimba la Luzhniki, pale jijini Moscow, miaka 10 iliyopita ilipigwa fainali ya aina yake. Fainali ya Uefa Champions League, ambapo ilikutanisha timu mbili kutoka Uingereza. Man Utd Vs...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kila inapofika mwezi Novemba ya kila mwaka, nchini Uingereza kuna maadhimisho ya kuwakumbuka wale wote (mashujaa) waliojitolea maisha yao kwaajili ya Nchi yao katika vita mbalimbali kuanzia vita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wa azam game inarushwa zbc 2 Bonge la fainali Est 3-0 al ahly aggregate (4-3) Full-time
4 Reactions
74 Replies
6K Views
Tarehe 27 November 2018 Simba SC vs Mbambane Swallows ( TANZANIA ) Tarehe 4 December 2018 Mbambane Swallows vs Simba SC ( SWAZILAND ) Kama Simba SC itafuzu itacheza na Klabu kutoka ama Zambia...
4 Reactions
8 Replies
5K Views
Didier Drogba, bye bye.! Maisha ya Soka ya Didier Drogba Yamefikia Kikomo Jana Kwa Kichapo Baada Ya Klabu Yake Ya Phoenix Rising kufungwa 1-0 Dhidi Ya Louisville City kwenye Fainali Ya kombe La...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
PARIS, UFARANSA. MAJUZI imebainika staa mpya wa PSG, Kylian Mbappe alitaka viingizwe vipengele vya ajabu katika mkataba wake wa sasa wakati alipokuwa anahamia klabu hiyo akitokea Monaco ya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Baada ya MAN U kumfunga Juventus hapo jana ni rasmi sasa CHELSEA ndiyo timu pekee katika Ligi 5 bora Ulaya ambayo haijapoteza mchezo wowote tangu kuanza kwa msimu wa 2018/2019 katika mashindano yote
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nitangulize pongezi kwa viongozi, benchi la ufundi, wanachama, wachezaji na mashabiki wa Simba SC kwa uvumilivu na mshikamano wao kwenye shida na raha. Kuelekea fainali ya kombe la Mapinduzi...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…