Rais mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi katoa mpya leo kwa kutojua jina la nchi iliyocheza na Stars jana.
Baada ya kwisha kwa mchezo Malinzi alitoa matokeo ya mechi hiyo ktk...
Wachezaji wanaounda kikosi hicho cha Tanzania Bara ni makipa Deogratius Munishi (Yanga), Ivo Mapunda (Gor Mahia, Kenya) na Aishi Manula (Azam). Mabeki ni Erasto Nyoni (Azam), Himid Mao (Azam)...
Mtu huyu Aden Rage
Wacha nimwongezee dulu Bwana Baraka Mbolembole katika makala yake ambayo nimeisoma kupitia blog ya Shafihi Dauda kuhusu mtu huyu Rage na mikakati yake inayoshindwa. Aden...
Nimepita mitaa ya msimbazi na kukuta makundi makubwa ya wapenzi na wanachama wa Simba wakirusha maneno ya shutuma dhidi ya viongozi waliofanya mapinduzi. Kilichonishitua zaidi ni pale walipokuwa...
Self-imposed chairman, Joseph Kinesi reveals that the ex-Gor Mahia tactician is expected in Tanzania on December 1 to sign a long term contract Former Gor Mahia coach Zdravko...
NAIROBI, KENYA: Indeed it was a great achievement for Gor Mahia FC to win the 2013 Kenyan Premier League title after 18 years.
Since they were declared champions few weeks ago, Gor Mahia have...
Baada ya kudengua kupokea mkwanja toka azam tv na tff kuwakaushia,hatimaye katibu wa yanga mwalusako ameenda bodi ya ligi kuomba hela ya udhamini. Bodi ya ligi imewaambia waandike barua ili wapewe...
Wanajamvi tumejadili sana soka humu jamvini, weng mnachangia vzuri na kwa facts. Ila mimi binafsi namkubali mchangia mada anayeitwa TCleverly, jamaa anaandikaga michango yenye tija sana humu...
Taarifa zilizothibitishwa kutoka Katika klabu ya Simba ni kwamba kamati ya utendaji ya klabu hiyo imemsimamisha mwenyekiti wa klabu Ismail Aden Rage kuongoza timu hiyo.
Kuhusiana na sababu...
Kufuatia kikao kilichokuwa kikiendelea kakika Club ya Simba maamuzi yamefikiwa ikiwa ni pamoja na kumsimamisha Mwenyekiti Aden Rage katika nafasi yake kwa kwenda kinyume na kanuni na taratibu za...
Wana michezo!
Naomba kufahamishwa ratiba ya hizi mechi kwa muda wa kwetu Tanzania.
1. Burkina Faso vs Algeria
2. Ghana vs Egypt
3. Portugal vs Sweden.
Nkuu Sinde, Nduguyenu.
Watani zetu Simba...... hivi huyu kada wa CCM Aden Rage amewalisha nini?
The guy has been repeatedly goofing affairs in your club, and with impunity, lakini naona mnamwangalia tu.
Embu...
Group A
Kenya
Ethiopia
Zanzibar
South Sudan
Group B
Tanzania
Zambia
Burundi
Somalia
Group C
Uganda
Rwanda
Sudan
Eritrea
Michuano kuanza tarehe 27, mechi ya ufunguzi...
Habari zenu wadau,
tafadhali naomba msaada wenu , mimi ni mnazi mkubwa wa clabu ya simba na Man united, nataka kununua Jezi zao ila sijui duka gani naweza kwenda kununua latest jezi za hizi clubs...
Kocha wa timu ya taifa stars Kim Poulsen ameteua wachezaji 32 kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Kenya na atachuja wachezaji hao kupaki nao 20 watakaoenda kucheza michuano ya CECAFA nchini...
Young Africans Sports Club almaraafu kama Yanga imefanikiwa kumsaninisha mkataba wa miaka mitatu kiungo Hassan Saleh Dilunga kutoka timu ya Ruvu Shooting ambapo mchezaji huyo ataanza kuitumikia...
Wana JF mimi binafsi naona ujenzi wa Uwanja wa Uhuru ambao bado unaendelea mpaka sasa japo kwa taratibu si wamuhimu sana. Kiukweli huwezi boresha viwanja viwili ambavyo vimepakana hapa nazungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.