Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Msimu wa 2015/2016: Vs Msimu wa 2016/2017:. Kombe la mapinduzi. 2015/2016: Nusu Fainali. 2016/2017: Mshindi wa 2. Ila ni kwa taabu saana, maana nasikia “ndugu zetu” Azam baada ya mechi walilala...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Josep "Pep" Guardiola Sala ametoka bila kikombe chochote katika msimu wake wa kwanza na timu yake ya Man City ,na siku zote mambo yake yanapokwenda kombo humtafuta rafiki yake anayejua kufikilia...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mbao fc aka wood fc Vijana kutoka Mwanza aka Rock city kwanza niwape hongera kwa kuleta changamoto kwenye soka la bongo tulishazoea Fainali nyingi ni Yanga,Simba au Azam ila leo Mmeonyesha kuwa...
4 Reactions
7 Replies
5K Views
Kati ya makocha wazawa wanaonikosha mojawapo ni Meck Mexime,huyu namfananisha kama mkufunzi La Masia kapika wachezaji sana naimani mchezaji ukiwa chini ya meck Mexime upo chini ya mikono salama...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuboronga kwa Serengeti Boys kwenye michuano ya vijana hakuwezi kupita tu hivi hivi kama upepo bila kujadiliwa . Mafanikio ya timu yoyote ya soka kwa kiwango kikubwa huchangiwa na kocha wa timu...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Mwenye matokeo ya GHANA vs MALI U-17 mechi ya Jana anisaidie
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Natumai uzima upo Wakuu naombeni msaada nifanyeje niweze kuachana na huu mchezo wa betting mana nishakuwa adicted natafuta pesa kwa nguvu ila inaishia huko kwnye betting company hata nile kiasi...
3 Reactions
58 Replies
5K Views
As a general rule, every match suspension (of players and other persons) is carried over from one round to the next in the same competition. Sasa Fahk alipata kadi katika mashindano mawili tofauti
3 Reactions
162 Replies
19K Views
WATCH LIVE MATCH | Arsenal vs Chelsea (English FA Cup) 27-05-2017 19:30 - 22:30 | WATCH FULL MATCH FREE CLICK HERE TO WHATCH WATCH LIVE MATCH | Arsenal vs Chelsea (English FA Cup) 27-05-2017...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
UINGEREZA: Klabu ya Arsenal yatwaa ubingwa wa Kombe la Chama cha Soka nchini humo(FA) baada ya kuifunga Chelsea FC kwa mabao 2 kwa 1. Magoli ya Arsenal yalifungwa na Alixis Sanchez na Aaron...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nasubiri mapovu..lakini hawa jamaa sio wa kubeza...tusiwashushe kiasi hicho..
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Namuona mpenzi wa Yanga uwanjani akiwa kabebwa kwenye machela baada ya Simba kufunga goli!Nyie Yanga wanga kweli!
0 Reactions
6 Replies
778 Views
"Aende lakini atakuja kukumbuka Azam wamemfanyia mambo mangapi katika maisha yake!" Boko ni sawa na Santiago Bernabeu wa Real Madrid, alitakiwa amalizie mpira wake palepale kwenye kwenye...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Kila nikisikia Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji akisema anajiuzuru Yanga huwa nawashangaa mno Wana Yanga wanavyoanza kupepesuka huku wakitaka kumlamba hadi Miguu na kumnyenyekea. Sidhani...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Kila mwenye macho ameona kitendo walichofanya Simba cha kususia zawadi ya mshindi wa pili na huku mchezaji akipotea zawadi ya mchezaji bora ikiwa inatoka kwa mdhamini yule yule Je ndo kusema...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Rufaa ya Simba FIFA itaamuliwa lini hadi Yanga isubiri hukumu ya FIFA kupewa kombe? VodaCom nao ni wanafanyabiashara hawawezi kuendekeza kusubiri ushindi wa mezani kutoka FIFA ambao haujulikani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
[https://2] Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, Mei 24, mwaka huu alituma ujumbe Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuipongeza Young Africans ya...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Tarehe 7/05/2017 alifiwa na mke wake kipenzi Taazia: Ibrahim Ajib afiwa na mkewe Leo amefunga ndoa ,hatimaye amepata Mke mpya wa kumliwaza
4 Reactions
32 Replies
10K Views
WanaYanga wote pale mlipo najua mko kwenye sherehe za Ubingwa hongera sana.Rais wa Yanga Diwani Yusuf Manji ameamua kujiuzulu.Manji aliahidi angekarabati Majengo ya Klabu Na Uwanja wa Kaunda...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni kutokana na kuwa baadhi ya wamiliki wa kampuni yao kuwa walishafanya biashara za bahati nasibu na zikafilisika. Pia wengine kuandikwa kwenye magazeti ya Kenya wakituhumiwa kuhusika na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…