Obrey Chirwa amegoma kukabidhi pasipoti yake, hivyo hatokwenda ALGERIA- SG Mkwasa....
Hii ni dalili mbaya klabuni kwetu, Yanga inashindwa kujiendesha kitaasisi, na haya tuliyapigia sana kelele...
Silvio Berlusconi sells AC Milan bought by Chinese investors
14 minutes ago
FromEuropean Football
Serie A club AC Milan have been sold by former Italy prime minister Silvio Berlusconi to...
Tukitaka soka iwe na nguvu na tusonge mbele lazima japo ni ngumu sana ni muhimu sana kama simba na yanga zinaweza kufa au kusambaratika Maana ni chanzo cha fitina za mpira!
Maajabu makubwa yametokea Leo katika ofisi za TFF wakati katibu MKUU wa Klabu ya Yanga bwa Boniface Mkwasa akiambatana Na wajumbe wa kamati ya utendaji ya Yanga.Kilichowapeleka Bodi ya Ligi eti...
Kanuni ilishawekwa tangu ligi inaanza kuwa mchezaji mwenye kadi 3 atasimama kucheza mchezo unaofuata. Na pia mchezaji mwenye kadi nyekundu ya moja kwa moja anakosa michezo 3 inayofuatia, na yule...
Yangu ilianzishwa miaka mingi zaidiya klabu yoyote hapa Tanzania.Sheria za mpira wanazijua sana.Upatikanaji wa pointi ni pamoja Na kukata rufaa dhidi ya timu pinzani ilikiuka sheria za mchezo...
Maada hii nawaweka hawa mapimbi ambao waliwadhurumu wenzao haki ya kuendelea mbele na sasa Leo wamekutana na watoto wa mjini.
Kwa kifupi psg sio timu kubwa ndiomaana nimeandika kwa herufi ndogo...
Three explosions have hit a bus carrying the Borussia Dortmund football team to their home Champions League quarter-final match against Monaco.
Spain international Marc Bartra was taken to...
Kwa kweli imefika Mahali hizi timu zetu ziwe na vyanzo vyao binafsi vya kudumu vya mapato,haiwezekani timu zinazjiita wa Kimataifa halafu mchezaji anagoma eti Timu imeshindwa kumlipa mshahara...
Under Taker ni mmoja kati ya wanamieleka bora kuwahi kutokea katika WWE akiwa ameshawahi kubeba karibia mikanda yote ya mchezo huo, huku pambano lake la kwanza ikiwa mwaka 1984.
nadhani shabiki...
Mchezaji wa timu ya Kagera Sugar FC, Mbaraka Yusuph Abeid amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom wa mwezi Machi kwa msimu wa 2016/2017.
Mbaraka aliwashinda wachezaji Abubakar...
Habari wadau,
Mimi ni shabiki wa soka. Huwa naangalia mechi zote za mataifa makubwa Ulaya na soka la Bongo nikiwa naishabikia Kagera Sugar.
Sasa katika soka la Ulaya kuna mchezaji matata...
Naona mmejawa na furaha! Endeleeni tu kufurahia.....
Ila napenda kuwakumbusha kuwa kwenye Msimamo wa VPL mko nyuma ya YANGA SC kwa zaidi ya alama 1.....
The fact that
1. Uko nyuma kwa zaidi...