Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

MABULA (KULIA) AKIPAMBANA NA IDDI MOSHI WA YANGA KATIKA MICHUANO YA TUSKER KWENYE UWANJA WA TAIFA (SASA UHURU) MWAKA 2000). Taarifa ya msiba, inaeleza beki wa zamani wa Shinyanga Shooting na...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Chama langu nawaona sio wale niliowazoea. Kwanza pale mbele wanapangwa warembo tu Ozil,Dlaxer na Gotze hakuna mfia timu pale tofauti na Muller ambaye anapangwa pembeni badala ya kati huku katoto...
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Nimetafakari sana leo baada ya kuangalia lineup ya timu ya Ufaransa na robo tatu ya wachezaji ni weusi tiii ,sasa nimejiuliza sana hivi hiyo nchi hakuna wazungu kabisa maana nina hakika jambo...
5 Reactions
40 Replies
5K Views
Yaani unajiuliza mtashinda ngap? Sio kama wengine wanajiuliza kama watashinda Sisi kwetu ushindi lazima sema tunajiuliza tutashinda ngap?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mh. Nape (pichani) akiwa pamoja na baadhi ya washindi kwenye mashindano ya tennis yaliyofanyika kwenye viwanja vya gymkhana jijini dar es salaam. INAONYESHA DALILI NJEMA KUWA SERIKALI IMEDHAMIRIA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Walitudanganya wataonesha mashindano ya kombe la ulaya(EURO) lakini hatuoni. Nini kimewasibu
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Je hawa startimes wanaonyesha hizi mechi? Na kama wanaonyesha ni kupitia kifurushi kipi??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa ndio watangazaji wa mpira bora watatu Tanzania kati ya 1985-2011. 1.Sued Mwinyi 2.Jesse John 3.Hamed Jongo Vigezo nilivyotumia 1. Kutochosha wasikilizaji. 2. kutokuonyesha upendeleo wa timu...
0 Reactions
59 Replies
25K Views
Jamani mdau wenu ninashida nahitaji kufuatilia michuano ya Copa america Nina kingamuzi cha Star times sasa naulizia ni channel gani ktk star times inaonyesha hizi mechi? Au nisijisumbue Ku...
1 Reactions
50 Replies
7K Views
Natumia smartphone Lumia 530
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninaye Nzi wa uhakika ndani ya ukumbi wa uchaguzi wa yanga afrika . Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi . Yeyote mwenye taarifa za uhakika aweke hapa , usihofie chochote . Kila la heri...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wengi wanaamini kwamba hii itakuwa mechi ngumu , lakini bila kumung'unya maneno kiukweli hii ni game ya one way traffic. Kwa namna yoyote ile waingereza japo tunawapenda ( nadhani kwa vile...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Waziri wa michezo wa urusi Vitaly Mutko, anasema kuwa anaelewa kuwa huenda taifa lake likapigwa faini na shirikisho la soka la bara ulaya kutokana na tabia isiyofaa ya mashabiki wa timu ya taifa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wazee wenzangu wa mikeka na majamvi, bet advisor ipi ni poa!?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ina maana kuna siku Kocha Hans anaweza kugombea kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga?
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanandinga wenzangu hasa wapenzi wa kabumbu la kimataifa euro 2016 ndo hyo imesogea, embu kila mmoja aseme atasimama na chama gani....mimi huwa napenda kusima na underdogs au ile wanaita Dark...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kuna swali linanisumbua sana kichwa changu nataka kujua kwa kirefu zaidi JE WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA WANALIPWA?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Italy nawapen saportbyajutosha nnachohitaji mrud na ndoo nyumban tuuuu wote kwa pamoja semen.mungu ibark Italy Chileeeeeee pia hapa saport yakutosha nawapa mrud na ndooo nyumban sote kwa pamoja...
0 Reactions
1 Replies
514 Views
habari wadau wa kikapu.. baada ya drama nyingi za march madness playoffs... college basketball season ndio inafikia mwisho this weekend... div 1 basketball final four ni mojawapo ya tukio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu! Wana Simba SC, kuna kitu LAZIMA tukubali. Kuna ule msimu tulienda bila kufungwa mechi hata moja na kutwaa ubingwa, pia tulimpa kipigo cha paka mwizi mtani wetu wa jadi Yanga, ila toka...
8 Reactions
46 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…