Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

10.07.2015.. "Christian Ronaldo wa Uganda".. Okwi, alisajiliwa na SonderjysjkE inayoshiriki Super Liga ya nchini Denmark. Hii ilikuja baada ya wazungu kupagawa kisawasawa na kiwango cha hali ya...
1 Reactions
33 Replies
29K Views
Kamwene wadimi na wanyalu wote wa hapo mshindo na viunga vyote vya mkoa wa Iringa.Niwapongeze kwa kuweza kuirejesha timu ya lipuli kwenye ligi kuu ya vodacom. Nampongeza mwanamichezo DC Kasesela...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Na Cosmasy Choga WENGER:Mashabiki wawe kama wa timu nyingine. Ikiwa ni siku chache kupita toka mashabiki wa Arsenal wabebe mabango yenye ujumbe wa kutaka kocha wa timu hiyo aachie wengine...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Home | Black Inventors | Inventor Resources | Invention Help FAQs | Site Map
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Na Cosmasy Choga Ukiwa shuleni utajifunza mambo ya lensi mbinuko na mbonyeo na kila moja hufanya kazi yake mbinuko kufanya uone mbali wakati mbonyeo kufanya uone Karibu,anyway Soka nalo ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dah,huyu jamaa alitutesa sana simba,enzi hizo mtangazaji akisema"na nambari 11 ni kama kawaida edibily lunyamila!" mapigo ya moyo yalikuwa yana change ghafla kwa kusikia tu jina,akishika mpira ndo...
1 Reactions
83 Replies
29K Views
TIMU ya Kimondo Super SC imeshushwa madaraja mawili (hadi ligi ya Mkoa) na matokeo ya mechi zake zote ilizocheza katika kundi B ya Ligi Daraja la Kwanza (FDL) yamefutwa kwa kushindwa kufika...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
By Nicasius Agwanda Katika ubongo wa mpenda soka yeyote, katika fikra za binadamu anayeufahamu mchezo huu na kwenye macho ya mtu anayesisimka kila anapotazama soka ambayo ndio inayoongoza kwa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Mourinho kocha mreno kwa sasa akifundisha Man utd kipindi chake cha usajili alimsajili Paul Pogba kwa gharama za usajili zilizovunja rekodi ya dunia huku muitaliano naye akimsajili kijana wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Shirikisho la soka baran Afrika CAF leo limetangaza makundi ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ambayo Tanzania imefuzu Katika michuano jiyo...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
WINGA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila leo hii asubuhi amekimbizwa katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kusumbuliwa na kifua na sasa anapumua kwa msaada wa mashine...
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Kuna umbali gani kuzunguka uwanja wa mpira mkubwa mara moja? Nlikua Sina pumzi kabisa lakini nmejitahidi ndani ya wiki Tatu nmeweza kuzunguka uwanja wa mpira wa miguu mkubwa zaidi ya mara 15...
0 Reactions
18 Replies
16K Views
Baada ya kuiponda Cameroon kwenye moja ya makala yake katika gazeti la MwanaSpoti, hatimaye timu ya taifa Cameroon( Simba wasiofugika) hapo jana wamemjibu Edo baada ya kumpiga Ghana 2 - 0. Edo...
5 Reactions
50 Replies
7K Views
Karibuni, Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya AFCON 2017, Njooni tusemezane, Matokeo, news, n.k Groups of AFCON 2017 GROUP A: Gabon, Burkina Faso, Cameroon, Guinea-Bissau Group B: Algeria, Tunisia...
11 Reactions
300 Replies
31K Views
Full Time Lipuli 3-1 Polisi Dar es Salaam Lipuli inafanikiwa kucheza Ligi kuu kwa msimu wa 2017-2018 Wanapaluhengo Oyeeeeee!!
2 Reactions
41 Replies
8K Views
Baada ya dhuruma waliofanyiwa simba kucgezeshwa kwenye uwanja wa ovyo na mtibwa,leo hii wameicharaza maji maji ya mjini songea goli 3-0 na mpira umemalizika! Ahsante simba Kombe msimbazi msimu huu.!
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Moja ya vitu ambavyo wamefanikiwa wachezaji wengi wa kiafrica walioshiriki Afcon ni kuonyesha mitindo ya UREMBO , wengi walionekana walikwenda zaidi KUONYESHA MITINDO YA NYWELE NA KUPAKA RANGI ...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
The SI Staff Thursday January 5th, 2017 Before Super Bowl LI kicks off, before old rivalries are renewed and season-long scores are settled with higher stakes than ever, before anyone enters a...
3 Reactions
126 Replies
11K Views
Frank Lampard(38) ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka ikiwa ni mwaka wake wa 21 ndani ya tasnia hiyo. ===== Former Chelsea and England midfielder Frank Lampard has retired, bringing to an...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…