KRC Genk imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kufuzu kuingia robo fainali ya kombe la Europa baada ya kuishinda AA Gent kwa magoli matano kwa mawili
Timu hizo zitacheza mechi ya marudiano...
Uwanja huu unaotumika katika mchezo wa leo wa Europa kati ya manchester united vs Fc Rostov ni uwanja mbovu kuwahi kushuhudia ukitumika kwenye michezo hii mikubwa barani ulaya jana nilisoma habari...
USHAURI WA AKIBA KWA OMOG.
Ubora wako ulithibitika toka ulivyokuja Tanzania pindi ulipokuwa unakinoa kikosi cha Azam(wana ramba ramba) na sasa bado unauthibitishia umma wa simba kwamba wewe sio wa...
Kwema waungwana.
Nimekuwa najiuliza bila mafanikio yeyote kuhusu hii ligi ya VPL, Kwanza naomba kufahamu ni kiasi gani mshindi wa ligi ya vodacom anapewa pale anapotwaa taji hilo.
Gharama ambazo...
MECHI ZA LEO:
Arsenal Vs Bayern Munich
Napoli Vs Real Madrid
MECHI ZA KESHO:
Barcelona Vs PSG
Borussia Dortmund Vs Benfica
Hatua ya mtoano ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, kuendelea leo...
Kwanza kabisa, hamna timu ya mpira siipendi kama barca kwenye hii dunia!! Barca wametoka kwenye 4 bila mpaka kuvuka 16 bora kitu ambacho wengi wetu tulijua ndio mwisho wa barca!!
PSG waliingia...
Habari Jf
Hakika timu za england zinatakiwa kujifunza sana kutoka kwa timu za Spain mana walichoshindwa kukifanya arsenal ndicho walichoweza kukifanya barca,walicheza kwa hari na lengo moja...
wakuu kama mnavyojua ligi kubwa na yenye mvuto katika virabu ni ile ya klabu bingwa barani ulaya inayoendelea kwa sasa je ni Timu unaitabiria itachukua ubingwa itakuwa real Madrid tena? au Timu...
Hatimae ratiba ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) imetoka. Bingwa mtarajiwa wa michuano hii TIMU ya Simba SC atamenyana na Madini FC ya...
Jambo la kushangazi limeibuka laeo katika mchezo wa Yanga na kiluvya ambapo chirwa amefunga goli nne peke yake na kuonekana kama ni mshambuliaji hatari sana katika nchi hii ya Tanzania nikaja...
Wakuu,
Imebidi kutafuta msaada wenu kufahamu ni vigezo gani vinatumiwa na TFF (shirikisho la soka) kupanga mechi za timu za Simba na Yanga kuchezwa mchana tu. Mpaka sasa timu takribani zote...
Nimejaribu kuangalia kwa Umakini hawa Wachezaji wetu kwa sasa,upigaji wa penalti umekua Shida sana kwao na wengi wanabahatisha tu sijui hakuna mazoezi ya kupiga penalti siku hizi
Pale Yanga yupo...
Jumla kuu 10-2,Kwetu 5-1 kwao 1-5,Kuna ulazima wa kuhakiki vyeti vya huyu mzee sio kwa mwendo huu.Na wale mashabiki wake hawachelewi kuingia na Mabango game ijayo MZEE OUT,
Huku kwetu wameanza...
Kwa wale wapenzi wa Mpira kama mimi kuna Channel ndani ya kisimbuzi cha Azam inaitwa UBC inaonesha Mubashara UEFA
Now SEVILLA 1 LEICESTER CITY 0
Furahia mdau wa soka
Habari za jioni?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza faida na hasara nilizopata katika betting,nilianza kubet mwaka 2010 Tangu nianze kubet mpka sasa nimepata faida ya mil23.
Siku ya kwanza...
Club ya chelsea jana imezidi kujiimarisha kileleni mwa ligi kuu ya nchini uingereza baada ya kuinyuka west ham goli mbili kwa moja na kuendelea kuwa tishio kwa timu zenye matumaini ya kuikamata...