Mchezaji wa Zamani wa timu ya Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania, Arthur Mambeta amefariki dunia baada ya kuugua kwa kipindi kirefu jijini Dar es Salaam.
Kutoka na taarifa hizo, Afisa habari...
My take: Hivi siasa ina undugu na uongo? Si ni huyu Ndumbaro aliyefungiwa na Malinzi akitetea haki za vilabu kwenye suala la haki za matangazo? Yamemkuta yapi? Au ndo Siasa?
Ndugu yangu Amri...
Habar zenu ndg,naomba kuuliza " mtu anaeajiliwa kwenye hizi sports games...kaz yake ni ipi???pia naomba kujua hizi games zipo ktk category ngapi!???mshahara wa huyu mtu unaweza kuwa sh ngapi kwa...
Kama wewe ni shabiki haswaa wa
Man City
Barcelona
Real Madrid
Man United
Chelsea
Tottenham
Arsenal
n.k
Nikimtoa LEO MESSI, waliobakia wote Je! Ni yupi kati ya hawa ungependa aje aichezee timu...
WADAU WENZANGU HESHIMA KWENU!
1-LEONEL ANDRES MESSI-LA PULGA
2-DIEGO ARMANDO MARADONA-GOLDEN BOY
Tangu soka lianze hapa ulimwenguni. Ni mchezaji yupi aliyefikia kiwango cha wafalme...
Leo ni kiputwe cha ligi kuu soka Tanzania Bara ambapo wekundu wa msimbazi Simba inawakaribisha Mbao FC kutoka jijini Mwanza.
Mbao ikiwa kama timu iliyoleta changamoto kwa Timu kubwa za Kariako...
Kocha mkuu wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ametangaza rasmi kuacha kufundisha soka la Tanzania kutokana na maamuzi mabovu katika baadhi ya michezo ligi kuu Tanzania bara.
“Kuanzia leo na...
Umoja katika jamii yoyote ni muhimu sana kwa ajili ya kuwasilisha maoni na pia kusaidiana wanachama kwa hali na mali.
Nasi tunaanzisha umoja wetu, kwa kuanzia viongozi wetu wa muda watakuwa kama...
Kama ulicheck hii game ambayo kiukweli ilikuwa kali sana japo mazembe alionekana kuzidiwa, sasa kuna penalty ya 2 waliyopewa Casablanca, baada ya refa kupuliza kipyenga kuashiria penalty ipigwe na...
Vijijini/mtaani,kuna mapande ya wachezaji wazuri sana,lakn hawajulikani kitaifa,wakati mwingine mpaka wanasitaafu soka bila kujulikana!!
Nawakumbuka sana wakongwe wa kijijini kwetu,enzi za akina...
Wandugu kuna rekodi mbali mbali za soka la bongo nahitaji kuzifahamu. Nna uhakika pia zitakuwa ni muhimu kwa wale wasiojua kama mimi. Rekodi hizo ni zifuatazo
1. Mfungaji wa muda wote wa timu ya...
Hbr wakuu, leo kuna fainali ya kikombe cha ligi zamani kikiitwa Carling cup na sasa kinaitwa Carabao cup chini ya uzamini wa kinywaji cha Carabao.
Nimejaribu kucheck kwenye Dstv ratiba ila...
Je, Unafuatilia habari za michezo ndani na Nje ya Tanzania ? Unapenda kuandika habari hizo kwenye Tovuti? Basi kurunzitz.com ni tovuti inayoandika Habari za michezo za nje na ndani ya...
Tunahitaji kuanza kuwafanyia tathmini kwa huko tulikotoka na yale waliyoyaahaidi, ikiwa inaelekea miezi 7 sasa tunahitaji kuambiwa nini mwelekeo wao hadi sasa na vipi nafasi ya timu yetu ya taifa...
Wana jf hebu tudadavue nini kinaweza kuwa ndiyo sababu ya Fifa mwaka huu kuja Tanzania kufanyia mkutano wake.
Je, ni uongozi mzuri wa serikali ya awamu ya tano?
Je, ni kutokana na uzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.