Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Umakini unatakiwa kwa kila mtu aliye mpirani wakati anarudi nyumbani . Uchunguzi wangu umebaini kwamba makundi ya vijana yatajipanga kuanzia maeneo ya keko furniture , DDC , BORA , NJIA PANDA YA...
1 Reactions
1 Replies
982 Views
baada ya kutuonjesha ile bure tunataka tupewe tena nafasi ya kuja kuwashangilia kwa wingi,au mna uhakika wa kupigwa tena ili tusije kwa wingi,sema kwa tizi na magazeti yalivyoimaliza hiyo mechi...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
JERRY NA MANARA WATHIBITISHA SOKA SIO UADUI JERRY NA MANARA WATHIBITISHA SOKA SIO UADUI | Mtembezi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Azam Didier Kavumbagu afungiwa soka hadi Disemba kwa kosa la kusaini mkataba na vilabu viwili Vietnam.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Juzi tarehe 13 Julai 2016, Kamati ya Uchaguzi ya TFF katika kikao chake imetoa ufafanuzi juu ya mgogoro unaoendelea katika club ya Stand United kama ifuatavyo:- Kwanza, kamati imepitia vielelezo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Video: Goli alilofunga Sammata Mbwana Samatta ameendelea kuandika historia barani Ulaya baada ya kufunga kwenye mechi yake ya kwanza ya kimataifa kwa ngazi ya klabu barani Ulaya. Usiku wa Julai...
3 Reactions
19 Replies
6K Views
BuenosAires,Argentina. BAADA ya Lionel Messi kutangaza kustaafu kuichezea Argentina watu mbalimbali wamejaribu kuonyesha ni jinsi gani taifa hilo la Amerika ya Kusini litapoteza kitu muhimu nje na...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Thiery Henry ameondoka Arsenal baada ya kuambiwa achague moja kati ya kufundisha vijana wa U-18 au kazi Sky Sports. ======================== Thierry Henry has left Arsenal after giving up the...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hatimae juhudi za Vyombo vya habari vya Uingereza kutaka kutengeneza namna Cristiano Ronaldo aonekane anafanya vizuri katika Mashindano ya kimataifa zimegonga mwamba baada ya Washindi wa Tuzo...
2 Reactions
55 Replies
12K Views
Mabingwa wa hispania Barcelona , wamefanya usajili wa kushangaza wa mchezaji wa Timu ya taifa ya France na club ya Lyon Umtiti . Taarifa za Goal.com zinadokeza kwamba mchezaji huyo mwenye miaka...
4 Reactions
57 Replies
6K Views
Mjadala mkubwa kwa sasa Duniani kwa wapenzi wa mpira ni Man Utd kutaka kumsajili Pogba kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao Msimu ujao. Lakini klabu inayommiliki Paul Pogba, Juventus ya Nchini...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dear all, I am at an early stage of planning my trip to china beijing which is due to last 3 weeks next march. My main interests are Beijing roast duck, visit The Great Wall, the Forbidden City...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
“Sikudhamiria kumuua Reeva Steenkamp ila nilidhamiria kumuua yeyote aliyekuwa chooni. Nampenda Reeva, sikudhamiria kumuu. Hakuna hukumu katika mahakama hii ambayo unaweza ukalinganisha na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
-Mkuu wa kitengo cha habari Yanga SC, Ndugu Jerry .C. Murro amelazimika kukatisha likizo yake na kurejea jijini Dar, ambapo hakuwa na maneno mengi zaidi ya kusema. . " Tulieni wala msijali...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Mimi ni kijana mtanzania, umri wangu ni miaka 27. Nimetokea kuupenda mchezo wa kuogelea na kuhitaji kujifunza ila sijui pa kuanzia. Please msaada kwa anayefahamu.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
ITAKAPOFIKA Oktoba 26 mwaka huu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, atafikisha miaka mitatu tangu alipoingia madarakani akimshinda mpinzani wake, Athman Nyamlani. Kuanzia...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
From BBC Page last updated at 15:08 GMT, Tuesday, 24 May 2011 16:08 UK E-mail this to a friend Printable version Birmingham City pull plug on summer tour of Tanzania McLeish has been...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
FT Pinzolo 0 - 16 Roma half-time: (0 - 9) Match Details Line-ups match details : 5' 0 - 1 Mohamed Salah 9' 0 - 2 Mohamed Salah 16' 0 - 3 Edin Dzeko 17' 0 - 4 Christian D'Urso 19' 0 - 5 Edin...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
tunaizisema sana simba na yanga kutoingiza kipato ili hali wanamashabiki nchi nzima kwa madai timu hizo zinapocheza mashabiki hulipa kiingilio ni kipato tosha kwa vilabu hivyo. leo ligi ya...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…