Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Eti sisi ni watu wa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake!
2 Reactions
12 Replies
317 Views
Yaani kisa tu ni haki ya Zanzibar kama nchi. Timu ya JKU inafungwa hata na timu ya mitaani kwangu Karagwe. Kwahiyo JKU inajiona kwasasa ipo juu kuliko Simba ambayo ipo Shirikisho. Timu ya JKU...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Full Time: JKU 0-6 Pyramids | CAF Champions |Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 18.08.2024 8' 0 - 1 Mayele F. 14' 0 - 2 El Karti W. 26' 0 - 3 Mohanad Lasheen 32' 0 - 4 Adel I. 2nd Half ' 0...
2 Reactions
7 Replies
620 Views
Mbona mashindano yaliyojizolea umaarufu Africa yajulikanayo kama African Football League (AFL )hayatangazwi mpaka sasa? Inamaana baada yakumuonesha mwaka jana msimu huu wamefuta ?
1 Reactions
9 Replies
733 Views
Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆 Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa...
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Half time huko, wazenji washakula 4-0 dhid ya Pyramid huku Mayele akiwa kashaingia kambani
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Leo kuna jambo nitalisema kwa sababu nimelitafakari muda mrefu hasa baada ya msimu uliopita kuisha. Katika msimu wa 2022-23, msimu wa mwisho wa Che Malone Fondoh akiwa na Coton Sport ya...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Inasikitisha sana kuona hatuna medali hata moja ya dhahabu taifa lote hili. Hebu fikiria jinsi vijana wanavyoshinda gym kila siku.Fikiria uwekezaji huo hivi ni kwa ajili ya ngono tu?Ijapo hata...
17 Reactions
37 Replies
729 Views
Maoni, serikali iruhusu halmashauri za wilaya, manispaa au jiji kama zinajiweza basi zijenge viwanja vya mpira ili kuendelea kukuza vipaji vya soka na kuendelea kutusahaulisha shida nyingine za...
1 Reactions
5 Replies
569 Views
Namkumbuka huyu Mzee wa Simba jinsi alivyokuwa na hasira na Yanga hadi muda wote yeye yupo mitandaoni kuikashifu Yanga. Ni kama Feisal Salum jinsi alivyo na hasira na Yanga. Muda wote anawaza...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Matajiri wa Chamanzi wamepata code za mechi za KIMATAIFA, watakiwasha na mabingwa APR ya Rwanda kwenye CAFCL Preliminary Round. Azam FC wanakikosi EXPENSIVE Africa Mashabiki na Kati. #TUMEIPATA CODE
5 Reactions
76 Replies
3K Views
Azam wana timu nzuri lkn hawana uwezo wa kuitoa APR mashindano, issue sio kocha ishu iko katika menejimenti. Nna uhakika this time Dabo anakwenda na maji. Kama akiondolewa na APR and this is no...
4 Reactions
5 Replies
344 Views
1. Team nyingi shiriki zinatoka nchi ndogo kisoka kama Chad, Somalia, Sudan,Sheli Sheli 2. Hakuna sheria za offside, mchezaji akizidi haina tatizo 3. Ni mashindano mara nyingi yanafautiliwa na...
4 Reactions
13 Replies
641 Views
Ukimya huu una maanisha nini?? Hakuna hata ushauri au mnasubiri SIMBA, YANGA na AZAM tu?
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Duke abuya is overated. he plays a huge role in yanga poor attack . abuya can't be played with aziz ki, max or Aucho, The midfield gets less service with Abuya on the field. Gamondi should have...
8 Reactions
154 Replies
5K Views
Mjumbe hauwawi. Nimeikuta sehemu wadau wa Tabora UTD wakiilalamikia TFF kuwa wamekuwa wakichelewesha leseni za wachezaji hasa wa kigeni kwa makusudi kwa maslahi yao. Hili limeikumba Tabora UTD...
4 Reactions
21 Replies
950 Views
I couldn't watch the match between Singida Big Stars and Ken Gold due to the surroundings of the pitch. The environment is so bad that it's unwatchable. What does TFF do with the money they earn...
1 Reactions
3 Replies
301 Views
Wanasimba hongereni kwa Tamasha zuri mmeujaza uwanja wa Mkapa yani ni full House najua Mnafuraha sanaa Kwa kuiona Timu yenu ikipata matokeo kwenye siku ya “simba dei”. Ubaya ubwela unaufanya...
2 Reactions
8 Replies
678 Views
Salaam alaikum wakuu Baada ya kushuhudia soka safi la Caf Champions Ligi mechi Bora sana za kiume ambazo mpinzani anapigwa goli nne. Lakini bado anapambana kuliko makolo nimejikuta najiuliza...
5 Reactions
47 Replies
882 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…