Wakuu,
Niweke wazi kuwa, mimi ni Shabiki kindaki ndaki wa Man United.
Haya ninayoyasema, ni ukweli mtupu na nikutokana na kuwa, mizani imeelemea upande wa man Utd.
Man utd kufanya come back...
Tulimuondoa Muhidini Ndolanga na Rage kwenye mpira kwakuwa mambo ya mpira yalikuwa hayaendi vizuri nchini. Tulidhani sababu ni kwasababu akina Ndolanga na wenzake hawatoki kwenye familia ya mpira...
Naamini wengi mnayafatilia ila nataka tufahamishane mmeyaonaje haswa jinsi timu za taifa zilivyoimarika mfano Uholanzi na zingine zinavyopitia kipindi kigumu mfano Ujerumani karibuni wadau wa soka...
Naomba kuuliza kama kuna historia yoyote kati ya Simba Sc na uhuni/umafia maana viongozi wake wengi kutwa wako mahakamani kwa makosa ya jinai.
Tunayo mifano mingi kuanzia Rais Eveva, Makamo wake...
Waswahili wanasema ukiona mwenzako kanyolewa zako tia maji ,na kwa hakika hawakukosea kabisaaa.
Hawa watani zetu wa jadi Simba SC walitucheka sana kipindi kile Manji alivyopata matatizo ambapo...
assalam wakuu
kama kichwa kinavyojieleza nataka niwe refarii kwa kiwango cha kimataifa(FIFA). JE KWA HAPA Maguland kozi hii inapatikana wapi?
nina hobby sana na hii fani.
nawasilisha
Hili ni swali kwa TFF.
Je TFF wana kitengo na bajeti ya uhamasishaji wa ushindi kwa timu yetu ya Taifa au hata timu zinazowakilisha Taifa?
Hivi hawa TFF wanategemea washabiki wa Taifa Stars ni...
-Mwenyekiti wa Kamati ya usajili ya klabu ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameachiwa kwa dhamana ya Sh. Milioni 15 baada ya kusomewa mashitaka mawili katika Mahakama ya Kisutu mjini Dar es Salaam...
Wale tunaopenda soka tamu na la kushambulia na lenye matokeo kama wanavyocheza Cape Verde, njooni tukutane hapa.
Leo tuwafunge ngapi hao wenyeji wetu Taifa Stars? Mimi nadhani 2-0 itwatosha...
MWAKA 2000 CAPE VERDE ilikuwa namba 182
Miaka kumi tu.. wapo nafasi ya 67
Bado huamini kuwa wapo juu yetu sasa ona maajabu yafuatayo hapa chini
KIKOSI cha sasa cha CAPE VERDE
na TANZANIA...
Kijana mtata Raia wa Urusi ambaye wiki iliyopita alijizolea umaarufu baada ya kumpa kipigo kikali Mu_Irish Thenotorius_Conor Mcgregor katika pambano la UFC 229,
pambano ambalo lilivutia wengi...
Kipindi ile breki ya kupisha mechi za kimataifa ikiianza leo, wachezaji watano wa kimataifa toka Simba SC wanatarajia kulitetemesha Bara la Africa, pale watakapokua katika viwanja mbali mbali...