Baada ya dakika 90 kumalizika kwa mechi kati ya Simba na Ahly Tripol,Mashabiki walianza fujo kwa kurusha makopo na vitu vizito uwanjani huku wakiwalenga wachezaji wa Simba na marefaree na huku...
Uwanja wa Mkapa upo katika ukarabati, jambo lililopelekea baadhi ya mechi hususan hizi mechi za hatua ya awali kutoruhusiwa kutumia uwanja wa Mkapa mpaka hatua ya makundi ambapo vilabu ndipo...
Kiungo mshambuliaji wa Simba Kibu Denis. Nikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benchi. Ondokana na ujinga huu.
Soma Pia:
Kibu Denis anapaswa kulaaniwa na kila mpenda soka
Kibu...
Tumeona jana, baada ya mechi kuisha wale waarabu wametufanyia vurugu sana hata kutuumizia kipa wetu Aishi Manura kwa kumpiga na chupa na kumpasua kichwani. Kuna video zipo kwenye page ya salehe...
Biashara united alimkanda muarabu goli 2 saaafi kabisa lakini kubwa jinga makolo wameshindwa kabisa kufua dafu Kwa muarabu
Je Nini kifanyike .....
Muungwana huchutama ....makolo waweke pembeni...
Mnyama Simba SC, yupo Tripoli, Libya tayari kwa kukipiga na Al Ahly Tripoli, kombe shirikisho Afrika.
Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku.
Kaa karibu na uzi huu ili ujue kila...
Wengi tunajipa hopes kuwa hapa nyumbani lazima wakae.
Wengi tunajipa hopes kuwa kule kwao tulicheza kimkakati ndio maana tumeambulia sare
Wengi wetu tuna ushabiki sana kuliko uhalisia
Guys...
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu...
Serikali ya Ureno imeripotiwa kuwa imetoa sarafu yenye picha ya sura ya Staa wa Taifa hilo Cristiano Ronaldo (39) kama ishara ya kutambua mchango wake katika Taifa hilo.
Sarafu yenye sura ya...
Kuna siku niliwahi kupost kuwa CAF walihuzunika sana msimu ule wa 2022-2023 kwa timu zilizoshindana hasa zile zilizofika mbali katika Kombe la Shirikisho. Hadi ikafikia hatua wakaanza kufikiria...
Azam kuna mgomo baridi wa wachezaji, mbona magoli hawafungi? Wamebakia kuchana mikeka ya watu tu. Mtujuze kama wana mgomo tuachane nao. Na huyo wa kula wali na sukari ndo kwanza tu anazurula uanjani.
Kwa heshima ya nchi tuiombee Simba ishinde leo.
Haiwezekani timu iliyopo top ten ya vilabu bora Africa itolewe hatua hii ya awali tena kombe la Shirikisho.
Nasema no no no and never .
Hebu msikilizeni kwa umakini sana na mpigie mstari hizo tarehe, maana mimi naona tarehe zinarudi nyuma kuanzia mwezi wa nne kwenda mwezi wa tatu. Dakika mbili tu zimeharibu kila kitu.
Anachosema...
π°πππππππππ°
π #CAFCL
β½οΈ Cbe SA π Yanga SC
π 14.09.2024
π Abebe Bikila Stadium
π 15:00 Alasiri
Kikosi kinachoanza dhidi ya CBE SA FC
mpira umeanza
dakika ya 2
dube anakosa nafasi ya wazi...
Unapokisema vibaya CHADEMA huwakomoi akina Mbowe na Mnyika TU bali unaudhi wafuasi wengi sana wanaokiamini CHADEMA na wanaoamini siasa za vyama vingi. Wapo watanzania wengi tunaoamini vyama vingi...
Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.
Wanakutana na bingwa mtetezi na...