Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anaonekana kupitwa na wakati na tabia zake zimebadilika , kulingana na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Chris Sutton. Mourinho amekosolewa na baadhji...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwanini ampige Roman kwa viti huku kafungwa pingu.
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Baada ya kufungiwa, Wambura aibua mapya TFF Ukimwaga mboga, namwaga ugali ni miongoni mwa misemo maarufu ya lugha ya Kiswahili ambao unaweza kutimia baada ya Makamu wa Rais wa TFF kufungiwa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Siku kama ya leo nabii na mtume wa mwisho kwenye soka Ronadinho Gaucho alizaliwa. Happy birthday to u Gaucho. Cc: Gang Chomba
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania? Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau mwenye link ya onlinetv app naomba anitumia ni ile ambayo ina channels za kibongo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Usipoutumia vizuri uwanja wako Wa nyumbani usitarajie muujiza ugenini. Tabia ya mashabiki Wa yanga na Simba kushangilia wageni kwa nguvu zote kwenye mechi zetu za nyumbani inatufanya tushindwe...
3 Reactions
51 Replies
5K Views
TIMU ZA N.AFRICA ZITAENDELEA KUTAWALA -Ukizungumzia soka la bara la Africa Maarufu kama CAF champions league lazima utagusa ukanda wa Afrika kaskazini sababu klabu kutoka ukanda huo wamekuwa...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amesema kuwa Paul Pogba hatoweza kuwa na furaha kwenye kikosi cha Manchester United. Paul Pogba yuko kwenye kikosi cha Ufaransa kitakachokuwa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naukumbuka sana uongozi uliotukuka wa Leodegar Tenga kama Rais wa TFF na mafanikio mengi aliyoyafanya hasa hasa kwa kuunda kamati mbalimbali ndani ya TFF ambazo zilikuwa na zinafanya kazi kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari, Naomba mwenye kufahamu sheria za nichezo ya netball(mpira wa Pete) na volleyball (mpira wa wavu) zenye tafsiri ya kiswahili anipatie ambayo inatumika hapa kwetu Tanzania. Ikiwemo pamoja...
0 Reactions
2 Replies
33K Views
TFF wajibu hoja za Michael Wambura Shirikisho la soka nchini TFF limejibu tuhuma zilizotolewa na makamu wa rais wa shirikisho hilo Michael Richard Wambura, baada ya hukumu ya kufungiwa maisha...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Ukipiga pesa za TFF karia hakuachi
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Ratiba ya hatua ya mechi za nusu fainali kombe la FA imetoka usiku ya kuamki leo Katika ratiba hiyo Manchester United wamepangwa kukutana na Tottenham Hotspur. Chelsea wao wamepangiwa kucheza na...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi si shabiki wa Simba. Ni wa Yanga. Lakini, nawiwa kuwashauri watani wetu wa jadi. Nawashauri mwaka huu wakaze uzi hadi wanyakue ubingwa wa ligi kuu. Maana, tayari wamesharudi mchangani na...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Al Masry 0 - 0 Simba SC (Agg: 2 - 2) 01': Mechi imeanza na Masry wamekuwa wa kwanza kufika katika lango la Simba. Manula yuko makini 03': Simba wanamuachia Mohammed kupiga kichwa akiwa peke...
10 Reactions
182 Replies
31K Views
Wapo wengi watashangaa hasa timu yangu ya yanga nini kimetokea wamecheza vizuri hivi Kwa wasiojua vijana walipunguziwa madeni yao na ni bahati mbaya tu awakushinda lakini walikuwa wawe na week...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi wowote ule , ushindi ni wetu siku ya Jumamosi kwenye uwanja wa Port Said . Mungu ibariki Simba .
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi ukifungiwa maisha na TFF usishiriki masuala yoyote ya soka ni mambo yepi hasa inatakiwa usifanye? Na je ikitokea bado huyo mtu akaendelea kufanya mambo fulani ya michezo ni hatua zipi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…