Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa mujibu wa BBC sport news Man city ndiyo team ambayo kwa sasa inacheza soka bora zaidi katika ligi zote bora nne dunia, yaan spain,German,Italy na England yenyewe. wameangalia namna team...
3 Reactions
112 Replies
11K Views
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapo, mechi kati ya Tanzania Prisons na Mbao FC iliyoahirishwa jana na kupangwa kucheza leo saa 8:00 asubuhi imesongezwa mbele hadi saa 10:00 jioni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kawaida; kwenye mbio za kilimarathon; wakenya huwa wanazota tuzo zote katika kategories za mbio. Mwaka jana tu ndo mtanzania mmoja alitutoa kimasomaso kwa kushinda kategori ya Mita 21 kwa...
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Wana jamvi naomba ushauri mtt wangu ana kipaji cha mpira anatumia mguu wa kushoto hata waalimu wa shule anayosoma amenieleza kuhusu kipaji hicho sasa naomba ushauri nikuzeje kipaji chake na diet...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Wapenzi wa soka, huyu Mousa Dembele wa Spurs kawakosea nini? Mbona hapewi sifa zake anazostahili, jamaa anajua sana mpira ila cha kushangaza wanaosifiwa ni akina Pogba kila siku. Dembele huwa...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa miaka 15 iliyopita katika ligi yetu ya VPL nadiriki kusema mpaka sasa sijaona beki wa kati wa kariba ya Victor Costa Nampoka "Nyumba". Victor Costa alibarikiwa kila kitu ambacho beki wa...
8 Reactions
52 Replies
10K Views
Wakuu wana JF.. Ni rahisi zaidi kwa mwanaharakati Mange Kimambi kuwa Mbunge wa viti maalumu pale Msoga kuliko Profesa Makoti mzee Hasanali Mawenge kuingia Top Four Msimu Huu! #wengerout
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WAANDAAJI wa muda mrefu wa shindano la Miss Tanzania Kampuni ya Lino Agency chini ya Mkurugenzi wake Hashim Lundenga wametangaza kuachia ngazi kwa kutojihusisha tena na shughuli hizo za urembo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Patashika ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara (VPL,) kuendelea leo katika uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam, ambapo vinara wa ligi hiyo Simba SC kuwakaribisha Chama la Wana, Stand United...
12 Reactions
394 Replies
35K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongezeni sana Uongozi mzima wa SIBUKA Media Company kuanzia kwa Mkurugenzi na Mmiliki wake Dr. George Nangale ( Mbunge Mstaafu wa Afrika ya Mashariki ) na Mkewe Madam...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu.. Hata kama mpira una Matokeo matatu yaani: Kushinda, kudroo na vilevile kufungwa; Lakin kwa walichokifanya Stand Taifa jana ni Hatari kwa Afya zetu WanaSimba katika Mbio za Ubingwa! Stand...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
NYOTA wa Paris Saint-Germain, Neymar amewasili mjini Belo Horizonte akiwa na mama yake, Nadine Goncalves Da Silva and na Daktari wa timu ya taifa ya Brazil, Rodrigo Lasmar jana tayari kwa upasuaji...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
“ MO amekuwa na tabia ya kutokuja mazoezini akiwa na sababu nyingi kila mara jambo ambalo linaathiri kiwango chake na hivyo sitaweza kumtumia. Simba sio timu ya sikukuu ambayo unaamua leo uje...
3 Reactions
27 Replies
6K Views
THIS IS ONE OF THE BEST KISWAHILI MOVIES YOU WILL SEE IN A WHILE !!!!
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Mimi ni mvivu mpaka kula
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Imegundulika kila mtu ameiga kipaji cha Pele katika soka
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Timu ya Serie A ya AC MILAN imemtimua kocha wake Vicenzo Montella na kumpa kazi hiyo Mchezaji wake wa zamani , Mcheza rafu Genaro Gattuso. Hebu pata picha jinsi AC MILAN itakavyocheza . Ni...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
Kuna Watu wanasema Bwana Manuel Neuer Ndio Golikipa Bora Duniani.Sikatai,Lakini hiyo ni kwa Miaka iliyopita Lakini kwa sasa Hiyo Heshima anayo David Sema Tu kinachomwangusha ni Man u kutofanya...
8 Reactions
19 Replies
6K Views
Habari, Ujumbe huu utachukua dakika chache kusoma Nina YouTube Channel kinachoitwa "DIRECT BONGO TV" Ninataka kusambaza filamu za Kiswahili duniani kote! Kwa msaada wako! Ningependa mjiunge...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Back
Top Bottom