Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

July 19, 2017 Chelsea have confirmed they have agreed a deal to sign Alvaro Morata from Real Madrid. The club have been searching for a new striker and, having missed out on Romelu Lukaku to...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama unakumbuka ilikuwa Aprili, mwaka huh pale Lionel Messi aliposhangilia baada ya kufunga bao mwishoni katika El Clasico kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu, Madrid, akaamua kushangilia kwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Michuano ya Ndondo Cup msimu wa nne imehitimishwa leo Jumapili August 13, 2017 kwa mchezo wa fainali kati ya Goms United dhidi ya Misosi FC mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Kinesi. Misosi FC...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Katika kuhakikisha wanafikia malengo yao, Klabu ya Simba SC imewataka wanachama wake kujitokeza kwa wingi katika mkutano mkuu wa mwaka utakaofanyika leo kuanzia saa 4:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa...
9 Reactions
84 Replies
16K Views
Ninachokiona baada tu ya msimu wa Ligi kuanza, hizi kelele zinazotokana na Imani ya mashabiki wa Simba kuamini kwamba watafanya vizuri saaana msimu ujao, hali itakua tofauti sana.. Yaani kama ni...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
soka wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo anaweza kukumbana na adhabu kali kutoka chama cha soka cha Hispania kwa kosa la kumsukuma refa Ricardo de Burgos...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pamoja na kuambulia kura tatu katika uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais, Fredirick Mwakalebela amesema uchaguzi huo hakuwa huru na haki ila...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hongera kwa ushindi mkubwa,tunaomba uanze na kufanya uhakiki wa umri wa Wachezaji "Kipindi unacheza mpira ligi kuu mimi nipo shule ya msingi,leo nimemaliza Chuo lakini cha ajabu umeitwa kikosi cha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jana nilikuwa nyumbani naangalia fainali ya mpira mashindano amabayo hivi karibuni yamejizolea umaarufu mkubwa hasa kwa vibweka na manjonjo ambayo huambatana na mashindano hayo!, ilikuwa ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba nichukue fursa hii, kumpongeza ndugu Wales Karia kwa kuchaguliwa kuwa kiongozi wetu. Nina ka swali ka kizushi tu, hivi hizi sauti zenye mwangwi za wadau wa mpira, ndugu wajumbe hamkuziskia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi ya uraisi katika Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF), Wallace Karia alipewa nafasi ya kutoa neno kwa familia ya soka. Karia ambaye aliibuka na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ile team maskini lakini jeuri yenye makazi yake kule dimbwini imeshusha kifaa yaani mtambo hatari na jana iliufanyia majaribio na kifaa hicho kikafunga goal lililotenganisha pande mbili yaani...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Yanga kwa mchezo mnaocheza hakika ligi ikianza msipobadilika basi mjiandae kupigika sana.Mnatuweka roho juu sana mashabiki wenu wa kiboya mnaocheza. Mfano. Mtu kama okwi na akina cha ufupi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Matic atavaa Jezi namba 31 -Amesaini Miaka 3 -Mwaka huu Ubingwa wetu
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Fainali ya jana ya 5000m ilinifurahisha sana na nimekuwa mfuatiliaji wa riadha toka mwaka 2000. Mo Farah undisputed athlete aliyekuja kuvunja utawala wa waEThiopia na wakenya hatimaye amestaafu...
1 Reactions
0 Replies
752 Views
Wakuu na wapenda soka wote Mnyamba Mkali Simba Nguvu Moja kwa mara nyingine leo tena inashuka uwanjani ku-test mitambo. Safari hii inacheza na Mtibwa Sugar leo uwanja wa Taifa Msimulizi wako...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habar wanajamvi..... Npo naangalia mechi yaana simba Leo wanapwaya..... Mipango yao haizai matunda....
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndio usajili gani huu jamani? mbona mnataka kutukosesha kombe msimu huu? Yanga 0 - 1 Ruvu jkt
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…