Taifa stars vs south Africa ,vilaza wawili wa soka wanaminyana hapo baadae ,
Siku kadhaa nyuma nilisema kwenye post yangu kuhusiana na mpambano wa Stars na South kuwa vilaza wawili wanakutana...
NDUGU mtz mwenzangu pamoja na tofauti zetu nyingi lakin ni ukweli usiopingika kuwa tu wamoja kwasababu ya Utanzania wetu.
Naomba comment chochote kuipa suport timu yet.
KARIBU
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ana haki zote za kuwa na urafiki na mtu na kumsapoti katika jambo lolote lenye heri. Ili mradi havunji sheria za nchi...
Nikiri kuwa sijafuatilia in details..mgogoro wa ZFA
likini baada ya kuwaona hao viongozi wa ZFA wakiongea star tv
ningependa kumshauri tu Jamal Malinzi...aachane kabisa na migogoro ya ZFA
yeye...
Wadau;
Kuna mambo ambayo ukiya tafakari kwa makini unaona jinsi ambavyo klabu pendwa ya Yanga ambavyo inaongozwa na mwenyekiti tapeli.
Utapeli huu umeenda mbali hadi kujiongezea muda wa kukaa...
Mbona mechi na Taifa Stars hapa haipo? Hii maana yake nini?
Brazil Recent Games
2010-06-15Brazil2 - 1Korea DPRW
2010-06-02Zimbabwe0 - 3Brazil
2010-03-02Republic of Ireland0 - 2Brazil...
Wallace Karia ambaye kwa sasa ndiyo anakaimu nafasi ya Urais wa TFF amethibitisha kuwa ule Ujumbe maalum wa FIFA uliokuwa uje nchini Tanzania kufuatilia sakata zima la Rais wa TFF Jamal Emil...
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa klabu ya simba SC Zacharia Hans Poppe amesema wametuma mtu kwa ajili ya kuzungumza na uongozi wa timu ya AFC Leopard, ili kumsajili mshambuliaji Allan...
Aman iwe nanyi wakuu katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Habali kamili
Yule kiuongo machachali aliyejiunga na simba akitokea azam john bocco ameitwa upes na haraka haraka sana...
Aston Villa wamemsajili aliyekuwa mchezaji wa Chelsea na nahodha wa timu ya Uingereza John Terry.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 36 ambaye kandarasi yake katika uwanja wa Stamford Bridge ilikuwa...
Yaani kuitwa mpnzi au shabiki wa simba lazima uwe na ufahamu mdogo..ndiyo lazima uamini kila unachoambiwa hata kama hakiwezekani.
Niliwaambia Niyonzima hawezi kuichezea simba hata iweje kwa...
NIMEMUONA raisi wa TFF NDUGU Jamali Malinzi akikosea Mlango wa Karandinga. Imenigusa sana. sizungumzii tuhuma zinazomkabili. Nawaza katika muktadha wa kiutu na kujifunza.
Hakukosea mlango wa...
Kikosi cha Taifa Stars kesho kinatarajiwa kushuka dimbani kutupa karata yake katika mchezo wa nusu fainali ya michuano ya kombe la COSAFA dhidi ya Zambia huku kikiwa na mshambuliaji mpya John...
Habari za muda huu.
Taarifa ambazo nimezipokea japo kwa taabu na usiri mkubwa zinasema kwamba hatimaye Rais wa TFF Ndugu Jamal Emily Malinzi amekubali kuondoa jina lake katika Uchaguzi ujao wa...
Nasema mwanzo mwanzoni kuwa mimi ni Mwanasheria na Wakili Msomi. Najua kuwa kutuhumiwa na kushtakiwa si kukutwa na hatia. Kila mshtakiwa si mwenye hatia hadi mahakama itamke hivyo. Mambo hayo,kama...
David ornstein wengi nadhani mnajua huwa hatoi taarifa ya uongo mara nyingi habari zake zinakuwa za kweli kwenye page yake amepost kuwa arsenal wanakaribia kumnasa lacazzete kila kitu...
Siku chache tangu uongozi wa Yanga utangaze kumsajili kiungo mkabaji, Papy Kabamba Tshishimbi anayekipiga Mbambane Swallows ya Swaziland, watani wao wa jadi Simba nao wameingia kwenye vita ya...
Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .
Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku...