Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

MSHAMBULIAJI wa Simba, John Raphael Bocco yuko fiti kwa mchezo na mahasimu wa jadi, Yanga Jumamosi Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya kupona maumivu ya mguu. Mshambuliaji wa zamani wa Azam...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema Serikali inatambua haki ya vyombo vya habari katika kukosoa, kujadili na kuchambua masuala mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Nilishangaa sana nilipoenda dukani Kkoo na kuambiwa Bei ya jezi ya Ajibu 35000/ Bei ya jezi ya Niyonzima 12000/ Kiukweli nilishangaa sana nikaamua Kwenda Karume na Ndio nikakutana na bei hizi...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe, yupo kambini na kikosi cha timu hiyo ku- jiandaa na mchezo dhidi ya Simba utakaochezwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Uhuru na amesema kama mambo yataenda sawa na...
0 Reactions
2 Replies
696 Views
Ben Kakolanyi Ramazan Kessy Haji Mwinyi Patrick ( Pato ) Ngonyani Nadir Haroub ( Nahodha ) Juma Makapu Geofrey Mwashiuya Raphael Daud Emanuel Martin Donald Ngoma Amis Tambwe Nina uhakika kabisa...
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Mchezaji wa Simba Emanuel Okwi amefunga magoli nane (8) hadi sasa katika mechi sita za ligi alizocheza msimu huu, magoli mengi zaidi ya timu nzima ya Yanga ambayo imekuwa na magoli sita tu...
7 Reactions
45 Replies
10K Views
Wazee wa ku stunt Vs Mapolisi
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Waafrika watatu wameisaidia klabu ya leicester city kuichapa bakora 3 leeds united dhidi ya bakora yao 1.wote wamepiga bakora moja moja. Michuano ya League Cup Hongereni
1 Reactions
3 Replies
540 Views
Cristiano Ronaldo Named Best Player in the World by FIFA 2017 The year-long debate of Messi or Ronaldo finally came to an end last night, at least momentarily, when FIFA awarded Cristiano with...
2 Reactions
1 Replies
672 Views
Aman iwe nanyi wapendwa Yule mtoto serenget boy ameitwa na kocha mayanja kujiandaa na mchezo wa kuivaa benin utakaopigwa tarehe 11 Kijana huyo mwenye miaka 17 sizan kama atafurukuta mbele ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Pata uchambuzi wa VPL na timu zake zote kwenye hi video
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Naamini watanzania wengi wanajaribu kuota kupata fedha za BIKO. Kwa kifupi mchezo huo hauna uwazi kama watanzania wanavyofikiri. Wakati wa kuchezwa ni watu wachache tu wanakuwepo ambao wanaweza...
0 Reactions
402 Replies
63K Views
Je ni kwamba hakuna wenye kiwango hicho, au ligi tu mbovu?? Maana duhh mle wamejaa Barcelona tu kama tisa hivi,, epl inatakiwa ijipange kwa kweli... ndo tufunge mdomo sasa, mara sijui hazard...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
1. Rostand 2. Juma abdu 3. Gadiel 4. Nadir 5. Kelvin 6. Papy 7.Ngoma 8. Kamusoko 9. Chirwa 10. Ajibu 11. Mwashuya. Sub. Tambwe, Martin, Rafael, Vincent na Mahadhi. Vipi kwa kikosi hicho wana Yanga
0 Reactions
1 Replies
817 Views
Aisee huyu jamaa ana speed ya ajabu natamani nimjue mmiliki wake ,pamoja na nguvu kubwa za makampuni nguli kama Meridian na sportpesa ila BiKo kaibuka kinara wa ulipaji kodi kwa makampuni ya...
2 Reactions
59 Replies
15K Views
KOCHA Jackson Mayanja ambaye amejiengua kwenye kikosi cha timu ya Simba kwasababu zisizojulikana, amesema kwamba pamoja na mwenendo wa timu hiyo katika Ligi Kuu bara lakini nafasi ya Yanga kutetea...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo,nchini Uingereza,kutatolewa tuzo kwa Mwanasoka bora Duniani. Wagombea watatu waliosalia ni Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Neymar. Kutatolewa pia tuzo za mwanasoka bora wa kike, kocha...
1 Reactions
71 Replies
52K Views
KOCHA wa Njombe Mji, Mrage Kabange anashangazwa na Yanga wanaomuita straika wa Simba, Emmanuel Okwi kuwa ni mhenga wakimaanisha umri umemtupa na amechuja. “Wakati mwingine ni maneno ya mashabiki...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimetoka kuangalia game ya Stand na Yanga na Stand kuchapwa bakora 4 mbili ya hizo akipiga Ibrahim Ajib Tukiacha unanzi Ajib ni mchezaji mzuri anakila kitu amekamilika anafunga,anatoa...
13 Reactions
78 Replies
10K Views
Michezo Simba mboga yanga ugali vyote moto magazeti ya leo ijumanne 24 10 2017 please dont forget to subscribe for more videos
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…