Kiukweli hii sasa ni siasa, Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari watakaohudhuria mikutano wa Rais wa FIFA atakayewasili nchini hivi karibuni kutomuuliza Rais huyo swali lolote kuhusu...
Miaka miwili nyuma kwenye mechi za preseason au kwenye kombe la fa sina uhakika simba walienda Arusha kucheza na klabu ya madini fc ya Arusha inayoshiriki ligi daraja la kwanza.
Kwenye mechi ile...
Madrid ni km Nyani zee lililokwepa mishale mingi na kukutana na misuko suko tele na akaimudu..
Na mwendo wake huu huu wa ngarawa mwsho wa msimu tunaskia record ya kuchukua ndoo mara 3 mfululizo...
Mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano ndani ya klabu ya Simba Haji Manara amesema Simba sio timu ya kwanza kutoa sare au kufungwa na Mwadui hivyo mashabiki wasiongee sana.
Kupitia moja ya...
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) kupitia Kamati yake ya Nidhamu imemshushia adhabu kali mchezaji wa Kagera Sugar, Juma Nyoso kwa kosa la kumpiga shabiki baada ya mechi kati ya timu yake...
Hakuna mahali popote katika dunia hii ambako siasa ilichanganywa na mpira wa miguu na kukapatikana mafanikio, ndio maana kuna uongozi wa kisiasa unaopiganiwa majukwaani kama kinyang'anyiro cha...
Kutokana na uchambuzi uliofanywa (na unaoendelea kufanywa) na mtandao wa "You Are The Ref" kwenye mwenendo wa ligi kuu ya England (EPL), msimu huu maamuzi mabovu ya marefa yameibeba sana Man...
Kamati ya mashindano ya TFF iliyokutana Februari 13, 2018 pamoja na mambo mengine ilipitia taarifa za mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam kati ya Green Warriors na Singida United ambapo...
Mke wangu hataki kabisa niende bar kuangalia mechi za UEFA champions league,nikitaka kuondoka huwa ananishutumu kuwa nitaenda kutongaza ma bar maids,nyumbani tuna king'amuzi cha azam,sasa nataka...
Ligi kuu ya soka Tanzania bara imeendelea tena hii leo kwa mchezo mmoja wa mzunguuko wa 18 kati ya mabingwa watetezi Young Africans ambao walikua nyumbani uwnaja wa Taifa jijini Dar es salaam...
Kama huna jicho la 3 huwezi kung'amua hili , Kunyimwa uwanja wa mazoezi hakukuja hivihivi tu , ulikuwa mpango maalum wa kuikomoa timu hiyo kutokana na matatizo ya Manji na chama cha kisiasa cha...
Tuna theluji na baridi ya kutosha juu ya mlima Kilimanjaro.
Kamati ya Olympic na Bodi ya Utalii ikishifikiana na Mamlaka ya KINAPA, huu ndio wakati wa ku plan, Winter Olympic Kilimanjaro 2050.
Kwa siku za karibuni nimeshuhudia vilabu vingi barani Ulaya vikitumia mfumo wa 3-4-3. Makocha wengine wameuboresha na kuwa 3-5-2. Mfumo huu wa 3-4-3 yaani kuwa na Mabeki watatu, Viungo wanne na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.