Et nimesikia baadhi ya klabu zinadai kuwa wachezaji watano tu wa kimataifa hawatoshi kuipa timu
uwezo wa kupambana na timu kubwa Afrika mfano TP Mazembe.,. Hii hoja ina mantiki kweli?
Hebu...
Nooj hajui lolote.Si kwamba tulikuwa tunafanya vizuri saaaaaana ila sasa hivi ni too much!
Kama wakati wa Kim Poulsen tulizifunga timu Kubwa tu Cameroon,Zambia,Moroco na hizi Rwanda na Burundi...
Hili jambo linanitatiza kidogo, Nchi ya Marekani haijulikani kama nchi maarufu kwa mchezo wa huo kipenzi cha wengi hapa Duniani soka ambao unaratibiwa na FIFA yenye makao yake Makuu huko nchini...
Hahah Wazungu bhana! Haya za motomoto kutoka Zurich ni kwamba kwa sasa uchaguzi wa FIFA ambao unampa uwezekano mkubwa mpiganaji Sepp Blatter asiyetakiwa na mayahudi ya Marekani kushinda...
Licha ya kulitumbukiza shirikisho la Fifa kwenye kashfa ya rushwa. Blatter anaungwa mkono na nchi maskini za Asia, Amerka kusini na Afrika. hii inaashiria nini?
Tofauti, nchi tajiri za bara la...
FIFA corruption probe targets 'World Cup of fraud,' IRS chief says
CNN)Allegations of corruption at FIFA are nothing new to those who follow the international soccer organization. But what was...
Hii ni ajabu sana Marekani, Kanada, Australia na sijui kanchi kanaitwa New Zealand wamekataa kumpigia kura kura Sepp Blatter na wameamua kumpa kura Mwarabu ajulikanye kama Ali bin Al Huseni kutoka...
Taarifa hii imetolewa na mwanahabari Omari Katanga kupitia ukurasa wake wa Facebook, pengine kwenye kipindi cha michezo cha EFM tutapata taarifa kwa kina.
Kwa sasa habari iliyopo ndio hiyo...
kwa kweli maelezo ya ramadhani singano mesi kuhusu utata wa mkataba wake na simba inasikitisha sana kwanza anaishi kwenye skwata amenyimwa pacent yake kiujumla mkataba viongozi wa simba wamefoji...
Klabu ya Azam FC imefanya mabadliko makubwa ya watendaji na kidogo kwenye mfumo wake wa uongozi, ili kuleta tija na mafanikio kwa haraka klabuni. Utekelezaji wa mabadiliko hayo unaanza mwezi huu...
nashangaa timu ya simba inapomsajili mchezaji lazima wasaini kwa bwana mkubwa hans pope ofisini kwake badala ya ofisi ya klabu ya simba kama wanavyofanya timu ya Yanga usajili saini wanasaini...
Penguin mmoja tu ndo anaipa arsenal ushindi ila wengine wote wame-concentrate na bucket la Aston Villa kwamba ndo itashinda na kubeba ndoo ya FA mbele yetu pale wembley. Naomba waseme wamekosea!
kuna imani kuwa namba ya jezi huwa na thamani yake inapovaliwa na mchezaji na hutakiwa kutumikiwa
NAMBA 10
messi
roben
james
zidane
dinho
NAMBA 9
ronardo delima
fernando torres(enz...
MANNY PACQUIAO (PACMAN) amefunguliwa mashtaka na watu wawili katika Mahakama ya Wilaya (District Court), Jimbo la Nevada, Marekani kwa kosa la kuwadanganya walionunua tiketi, watazamaji wa kwenye...
Kocha Carlo Ancelloti ametimuliwa kazi Real Madrid kwa kusemwa kuwa hakupata kombe lolote mwaka huu. Kocha anayepewa nafasi kubwa kumrithi Ancelloti ni Rafael Benitez wa Napoli.
Benitez...
ukifatilia baadhi ya wachezaji wanavyolalamika kwa jinsi wanavyofanyia na viongozi wao utasikitika
wachezaji wazawa wanalipwa mshahara kidogo malipo ya nyumba ya kuishi wanaahidiwa hawapewi...
tumisikia kauli ya ramadhani singano na maelezo ya bwana mkubwa Zakaria hans pope kuna figisufigisu.
kama mnania nzuri kwa wachezaji wa kibongo mwacheni aende anakotaka kama nje au tunasikia...
Nimeamini kweli hakuna urafiki ama uadui wa kudumu,kinachomatter ni maslahi tu,kutokana na skendo ndani ya FIFA, hatimae MICHEL PLATIN anamuunga mkono Prince Alli kesho kwenye uchaguzi wa Raisi wa...
Happening now!!
Kwa wale wapenzi wa soka pambano ni kati ya Dnipro vs Sevila na hadi sasa mpira ni mapumziko huku timu zote zikiwa zimefungana 2:2
Karibuni