Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nimewapigia kwa simu yao ya mezani bila mafanikio Niko mbali na Nina shida ya kiofisi please mwenye namba hasa ya wasap kuna document za kutuma pia
0 Reactions
0 Replies
706 Views
1" Goaaaal Raphael Daudi anaifungia Yanga goli la kwanza kwa kichwa 10" Yanga 1 -0 Welayta 30" Yanga bado wanaongoza kwa goli 1, timu zote zinacheza kwa tahadhari 45" Halftime sasa Yanga...
2 Reactions
128 Replies
16K Views
Habari za ndani zinasema Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia makamu wa Rais wa Shirikisho hilo, Michael Wambura kutojihusisha na soka maisha yake yote. TFF imetangaza rasmi maamuzi ya Kamati hiyo...
4 Reactions
118 Replies
15K Views
Tuweke kumbukumbu sawa. Chelsea Liverpool Arsenal Liverpool Man city Spurs game ya kwnz *wote wamepigwa* Arsenal akija atazikwa kabisa maana sahiz ni maututi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je Pogba ni mchezaji wa kawaida? Maana sifa ya mchezaji mkubwa lazma upambane na kuonyesha uwezo kwenye mechi kubwa. Ninii huwa kinamfanya Pogba apotee na kushindwa kung'aa kwenye mechi kubwa kama...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Hebu leo tumzungumzie huyu maestro Babu zizzou unakumbuka nini toka kwake enzi anasakata kabumbu
0 Reactions
105 Replies
12K Views
Wakati ikionekana kuwa moja kati ya timu zilizokamilika sana barani ulaya(Europa) msimu huu Jamaa waliamua kufanya Business yao Mapema sana...wakakusanya chao(Points zao) mapema kabisa katika...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu kwa anaejua trick za kubet naomba 2we friend aweze nisaidia mengi about betting. Naomba ufafanuzi kwa haya mafumbo. [emoji116]
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naangalia ndondi hapa pengo vs mfaume tumeanza na wimbo wa taifa ila huyu Rais wa ndondi hajui wimbo wa Taifa Aibu nimeona mimi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeona Insta akimlinganisha na Rooney kwa goli alilolifunga jana!Kwa nini huwa humkubali huyu jamaa wakati mi naona ana takwimu za kutisha? Unapenda kuleta uswahili na umekuwa ukiongoza sana...
1 Reactions
106 Replies
8K Views
Hakika akili ile huwa ni ya kiwango cha phD ambapo mbetiji hakosei kabisa kupanga mpangilio wa mambo atakayofanya kama mkeka wake ukitiki: Mimi nikibet huwa natengeneza mkeka unaanzia million 35...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
EPL mechi za tarehe 24 na 25 september,2016 Man United vs Leicester -1 Bournemouth vs Everton-2 Liverpool vs Hull city-1 Middlesbrough vs Tottenham-2 Stoke vs West brom-1 Sunderland vs Crystal...
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa ulaya ya mwaka 2005 iliyopigwa jijini Instabul nchini Uturuki inabakia moja kati ya mechi bora za wakati wote. Fainali hiyo ilizkutanisha Ac Milan dhidi ya...
9 Reactions
44 Replies
5K Views
Simba wanafanya kimya kimya ili waje kutangaza surprise ila kaingia Jana usiku Muda mfupi uliopita Okwi amesaini kandarasi ya kuitumikia Simba kwa miaka miwili.Hongera Simba SC.
0 Reactions
62 Replies
13K Views
ULAYA: Klabu ya soka ya Arsenal ya Uingereza jana usiku imeibukana na ushindi mnono wa goli 4-1 dhidi ya klabu ya CSKA Moskva katika michuano ya Europa ligi Magoli ya Arsenal yalifungwa na Aaron...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba Msaada ni Jinsi gaani nitaweza ku-download Full Match za UEFA za Jana....April 3 & 4 ...Sababu kubwa sikupata Nafasi kuziangalia juzi na Jana UCL 2018...... Mwenyezi ujuzi ,naomba...
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Young Africa
0 Reactions
2 Replies
753 Views
Leo kuna kiputwe cha ligi kuu soka Tanzania bara kati ya ambacho kinapigwa mkoani Njombe. Timu ya Njombe mji inawakaribisha miamba wa Soka kutoka Dar, Simba SC ambao ni vinara wa Ligi kwa sasa...
2 Reactions
64 Replies
13K Views
Klabu ya Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga itarajiwa kushuka dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam mnamo Aprili 07, 2018 kuwavaa Welaita Ditcha ya Ethiopia huku ikiwakosa nyota wake...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…