Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Yani nimeamini maisha bila unafiki hayaendi. Suala la kipa juma kaseja kuachwa na simba na baadae kusajiliwa na yanga limenidhihirishia namna tasnia ya soka ilivo na unafiki hasa wadau wake...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Oct 29, 2013 1:54:00 PM Gor Mahia will receive the 2013 Kenya Premier League trophy on Sunday at Moi International Sports Centre, Kasarani, after their match against KCB...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
The restaurant is a market place of ideas, dreams and quick deals as thick clouds of cigarette smoke swirl around the dimly lit room. Sodas are slowly sipped while alcohol flows freely and tongues...
1 Reactions
29 Replies
49K Views
Sijaridhika na adhabu walizopewa Mbeya City hasa mbili zilizohusisha vurugu toka kwa mashabiki. Mfano ile vurugu iliyoihusu mechi na Prisons, mashabiki kadhaa waliisha fungwa na mahakama sasa TFF...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Katika kujiandaa na bonanza la CECAFA nchini Kenya kocha wa timu yetu ya taifa alishauri mechi ya kirafiki na Harambee Stars ichezwe Arusha, lakini tunasikia mechi hiyo imehamishiwa Dar kwa kuwa...
0 Reactions
7 Replies
879 Views
Mtani jembe inaendelea kama kawa,watu wanazidi kuhamisha mipesa wenyewe wanasema unawaibia wapinzani.Mwanzoni mwa zoezi hili Simba walionekana kuiba pesa nyingi sana kutoka Yanga kwani mashabiki...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Eti kwa mnavyo ona na kufikiria ni timu gani ya tanzania na ulaya inayo ongoza kiwa na mashabiki wengi,hata kwa kuangalia uvaaji wa jezi ww unafikiri ni timu gani zina washabiki wengi.kwa upande...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana spoti habari! Naomba kufahamishwa mechi ya leo ya Portugal Vs Sweden inachezwa muda gani??
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba mnisaidie kupata game la draft, natumia simu yenye adroid (samsung).
0 Reactions
0 Replies
775 Views
mwenyekiti wa Simba leo akiongea kwenye kipindi cha michezo cha Radio 0ne amesema mchezaji Emmanuel Okwi alishasaini mkataba wa makubaliano na Etoile du sahel mara baada ya kufikisha miezi sita ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wiki hii tff kupitia bodi ya ligi ilifungia viwanja kadhaa kwa sababu mbalimbali. Mojawapo ya uwanja huo ni wa arusha-sherk amri abed kwa sababu ya pichi.. Madoadoa yanaanzia pale tff hiyohiyo...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
THE LIFE OF AN ARSENAL FAN FOR THE PAST 9 YEARS ....Lol. Who's to blame ??? MAY. With Champion’s League football secured they usually close the month of May with this familiar sentence “ngojeni...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
TFF leo wametoa taarifa ya kuvifungia baadhi ya viwanja ambavyo vimekuwa vikitumiwa na timu mbali mbali zikiwemo zile zinazoshiriki ligi kuu Tanzania bara. Baadhi ya viwamja hivyo ni Sokoine...
1 Reactions
61 Replies
4K Views
Raisi Nkurunzinza wa Burundi ni mcheza mpira wa miguu mzuri mno.Kama kuna timu ingependa kumsajili kucheza naye msimsahau jamani.Video yake uwanjani hii hapa chini mumpime kamati za usajili...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Angetile Osiah Siku chache baada ya Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka (TFF) aliyepewa likizo ya lazima, Angetile Osiah kulalamika juu ya kitendo alichofanyiwa na kamati mpya ya utendaji ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
In iganga, a staunch Arsenal football fan is looking for a home for his family after he lost his house in a bet over a game between English clubs Arsenal and manchester united. Before the game...
0 Reactions
3 Replies
943 Views
Jamani Dunia nzima inashangilia kwa ushindi dhidi ya Arsenal.hakika hakuna aliye kiwa ametalajia kama Man u itawajambisha Arsenal kiasi hicho.Duu Wenger kadata ni baraaaa.Arsenal hana historia ya...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Tujikumbushe kidogo..... Tarehe kama ya leo 13 novemba 1991 katika uwanja wa taifa timu ya dar yanga africans waliingia uwanjani na basi la sharuksy, lililokuwa linamilikiwa na mfadhilli wao wa...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kila la kheri jumamosi bado mchezo mgumu mnaweza kupunguza idadi ikarudi 3 lakini matokeo kamili ntayatoa jumamosi asbh
1 Reactions
94 Replies
7K Views
Mchezaji soka wa mabingwa wa Afrika wa timu ya Al Ahly ya nchini Misri, Ahmed Abdul Zaher ametupwa nje ya mechi za klabu hiyo baada ya kuonekana kumuunga mkono rais aliyeondolewa madarakani...
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Back
Top Bottom