Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jamaa walitoa tahadhari mapema wakasema,mikong'oto heavy ni Kwa ajili ya Vibaka na Walanguzi walioshindikana hapa Barani Afrika,yeyote atakaye ingia kati wakati mikong'oto hiyo ikiendelea...
8 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuelekea kufungua ligi mkamaria nimeanza kama hivi nasemaje ama zangu ama za sporty bet msimu huu
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Nimepata idea ya kutengeneza game la mpira ambalo litakuwa na leagues za tz tu na pia commentator atakuwa anaongea kiswahili na pia viwanja vitakuwa vya Tz.Je nauliza kama kuna sheria ambazo...
4 Reactions
15 Replies
484 Views
1.Timu yetu ina wachezaji wazuri na wenye uwezo wa kutuletea mafanikio msimu huu, jana kwangu naona upangaji wa kikosi haukuwa mzuri, kwa mfano Yanga wameonekana wakomavu kwa sababu wanategemea...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Katika kuwaenzi na kuwapongeza wanamichezo wetu huko Olimpiki NI wakat sasa Bombardier ipeleke Medali za Tanzanite Paris bila kukosa.
1 Reactions
3 Replies
353 Views
Copa America inaanza tarehe 20 June na kutamatika July 14. Moja ya mashindano kongwe kabisa yakianza 1916 Mataifa 16 yatakiwasha kumpata mbabe kwa mwaka huu wa 2024. argentina na Uruguay ndiyo...
13 Reactions
370 Replies
20K Views
Siyo wachezaji wa kiwango na matamanio ya Simba SC. Wana makosa ya kitoto sana na hawana maajabu uwanjani Ni takataka kabisa
9 Reactions
103 Replies
3K Views
Emmanuel Wanyonyi (20) ameshinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 800 kwenye Olimpiki za Paris Agosti 10, 2024. Inadaiwa ndio Mshindi mwenye umri mdogo zaidi kushinda katika mbio za mita 800...
1 Reactions
5 Replies
763 Views
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Hadhi ya Wachezaji, wachezaji watatu wa Simba wamewekewa Pingamizi na vilabu tofauti. Yusuph Kagoma, Awesu Awesu na Valentino. Pingamizi la Kagoma ni Yanga...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Aisee kwa boli lile mutafika mbali sana msimu huu wa mashindano ya CAF. Lakini na nyinyi lambalamba mnazingua bhana munafungwaje migoli ya kidwanzi Kama ile. Azizi Ki umekuwa kocha mchezaji...
3 Reactions
8 Replies
757 Views
Ukiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara. Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
3 Reactions
10 Replies
690 Views
Waziri Ndumbaro hafai popote huku kwenye michezo ndo hafai hafai kabisa analeta migogoro na anazidi kuharibu... Juzi watanzania waliona kilichotokea kwenye boxing....Ugomvi wa kibishara WA...
15 Reactions
26 Replies
1K Views
Kama kuna kitu kinaudhi nchi hii ni namna mambo yanavyofanyka kiajabuajabu ukiachikia mbali yale mataifa yanayotuzidi sana kiuchumi hata hawq jirani zetu unagundua wako serious sana na mambo yao...
0 Reactions
3 Replies
278 Views
Naandika nikijua wasio na ABC ya sheria wanitupia mishale lakini sijali. Lakini Kwa mara ya Kwanza tunashuhudia Migogoro ya usajili ya mwaka 1994 ikirejea 2024 Kwa timu ya Simba kuwa na...
0 Reactions
8 Replies
750 Views
Huyu dada ni balaa. Kipaji kikiwa "fully utilised" haya ndiyo matokeo yake. 3 time Olympic Champion 3 time world Champion Commonwealth Champion African Champion World Record holder Olympic...
0 Reactions
1 Replies
223 Views
TETESI, muda wowote kuanzia sasa mshambuliaji FISTON MAYELE anaweza kutambulishwa ndani ya klabu ya Simba SC, ✍️Hii ni baada ya Kocha mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids, kuomba aongezewe mshambuliaji...
1 Reactions
12 Replies
948 Views
Taarifa kutoka kwa viongozi wa Clatous Chama wamedai kiungo Mshambuliaji wa Simba amefanikiwa kutia saini ya mwaka mmoja na Mabingwa wa ligi kuu ya NBCPL ambao ni Yanga. kwahiyo Chama msimu ujao...
5 Reactions
63 Replies
5K Views
Olympics Gold Medal tally Tanzania: 0 Kenya: 4 Ethiopia: 1 Uganda: 1 Burundi: 0 Rwanda:0 DRC: 0 S. Sudan: 0
6 Reactions
10 Replies
543 Views
Kuna hii tabia iliyopo kwenye boxing, huku kwenye boxing watu watakushabikia ukiwa unashinda tu, ukipigwa imekula kwako. Kwenye boxing shinda hata mapambano 100, ila kaa ukijua siku...
3 Reactions
11 Replies
916 Views
Mchezo wa Ngao ya Jamii kutafuta mshindi wa tatu mchezo unachezwa uwanja wa Benjamin Mkapa kati ya Coastal Union dhidi ya Simba SC. Dakika 2, Mpira umeanza kwa kasi kubwa sana. Dakika 5, Simba...
13 Reactions
327 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…