Ndugu,
Kama utakuwa mfuatiliaji wa mpira wa miguu nchini basi si ajabu kwamba katika kichwa chako utakuwa unamkumbuka vema ombwe la uongozi lililofinyanga utendaji wa shirikisho la soka nchini...
Tuwe hapa pamoja kupeana updates.
Vile vile na Azam yupo Shinyanga dhidi ya Mwadui.
-------------------------------------------------------------
FT:COASTAL UNION FC 1-2 YANGA FC
MWADUI FC 5-7...
Kumetokea malalamiko kutoka kwa wapinzani wa yanga kwamba ina bebwa na marefa na TFF, haya malalamiko sio sahihi kwani usajili wa yanga kwa aina ya wachezaji iliopata ni wazuri wanafanya timu...
Pia kwako waziri wa habari , utamaduni,vijana na michezo. MHE F Makangala , mnasema mmepata barua toka FIFA ikiulizia serikali kuingilia shughuli za TFF na inatishia...
MACHI 4, 2007 wakati Grupo Desportivo Sagrada Esperança ikichapwa mabao 2-1 na wenyeji Petro Huambo katika Ligi Kuu ya Angola, maarufu kama Girabola, Yanga nayo ilikuwa ikiwasulubu mabingwa wa...
Nimekuwa nakifuatilia sana kipindi cha michezo kinachorushwa Na Redio ya Times FM Na kutangazwa Mtangazaji Ndimbo.
Mtangazaji huyu aliwahi kuwa Afisa Habari wa Klabu ya Simba Na baadae...
Katika kuangalia kwangu mechi mbili za Yanga kwenye michuano ya mapinduzi cup naona dhahiri shairi kuna upendeleo kwenye timu ya Yanga.
Hili ni tatizo na nasema kabisa haitaweza kufanya vizuri...
Baada ya kutolewa na Al Ahly kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika timu ya Yanga sasa kupambana na Esperanca ya Angola.
Utaratibu wa CAF ulikuwa kama ifuatavyo;
Timu nane (8)zilizofuzu kutoka...
Baada ya kuangalia mechi za Young Africans vs. Al Ahly ya Misri na Azam vs. Esperance ya Tunisia, nimegundua mambo kadhaa. Kwanza, imedhihirisha kiwango kidogo cha soka ya ligi yetu. Ukiangalia...
Habari wanajamvi?
Katika mechi ya leo,kwa wale waliobahatika kuangali watakubaliana na mimi ya kua Yanga wamecheza mchezo mzuri na wa kiwangi cha juu mpaka kuwafanya waarabu washangae na kuanza...
Kwenye game ya jana wakiwa nyumbani kwao dhidi ya Torino aliingia uwanjani dk ya 86 , timu yake ya Roma ikiwa nyuma kwa 2 - 1.
akafunga goli la kusawazisha dk hiyohiyo ya 86 na akapachika la...
Wadau natumai hamjambo na wazima wa afya, langu jioni hii ni dogo tu lakini ni kubwa sana kimtazamo, ni hivi karibuni pamejitokeza hali flani ya kishabiki ambayo si nzuri kwakweli katika mikakati...
Posted by: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Posted date: 4/16/2016 08:59:00 AM / comment : 0
Kiungo wa Azam FC, Farid Mussa (kushoto) akiwa na mmoja wa viongozi wa timu, Abdulkarim Amin ''Popat'...
Nimecheki video facebook jinsi wazungu washabiki wa Southampton wakiimba wimbo kum-praise mwana East Africa mwenzetu Victor Wanyama.
Inafurahisha kwakweli.
"ASANTENI KWA KUJA..... ILA CHA MOTO
TUMEKIONA....."
MAMBO 10 NILIYOYAGUNDUA BAADA YA MECHI
YA YANGA UGENINI:
1. HANS VAN DEL PLUJIM
kiukweli hapo zamani sikuwahi kumkubali huyu
mzee hata kidogo...
10. Caroline Wozniacki
9. Anastasia Luppova
8. Michelle Wie
7. Becky Hammon
6. Anna Rawson
5. Ana Ivanovic
4. Alicia Sacramone
3. Alex Morgan
2. Alana Blanchard
1. Brittney Palmer...
Shirikisho la Soka la Nigeria linakabiliwa na mzozo wa uongozi. Mwanamume aliyefariki ameteuliwa kusimamia mechi ya soka nchini Nigeria ambayo itachezwa Jumapili, mwandishi wa BBC anayefuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.