Leo ndo pazia la ile ligi maarufu duniani (hapa kuna wanaopenda kuita ligi bora) linafungwa rasmi.Hii ndo ligi inayofuatiliwa na watu wengi Tanzania na duniani kwa ujumla.
Toka ilipoanza Agosti...
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0 na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa...
Well, mimi si mshabiki sana wa soka lakini inanibidi niwe mshabiki kwa kuwa Gozi langu linapenda soka.
Kwa ubishi tu na si kwa ushabiki wa dhati, siku hiyo mimi nilikuwa nawashangilia Ujerumani...
Trh 16/05/2015, Mkurugenzi wa Ufundi wa Stand United, Kanu alidai wametenga 350m kwa ajili ya usajili msimu huu!!
Juzi kaibuka na kudai wapo kwenye mazungumzo ya kumsajili Juma Kaseja kwa dau la...
Vyanzo vyangu vya habari vimeshikilia kwa nguvu kubwa kuwa Carlo ancelotti ataiongoza Real Madrid kwenye mechi ya mwisho msimu huu wa ligi kuu ambayo ni ya mwisho pia msimu kwa Real Madrid na...
Rais wa Tff Jamal Malinzi,watanzania tulio wengu tulikuwa na matumaini makubwa pale ulipochaguliwa kuongoza taasisi hii ya sok hapa nchini.
Lakini hali imeendelea kuwa dhoofu kila kukicha hakuna...
Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa...
Ambaye anaona kuna la maana alilofanya jamal malinzi tangu aingie tff naomba asaidie kutufaamisha na kutuelimisha...binafsi naona tangu malinzi awe laisi (sio raisi) ofisi za tff zimekuwa jumba la...
The countdown is nearly over, it is that time of the year when fanatics the world over will be swept away by sheer football mania when Berlin will stage the most enticing footballing spectacle...
wadau tz tunameshapigwa hadi muda huu,hivi kwel huyu kocha anaefundisha timu yetu alipotoka kuja hapa alikuwa kocha au muuza nyanya?
Kwasababu timu ni ya kwetu kuna haja ya kwenda kumpokea kwa...
Tottenham player, Emmanuel Adebayor, has continued to reveal some of his family issues through his usual Facebook page.
It would be recalled that the Striker had recently released the part 1 and...
.
Amesema hata kama Liverpool watakuwa tayari kumlipa Sterling paundi 900,000 kwa wiki bado hatosaini mchezaji huyo.
Amesema Sterling anataka kuondoka timu hiyo.
Na atajiunga na...
A MOMENT OF SILENCE...
Wednesday, May 18, 1994 was the day that Johan Cruyff's Barcelona - dubbed 'The Dream Team' - were supposed to become immortal.
This was a side that had won four...
Nanukuu.. "Naambiwa pale TFF hawazungumzi lugha moja, Martin Nooij anazungumza na watu wawili tu katka ofisi nzima nao ni, Jamal Malinzi na mshauri wake wa masuala ya kiufundi, Peleginius...
Huyu Eddo Kumwembe.
Huyu Edo Kumwembe jinsi anavyonikoroga mimi katika makala zake Fulani Fulani ni hivyo hivyo angemkoroga na Advocate Kumwembe, nimeisha muonya mala nyingi lakini mbishi...
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo inashuka dimbani kucheza mchezo wake wa pili dhidi ya timu ya Taifa kutoka Madagascar, mchezo utakaochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng majira ya saa...
Pamoja na kuibeza Yanga kuhusu malipo ya Azam Tv, Simba nao wamestuka kupitia kwa mwenyekiti wao wa kamati ya usajili.
Habari kamili fuata link:
HANS POPPE ASEMA WAKO TAYARI KUKAA MEZA MOJA NA...