Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

YANGA WABABE MARA NYINGI, SIMBA WAZEE WA DOZI NZITO (SOURCE: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE 9:13 PM BREAKING NEWS , HABARI ZA MICHEZO) Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM WAKATI watani wa jadi...
0 Reactions
0 Replies
26K Views
Nimeshangaa gazeti LA Champion ambalo linapaswa kuwa kibiashara zaidi kuleta ushabiki mandazi. Hii front page haikuwekwa hivi kwa bahati mbaya
1 Reactions
14 Replies
12K Views
Ni shabiki maarufu wa mabingwa wa historia VPL Yanga Alifariki hivi karibuni ukweli Ali alikuwa kivutio kikubwa mechi kama ya leo....hata mfungwe tatu anahamasisha shangilien kama ameona goli la...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Najaribu kuulizia tu,inasemekana simba ina wanachama takribani 5000 sasa katika mkutano wa leo waliohudhuria ni 1200,je mpaka hapo akidi ilitimia?kama haijatimia maamuzi ya leo ni halali? Sent...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
The Cleveland Cavaliers and Boston Celtics have agreed to a trade that will send Kyrie Irving to Boston in exchange for Isaiah Thomas. Cleveland will also receive Jae Crowder , Ante Zizic and...
0 Reactions
2 Replies
601 Views
Haijawahi kutokea ila safari hii Manji na Aveva watausikia tu mtanange wa timu zao ama kupitia radio au luningani. Ahsante!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu,, mim ni mdau mkubwa wa Dstv nina miaka sita natumia,miaka iliopita Dstv walikuwa wanaonyesha lig mbalimbali,sasa msimu nimelipa kifurushi cha 122,500. Hivi ni kwel Dstv haionyeshi...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Kesho siku ya Jumatano tarehe 23 mwezi Agosti mwaka 2017 kutakuwa na majaribio ya Makombora mikubwa mitatu ambayo itatokea jijini Dar es Salaam ila madhara yake yatatapakaa nchi nzima kutokana na...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Habari za jioni wadau. Naipenda Simba SC na kwa yaliyojiri wiki hii, nitaendelea kuipenda zaidi na zaidi. Kwa wafuatiliaji wa michezo, hususan soka, hakuna asiyejua ukongwe wa klabu ya Simba...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Mkutano unaendelea Mwenyekiti katuburuza na kutunyima nafasi ya kuuliza maswali...waliwapanga watu wao 3...wakaishia kupongeza tu...tunaomba Vyombo vinavyofuatilia mchakato huu waingilie kati...
6 Reactions
63 Replies
6K Views
Nimekuwa nikiona Karibu kila mechi Wachezaji wa Timu za EPL wakivaa vitambaa vyeusi mikononi mwao, je hii ina maana gani? Ufafanuzi please
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mbali na taarifa za kuondolewa kwenye bodi ya wadhamini wa klabu ya Simba na kusimamishwa uanachama wa klabu hiyo huku akipewa sharti la kufuta kesi aliyofungua mahakamani, Mzee Hamis Kilomoni...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Akiongea na Kipindi cha 360 Saturday cha clouds Tv Afisa habari wa Simba Haji Manara amesema Licha ya Simba kuwa ndio taasisi kubwa na maarufu kwa sasa Tanzania nzima kuliko taasisi yoyote...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Jaman sio ufahali kuhama timu katika kipindi kigumu ni kwann tusiwe wazalendo pindi timu inapofanya vby na hata vizur pia[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]...
0 Reactions
1 Replies
564 Views
Wakuu mnaelezeaje huu mpambano. Kwangu naona huyu mhairishi hataweza kunyoosha mkono kuomba mpambano uishe labda atokee mtu wa kumsaidia kurusha taulo ulingoni kumwokoa. Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
4 Replies
925 Views
Kichaa peke yake ndiye anaeweza kupoteza hela zake kununua jengo la Yanga au Simba kwenye mnada. Majengo yenyewe kuna mtu kawapa tu, Maana hata hati original hazijulikani nani anazo.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nawezaje pata chanell Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
597 Views
JE WAJUA KWAMBA KATIKA MSIMU WA MWAKA 2016/2017 - WA LEAGUE YA JUPITER - BELGIUM, MBWANA SAMATA ALIIBUKA MFUNGAJI BORA AKIWA NA MAGOLI 11 KWA TIMU YAKE YA RACING GENK AKIFUATIWA NA Nikolaos...
7 Reactions
5 Replies
3K Views
Nashindwa kuelewa kazi za hawa wasemaji wa Vilabu vyetu vya Tanzania. Msemaji anasema eti mchezaji X ni sawa na wachezaji 10 wa timu Y Sijawahi sikia msemaji wa PSG au Manchester United akisema...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…