Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Baada ya suluhu dhidi ya Arsenal leo Chelsea wanarudi darajani kupambana na Leicester ambayo tokea Claud Puel ameichukua imekuwa na matokeo ya kuridhisha..Chelsea hawapo katika situation nzuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sasa anaongoza kwa magoli Man City huku akimuacha Aguero,anawafukuzia Salah na Kane kimya kimya.Watu hawamuongelei huyu kijana lakini huyu jamaa ni hatari kwenye msimu huu.
6 Reactions
69 Replies
7K Views
Serikali ya Saudi Arabia kwa mara ya kwanza imewaruhusu Wanawake kuhudhuria kutazama Mchezo wa Mpira wa Miguu Aidha Wanawake wataruhusiwa kuendesha magari kuanzia mwenzio Julia mwaka huu Huu ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alichokifanya Chirwa ni kufikisha ujumbe kuwa wachezaji wawe wanalipwa stahiki zao kwani wanaweza wakanya kitu ambacho kitailiza timu na kuokost. Yanga timu yangu pendwa tuache janja janja za...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
THE PRESENT IS NOW::: Jamaa akasema Uno..Dos..Tres..Hala Madrid¡..uwanja mzima wa Santiago Bernabeu wote ukaitikia Hala Madrid.. Uno(one),,dos(two)..tres(three).. Cristiano Ronaldo Dos Santos...
0 Reactions
5 Replies
660 Views
Mechi ya yanga na URA inaenda kuanza mda si mrefu. Kikosi cha yanga cha Leo 1. Youthe rostand 2. Kesi 3. Mwinyi 4. Vicent dante 5. Yondani 6. Papy Kabamba Tshishimbi 7. Buswita 8. Makapu 9...
1 Reactions
75 Replies
16K Views
Wadau, Nimesekiliza watanzania tuongee magazeti ya radio free afrika leo hii, nikasikia habari ya kile alichosema Eric Abidal wakati amefanyiwa operation ya kansa ya ini wakati akicheza Barcelona...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Ilikuwa ndio msimu wa kwanza wa Jose Mourinho ndani ya kikosi hiki cha Chelsea. Chelsea walichukua ubingwa wa EPL kwa point 95 ambazo hazijawahi kufikiwa na timu yoyote mpaka leo, huku wakiruhusu...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Povu la Haji Manara kwa Shaffih Dauda "Tunajua ww una ugomvi wako binafsi na baadhi ya viongozi wa Simba.lakini usitafute ugomvi na wanasimba wote,Sie kufungwa sio wa kwanza na hatutakuwa wa...
3 Reactions
56 Replies
12K Views
Hii kauli yake ya juzi ya kusema atafutiwe msaidizi haraka ina maana gani? wazee wa ten percent mshakubaliana awakatie kiasi cha hela kwenye mshahara wake kila mwezi? alivyokuja si alisema begi...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Sio Christiano Ronaldo Sio King Leonel Messi Ni Faiq Bolkiah. Anachezea club ya leicester city reselve team. Katika umri wa miaka 20 anamiliki utajiri wa US$ 20 billion. Ni nephew wa sultan wa...
0 Reactions
15 Replies
32K Views
" Eti siku zote Mume akifa na UKIMWI hata Mke nae atafuata muda si mrefu ". Wakaenda mbele zaidi na kusema " kawaida Mke mwema hupenda sana kuongozana na Mumewe kila aendapo " na wa mwisho...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Packages include official match tickets, hotel accommodation and round trip tickets. More details to follow soon............... MWISHO wa kujisajili ni tarehe 31 January 2018!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Vijimambo: Mwanamuziki wa Tanzania ajaribu kuzungumza kingereza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii nimeiona Tanzania peke yake tena pale Benchi la ufundi yanga kwenye mechi ya jana, mchezaji ambaye amekaa nje ya uwanja kwa zaidi ya week mbili tena akiwa kwao, anasafiri masaa machache...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mfanye mrudi tu uku maana msidhani kuna mshindi wa tatu, hakuna vya kusema mmekufa kiume wala kike, kifo ni kifo tu.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji1]
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakati umefika Kwa Mohamed Dewji kuanzisha Kituo cha michezo Kwa ajili ya kuwaka vipaji ili kuwanasa VIJANA kuchezea Klabu ya Simba.
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Bila shaka hakuna anayeweza kubisha kuwa Group B la Mapinduzi Cup litaongozwa na Yanga SC. By tha way! Kama unabishana na hilo ,huenda ukawa unadhani kuwa Azam FC anaweza kuongoza hilo kundi...
5 Reactions
125 Replies
16K Views
MAPINDUZI CUP FT: SIMBA 0 - 1 AZAM Huu mfumo wa mabeki watatu(3) anaotumia huyu kocha Masud Djuma wa Simba ndio utamrudisha kwao na kuiacha timu ya simba ktk nafasi mbaya mno. Tena anapokutana...
5 Reactions
34 Replies
7K Views
Niseme tu ukweli na bila kuficha au kuwa ' Mnafiki ' ninachokiona katika haya ' Mashindano ' ya Ndondo Cup si vitendo vya ' Kimaadili ' kabisa hasa katika ' Jamii ' yetu ambayo ilianza '...
4 Reactions
65 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…