Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo...
2 Reactions
45 Replies
5K Views
man city anatoka leo
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Naangalia bonge la Game, Channel ni Fox sports 2! Mechi ina magoli 6 mpk sasa! Poleni mashabiki wa Arsenal. Kusoma Albadir hamuezi, njooni huku!
0 Reactions
2 Replies
612 Views
Nilikua napitia kikosi cha U_23 kilichoitwa Leo na TFF. Jina lake lipo. Hivi ni kweli jamaa kazaliwa 1994!
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Mchango wa msiba Kufuatia taarifa ya ghafla ya msiba wa baba mzazi wa mchezaji wetu ndugu yetu asante kwassi uliotokea kwao nchini ghana, uongozi wa lipuli fc unakuja kwako mwanachama, mpenzi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
PATRICE EVRA AMPIGA SHABIKI WA TIMU YAKE TEKE LA KARATE [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116][emoji116] [emoji116]
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana msimbazi leo mitaa ya jioni ilinikutia kariakoo mitaa ya msimbazi ,nikaona kijiwe cha kahawa cha wanachama wa simba nikaamua niende kujumuika nipate vikombe 3 vya kahawa ili nichangamshe...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Homa ya Kariakoo Dab ndio hiyoooooo. Mbali na timu hizi kuwa ndio kongwe nchini, pia ndizo zenye washabiki wengi kwa sasa nchini Tanzania na nje ya nchi kama tulivyoona siku za hivi karibuni huko...
1 Reactions
62 Replies
10K Views
Kikosi cha England ( The three lions ) kilichoshiriki Euro 2004 nchini Ureno, kikiwa na mastaa ambao waliunda sehemu ya kizazi cha dhahabu cha Waingereza kuanzia mwaka 2004 mpaka 2012. Ni...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Ronaldinho gaucho alifiwa na baba yake akapata taarifa kwa kuwa walikuwa na mechi muhim akawaambia atacheza tu, Baada ya kufunga gori alilidedicate kwa baba yake anaonekana mwenye uchungu aise...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Najaribu kuwaza kwa sauti wakuu, unadhan nini kitatokea msimbazi endapo ubingwa hautopatikana msimu huu??
2 Reactions
42 Replies
4K Views
1.Harry Kane. Thamani ya Kane inatajwa kukaribia thamani ya Neymar kwa sasa na Tot wanataka zaidi ya £170m kama unamtaka Kane, tayari Florentino Perez amekanusha kumhitaji Kane lakini ni wazi kwa...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog amesema kuwa kitendo cha kiungo wake, Jonas Mkude cha kuonyesha kiwango cha juu katika mechi Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, sasa anaweza kumuanzisha...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Biashara hii inakuja kwa Kasi sana Nchini ukiangalia kuna makampuni zaidi ya Kumi yanafanya Michezo ya Bahati nasibu.... Sasa kama Unabet hakikisha usiwe na Tamaa maana Kampuni yenyewe haina...
7 Reactions
46 Replies
13K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, wadau wenzangu wa thé blues inaonekana msimu huu kwetu ni mgumu, kuanzia epl na hâta uefa, ukiachilia mbali kuumizwa na matokeo kama shabiki, vilevile kuumizwa na...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Inawezekana Msemaji wa Simba, Haji Manara akaingia matatizoni na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambalo limetaka ufafanuzi kutokana na kauli zake dhidi ya waamuzi waliochezesha mechi ya Yanga...
1 Reactions
75 Replies
10K Views
Anawajengea hofu wachezaji kuwa waamuzi wanawaonea. Madhara yake atayaona hivi punde. Wachezaji wa Simba wana hofu nyingi zinazosumbua akili zao kama vile hofu ya kushindwa kuipokonya Yanga...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimefuatilia washindi karibu wote ni kampuni ya tigo tu.je kwanini voda na makampuni wengine hawashindi? =================================================== Kinachonishangaza kwenye BIKO ni hivi...
0 Reactions
45 Replies
13K Views
Nahodha wa Tafa Stars, Mbwana Samatta ametajwa kuwa miongoni mwa wachezaji 30 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora Afrika na Shirikisho la CAF. Mshindi wa tuzo hizi ataamuliwa na makocha wa wakuu...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naanza kwa kuwasalimu sana ndugu zangu wa hapa jf, Hasa wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu, Mimi umri umekwenda KIDOGO si kijana , lakin mafuatilia mpira wa miguu, Leo nimeona bora tuanzishe...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…