Hivi ukifungiwa maisha na tff usishiriki masuala yoyote ya soka ni mambo yepi hasa inatakiwa usifanye? Na je ikitokea bado huyo mtu akaendelea kufanya mambo fulani ya michezo ni hatua zipi...
Kama title hapo juu inavyojieleza.Mimi kama mshabiki wa majogoo wa jiji,jana usiku nilifadhaishwa mno na uamuzi wa UEFA kuifurusha man-U katika UCL kwasababu katika mechi ya mwisho ya UCL man city...
Mimi kama liverpool fan tangu enzi za gerrard houllier kwa kusema ukweli naogopa sana liverpool akipangwa na barcelona kwenye hatua ifuatayo ya 8 bora.Kama ningekuwa na uwezo basi ningependa sana...
heey! najua umekuja kasi ukitaka kuporomosha data na takwimu kuhusu mchezo wa Chelsea na Timu inayo ongozwa na mchezaji bora wa dunia L.M
wakati meingine hisia huweza kuwa sahihi zaidi ya hizo...
Mechi inapigwa muda mchache ujao, wanasoka huu ni uzi wenu wa kupeana updates kuhusiana na mechi ikiwa inaendelea.
Vikosi:
Barcelona: Ter Stegen; Roberto, Umtiti, Pique, Alba; Busquets, Rakitic...
Huwa najiuliza sana ni kwanini baadhi ya Watu hupenda Kuuliza kwamba hivi ni nani ameturoga Sisi Watanzania na nikawa hadi nahisi kuwa pengine hao Watu walikuwa tu wanawasingia Watanzania ila kwa...
Mchezo huu utaruka kupitia chaneli ya SS10 namba 210 ndani ya kifurushi cha BOMBA kwa shilingi elfu 19 tu. Leo hamna haja ya kwenda bandani, asanteni Dstv.
Hakuna ajuaye ni maneno gani aliyoyasema Lionel Messi mara baada ya kufunga goli la kusawazisha dhidi ya Chelsea. Pengine kwa kuhisia yawezekana alifarijika sana baada ya kufunga goli kwenye mechi...
Jaman matokeo ninayo Barca kampiga Chelsea magoli mawili na mpira umeisha hivo hivo Barca kapita
---------------
Baada ya sare ya 1-1 wiki mbili zilizopita, leo tunaumaliza utata wa timu gani...
UCL is back again, na kama wewe ni mmoja wa mashabiki damu wa Chelsea, utakua unajua fixture iliyopo mbele yetu na jinsi timu ambavyo imekua na perfomance ya kuyumba kidogo hapo nyuma, Je kwa...
CAMEROON: Nyasi mbandia zilizotolewa katika uwanja wa Douala ili ziwekwe nyasi halisi zimeibwa na kuuzwa kinyemela. Nyasi hizo bandia ziliondolewa katika Uwanja huo ikiwa ni katika maandalizi ya...
Ndio nimeamka mida hii, ila usingizi wangu ulikuwa wa mang'amung'amu sana, nimeota Man utd ikiwa imetoa sare ya 2-2 dhidi ya Sevilla huku mpira ukiwa umeisha na wachezaji wa Sevilla wakiongozwa na...
Najawa na imani na Rais wa Tff ndugu Wallace Karia ,hakika Tff ya sasa itakuwa na nidhamu .
1.Kipindi Karia akiwa makamu wa rais wa Tff alikuwa na mahusiano mabaya na rais wa wakati huo Jamal...
Meneja wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho amesema hatua ya klabu hiyo kutupwa nje ya michuano ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya katika hatua ya 16 bora "si jambo geni" kwa klabu hiyo na si...
ULAYA: Klabu za Soka za Sevilla ya Uhispania na AS Roma ya Italia jana usiku zimefuzu kucheza hatua ya robo fainali katika michuano ya Klabu Bigwa barani humo
Sevilla wamefuzu baada ya...
Habari Wakuu..
Poleni na Majukumu
Naomba kuuliza.. Nahitaji tiketi nne za mechi ya fainali ya kombe la dunia kwa ajili ya kuandaa promotion kazini kwetu.
Tumechelewa kufanya manunuzi ya ticket...