Ni ile iliyoanzia dimbani,
Ikahamia mezani,
Ikahamia kwenye kamati zingine.
Leo jioni imemalizika kwa simba kufungwa rasmi 2-1.
#hizi mambo zingehamia kwenye viwanja basi kila mwezi Tz...
Nashauri Kamati ya Sheria za soka ya TFF ipige marufuku timu kukata Rufaa Na hata kama mchezaji ameonyeshwa kadi 100 acheze tu kwani hakuna kulalamika.Sheria itasaidia kuinua Kiwango cha soka letu.
Salaam wana JF
Kwa siku kadhaa sasa kumekuwa na gumzo kubwa juu ya ‘pointi 3’ za Simba Sports Club alizopewa baada ya kushinda malalamiko (na sio rufaa kama inavyopotoshwa) dhidi ya Kagera Sugar...
Pole Mtani nasikia nawakwenu naye kala Ban.
Ningependa kuishauri Tff ipitishe sheria kali kuzuia viongozi wote wa mpira hasa wasemaji wa vilabu vyetu kuacha kuzungumzia mambo ya tff na pia...
Sidhani kama huyubwana anaelewa maama ya ushabiki
Na kama angekuwa ana akili angeshtuka alichofanya Muro na adhabu aliyopita
Sikuamini matusi aliyotoa mbele ya press na TFF ikamkalia kimya...
Kiukwelii CHAMA KIMESHINDWA N HILI SAKATA N KTK HILO NAAMINI KABISA KABISA UNASIKIA AMA USHASIKIA KINACHOENDELEA
BINAFSII SIJAONA AMA KUELEWA KAMATI ZA TFF KWANINI ZINACHELEWA KUTOA UAMUZI WAKATI...
*Beki wa Chelsea aongoza kupiga pasi timilifu*
Katika msimu huu wa ligi ya Uingereza manina ya viungo kama Paul Pogba, Ander Herrera, Ngolo Kante na Jordan Henderson wamekuwa wakizungumziwa sana...
MICHEZO Usitarajie kumuona tena Zlatan Ibrahimovic uwanjani kwa mwaka 2017
By Isack kalindi
Bado wachezaji na benchi zima la ufundi la Man United halitakuamini kwa kilichotokea kwa mshambuliaji...
Nimejaribu kufuatilia ligikuu za Kiafrika nyingi zinafanana tu anzia wachezaji mpaka mfumo mzima wa mpira.
Zamani kuna ligi zilikua bora sana kama vile Afrika kusini vilabu kama Kaizer...
Nashangaa baadhi ya watu kuanza kuingiza mambo ya ukabila kwenye hili suala la Kagera Sugar,hakuna haja acha sheria ifanye kazi yake, mwenye haki apewe haki yake.
Kama Mwamamuzi anasema...
Baada ya siku chache zilizopita kuonekana kwa wasanii wa tasnia ya maigizo wakipaza sauti kutumia maandamano.
Mabingwa wa Ligi Kuu wa Tanzania Bara wa mwaka/msimu 2011/12 leo wamemua kuandaa...
Naona wanasiasa, hasa wa vyama vya upinzani, wakiendelea kujiimarisha katika anga zingine mbali na siasa na safari hii mwanasiasa mwingine wa upinzani, Zitto Zuberi Kabwe nae anatajwa kujitosa...
Kha kila siku sikuizi ni utabiri tu laza ya jukwaa letu La sport inapungua sana maswala mazito zito ya kisport hatuyaoni
Niwaombe wadau wa jukwaa hili la sport tuliboresheni jukwaa letu...