Sio sababu tuh ni shabiki wa Arsenal naona Arsenal ushindi ni 75%......kuacha Ozil, wachezaji majeruhi muhimu kurudi itaboost shambulizi Nyumbani Emirates, kama winga ya kulia Walcott, midfielder...
Baada ya Ethiopia kujiondoa kuwa mwenyeji wa michuano Soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na kati CECAFA mwaka huu, Timu ya Taifa ya Tanzania, taifa Stars imevunja kambi ambayo ilikuwa ni...
Mwenye taarifa za mchezo tunaomba watujuze tujue chama letu limefanya nn leo
Mshauri wa masuala ya kiufundi wa Rais wa TFF, Jamali Malinzi, Pelegrinius Rutahyuga.
TIMU ya soka ya taifa, Taifa...
The sign posted outside the Parokia Ya MT. Martin Wa Porres church seems to forbid parishioners from wearing the distinctive red jerseys
United supporters may want to stay home if the club ever...
Kama ukijaribu kuangalia na kutafiki kwa kina utaweza tambua ya kwamba wanamuziki wa kikenya wanabadilika kutoka aina ya muziki wao (genge) na kuanza kuimba katika miondoko ya bongo flava...
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa ya Afrika, timu ya taifa ya Nigeria, imekosa tiketi ya kushiriki fainali za kombe hilo kwa mwaka 2015 nchini Guinea ya Ikweta baada ya kutoka sare nyumbani ya...
katika shindano linaloendelea la mtani jembe mpk sasa yanga waanaongoza kwa ulevi kuliko simba sasa ndugu zangu nyie leweni tu lakini okwi anawasubiri uwanjani
A policeman appears to strike a fan with his baton as Ivory Coast fans invade the pitch at full-time in Abidjan
In the foreground, fans clamber over the crossbar in celebration at their team's...
Hatimaye Kocha Mkuu wa Mbeya City Council kaachia ngazi. Akiongea na TBC Taifa Juma Mwambusi amesema mengi yamesemwa, yeye pamoja na familia yake wametafakuri na kuamua kuwa kuachia ngazi kwake...
Tukubuke Azama TV walivopata taabu ya kukubaliwa kuonesha mechi za Ligi kuu hata hivo wakafanikiwa na kulipia gharama stahiki mpaka leo. Sasa TBC inaonesha ligi daraja la kwanza uwanja wa Karume...
Kati ya majiji makubwa hapa tz yani ikitoka dar basi mza inafuata ki uhalisia mza ilitakiwa kuwa na timu hata mbili za ligi kuu.....! Cha kushangaza hatuna timu hata moja...! Tim zetu za pamba na...
Fifa has submitted a 'criminal complaint' to Switzerland's attorney general after a two-year investigation into possible World Cup corruption.
The complaint concerns individuals linked to awarding...
Wakuu salam
ivi jamani hamuoni ichi kipaji cha haruon moshi maarufu kama boban kinapotea bure
ivi kweli amekosa washauri mpka anapotea kiasi ichi?
me naamini soka la Tz bado linamuitaji sana...
EQUATORIAL GUINEA MWENYEJI WA ‪#‎AFCON2015‬
Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF limeitangaza Equatorial Guinea kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika baada ya...
Sasa uwanja wa Karume unatumika kwa mechi za ligi daraja la kwanza cha ajabu uwanja huo licha ya kuwa ofisi za TFF zimo humo lakini hilo hawalioni ni hatari mno kwa wachezaj kwani hauna uzio wa...
Wasallaaam wana JF!!
Kupitia akaunti yao (Azam TV) ya Facebook hizo ndio chaneli zitakazokua zinapatikana kwenye king'amuzi chao,wao hawajaweza kusema bayana kama watakua wanachaneli ya kuonyesha...
Hot photos of Jessica Olsson wife of Dirk Nowitzki in 2014
Hot photos of Jessica Olsson wife of Dirk Nowitzki in 2014 - with sister Silke Nowitzki and mother Helga Nowitzki
The following is a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.