jaman kuna blog ambazo zinaongoza kupamba wachezaji tofauti na hali halisi jinsi ilivyo au inapamba timu kiasi kwamba kama shabiki unakuwa na mategemeo makubwa kumbe hakuna kitu me naanza na blog...
MWANASPOTIAPP
Mashindano makubwa kuliko yote ya soka nchini, Ligi Kuu Bara, umeshaanza.
Mechi kadhaa zimeshachezwa tangu utepe ulipokatwa Jumatano, sasa ni mwendo wa mechi mpaka pale...
jana tarehe 7/8/2017 kwenye kipindi cha michezo habari cha sports extra cha clods fm habari iliyotawala ilikuwa ni ya mashabiki wa iringa kuwapiga wachezaji wa mshikamano.
zogo lilianza baada ya...
Wadau nimekiwa nikipiga kila siku kuwa vijana wetu wa Serengeti boy's sio under 17,kwa factor hizi.
Kama ni kweli vijana hawa wana miaka kumi na saba, inamaana watakuwa wamezaliwa mwaka 2001 ...
Ex-junior international, Emeka Amadi, in this interview recounts how, as goalkeeper of the Flying Eagles, his team, with less than 15 minutes to regulation time, staged a dramatic comeback from...
Sote Watanzania tunashuhudia kiwango vya vijana wa timu ya mpira kwa vijana wa until wa miaka 17 au Serengeti Boys. Katika uchungu wangu kikosi cha sasa ni bora na kimesheheni vipaji pengine...
-Shiva N'Zigou alidai kuwa alifanya mapenzi na dadake na shangaziye
-Alisema alifanya hivyo kusaidia katika kukuza uchezaji wake
-Shiva alidai kuwa mamake alitolewa kafara
Mchezaji kandanda...
Binafsi nashukuru viongozi wa timu ya Serengeti boys pia wachezaji wake kwa utetezi wa nguvu juu ya Taifa letu.
PENDEKEZO
Nashauri serikali kuwekeza katika timu hii kwa nguvu zote na wasiruhusu...
Wengi wetu wapenda soka tuliiona kama mkombozi wa mpira wetu,tukaipendà na kuwa wateja wa bidhaa zake,ikafaidika sana na soka nikajua.Hii Leo wamejitoa na kutuacha wapweke.Tuwasusie ili bidhaa zao...
Unbeliavable Talent..Miaka 19, anapiga pasi za pirlo, ana-turn kama Xavi, Mnyonge tumnyonge, Haki yake tumpe..FUNDI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni taarifa iliyotolewa na BBC , kwamba Rais wa Liberia Mh George Weah atamtunukia mkongwe Arsene Wenger tuzo ya juu ya heshima kwa kukuza soka barani Afrika , tukio lililopangwa kufanyia...
Unajua kwa sasa hakuna timu yenye uwekezaji mkubwa sana kuzidi Simba hapa Tanzania. Simba mpo vizuri. Mnafaa mpewe pongezi. Heko kwa Mo na Manara kwa kazi yenu kubwa.
Bila kigugumizi Simba...
Kocha mpya kwa timu ya Taifa 'Taifa Stars', Emmanuel Amunike ametangaza kikosi cha Wachezaji 25 kwa ajili ya mchezo wa kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Uganda
Majina ya Wachezaji hao...
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amemuomba Naibu Mwenyekiti Mtendaji wa klabu hiyo Ed Woodward kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo Anthony Martial.
=====
Manchester United boss Jose...