Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Msanii Ommy Dimpoz arudishwa 'Airport' nchini Marekani baada ya kutokuwa na kibali cha kufanya show. Habari zilizotufikia zinasema Dimpoz alikataliwa kuingia nchini humo baada kushindwa kufwata...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Mshambuliaji wa PSG Zlatan Ibrahimovic amekashifu vikali tabia ya wachezaji wa Chelsea ya kumzingira refa katika mechi yao ya muondoano katika ligi ya mabingwa ya Ulaya. Akizungumzia tabia hiyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
(CNN)"This is going to be a test for Serena Williams. We're going to find out what she's made of. How mentally tough she really is." Those were the words of tennis analyst Mary Joe Fernandez in...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Tuachie yanga yetu usije ukatuua kwa shinikizo la damu au sonona, timu haiitaji fedha, inahitaji spirit! Tumekuvumilia sana tumekuchoka. #Manjiout
0 Reactions
43 Replies
7K Views
napenda niwape pongezi waandishi wa michezo kwa kuchambua vizuri makosa na uchezaji wa mpira wa miguu hasa mechi ya simba na yanga. kuhusu makapu anayesema alishindwa kucheza anamtindio wa ubongo...
0 Reactions
2 Replies
67K Views
Ni mechi ya kirafiki itakayopigwa leo pale CHAMANZI STADIUM saa 16:00 jioni, SIMBA S.C vs BATA BULLETS F.C ya MALAWI. Bata bullets f.c wanatumia mchezo huu kujiandaa na mashindano ya caf...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Kocha mkuu wa klabu ya Polisi Moro SC, Mohamed Rishard Adolp amefungashiwa virago na uongozi wa klabu hiyo kufuatia kile kilichoonekana kuwa timu yao kushindwa kufanya vizuri katika ligi kuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
James Milner is reported to be worth an estimated $9 million for Manchester City. City assured him a huge five-year, $40 million contract, which worth about $165,000 a week. Although he has only...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samahani sana wakuu ila mi ni mmoja wa wale wanaoamini hiyo ligi iko so overrated, so huwa nafurahi sana linapojithibitisha hilo. Kwa matokeo ya jana it's safe to say no english club has...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa utafiti ulioendeshwa na gazeti la Uhispania la AS, asilimia 32.2 ya mashabiki waReal Madrid wakoradhi kumwona mchezaji bora wa mwaka huu Christiano Ronaldo akiondoka. Utafiti huo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ushindi wa Simba dhidi ya Yanga goli 1-0, ushindi wa Athletic dhidi ya Real Madrid goli 1-0 na ushindi wa Arsenal dhidi ya Man U goli 2-1 wiki hii kama wewe ni shabiki wa timu hizo zilizofungwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Timu za Kiluvya United ya Pwani, Mbao FC ya jijini Mwanza, Mji Njombe kutoka mkoa mpya wa Njombe na Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma zimepanda Ligi Daraja la Kwanza (FDL) baada ya kuongoza katika misimamo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari zenu wadau? samahani nilipenda msaada juu ya kuzijua sheria za volleyball
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Katika mkutano wao mkuu, kilitokea kioja ambapo watu wazima walitokwa na aibu na kuamua kujidhalilisha hadharani kwa kuamua kupiga magoti na kumlilia YM ili kumuomba agombee tena uenyekiti. Bila...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu Manji amefungua mashitaka akimtuhumu Musley kumsukuma mwanaye na kumjeruhi mara tu baada ya mechi ya watani Yanga dhidi ya Simba ambao waliibuka na ushindi wa bao 1-0. Sasa kituko kipo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana kandanda. Naomba mwenye ule wimbo wa ''Naipenda yanga mimi shabiki wadamu" Naomba link au faili . Ahsante
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu jamaa naona ndie mchambuzi bora kuliko wote wa mpira TZ anaujua mpira hana sifa na mbwembwe za kijinga nimesikia pia ni kocha sijui anafundisha wapi na ana historia ipi ya mpira but so far...
3 Reactions
56 Replies
44K Views
ALIYEKUWA kocha wa Ndanda FC, Denis Kitambi ameula kwa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam, baada ya kupewa jukumu la kuiongoza timu hiyo. Habari za uhakika kutoka Azam jana zilisema Kitambi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Yule mchezaji wa Ruvu Shooting, George Michael, ambaye wiki kadhaa zilizopita alifungiwa na TFF kucheza mechi tatu kwa kosa la kumkaba koo na kumnyanyasa mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe, leo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bahtez, Kelvin Yondani, Mbuyi Twite, Husein Javu, Dan Mranda, Mrisho Ngasa na Amis Tambwe. Hawa waliichezea timu ya Simba hivo wanafahamika mapungufu yao ndio maana ni rahisi Yanga kufungwa na Simba?
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…