Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakati tukiendelea kuisubiri kwa hamu mechi ya Fainali ya Michuano ya UEFA Champions League kati ya Real Madrid dhidi ya Juventus ni wazi wapo baadhi ya wachezaji na wakufunzi ambapo kila mmoja...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
KUELEKEA FAINALI YA UEFA CHAMPION MILLENNIUM STADIUM Congrats Real Madrid ALL GOALS and HIGHLIGHTS Juventus wameshindwa kurudisha Heshima yao Kuelekea katika fainali ya leo ya Uefa Champion...
2 Reactions
37 Replies
12K Views
Ndio wakuu.... Kwa wachambuzi wa mpira na kubeti. Kesho si mnajua kuna nini pale Cardiff City.. Sawa. Nina laki moja hapa, nawaza kesho nizalishe nipate laki 6. Kuna option kadhaa hapa, je niweke...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Hii "tusi" mara nyingi hulisikia kwa Haji Manara "akiwatukana" Yanga,lakini sikuwahi kujua hasa maana yake na lilitokana na nini Mwenye kufahamu please
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Nini kimemkuta huyu kijana wa Kituruki pale Barcelona kakutana na mafundi zaidi au mfumo umemkataa tu? Akiwa Atl Madrid Alikua akipiga mpira mkubwa sana tena washoka alikua hawezi kusugua benchi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Mzambia George Lwandamina amerejea nyumbani na hatakuwepo wakati timu hiyo ikishiriki michuano ya SportPesa Super Cup, inayotarajiwa kuanza Juni 5 hadi 11, mwaka huu Uwanja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wewe kama mpenzi wa soka kati ya sehemu hizi wapi huwa unapenda kuangalia mpira na huwa una enjoy zaidi Sehemu maalumu kwa ajili ya mpira tu a.k.a Kibanda umiza?? Bar? Nyumbani?? Mfano mechi ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Juventus na Real Madrid wanahitimisha msimu wa Uefa wa 2016/ 2017. Juventus huwa wanatumia kifupisho cha Juve na Real Madrid wanatumia RM . Ubashiri unaonyesha ndani ya dk 90 itaisha draw na...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Sisi mashabiki wa simba tunauomba uongozi ufanyeusajili wa maana maana mda ndo huu sio msubiri hadi ibakie Sikh moja halafu mdio muanze kuhaha
0 Reactions
0 Replies
915 Views
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Siku moja nlipokuwa nazungumza na mdau mmoja wa michezo kuhusiana na utajiri na pesa inayowekezwa azam nlimwambia hali hii haitadumu sana. Akaniuliza kwa nini. Nlimweleza azam zile pesa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kamati ya usajili ya timu ya Yanga maarufu kama wakimataifa imekaa na kuazimia yafuatayo. 1.Kusajili wacheza vijana zaid. 2.Kusajili wachezaji wenye viwango 3.Kuwatema wachezaji wasio na mchango...
11 Reactions
92 Replies
10K Views
90+4' Mpira umekwisha. Dakika ya 88: Serengeti wanapata mpira wa kurusha, unarushwa ndani ya eneo la 18 la Niger lakini beki wao anaubutua na kuokoa. Dakika ya 81: Presha inazidi kuongezeka...
6 Reactions
197 Replies
19K Views
HABARI njema kwa mashabiki wa Simba ni kwamba kipa bora zaidi nchini kwa sasa, Aishi Manula, amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo akimfuata straika, John Bocco ambaye kitambo...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie...
10 Reactions
95 Replies
11K Views
ROON-DERFUL ... Wayne Rooney scores United's second goal a minute from time FA Cup round-up Oldham, Coventry, Sheff Utd and Huddersfield are all through to the fourth round after...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
'Anelka alichomoa penalti' LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI Nicolas Anelka alikataa kupiga penalti ya tano katika mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya. Mshambuliaji huyo wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bundi wa maisha magumu ameendelea kuzunguka katika mitaa ya Jangwani baada ya wachezaji wake kuanza kulalama chinichini kwamba mshahara sasa umefikia miezi minne. Wachezaji wa Yanga hawajalipwa...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Katika kile ambacho kinaonekana ni kuitengeneza klabu kuwa kwenye mwelekeo sahihi, taarifa ni kuwa Klabu ya Azam imefanya mabadiliko ya kiungozi ambapo Saad Kawemba amewekwa pembeni. Taarifa za...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Back
Top Bottom