Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally Tunawaomba match yeny...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Mara ooh, timu imeimarika tofauti na mwanzo. Ooh, timu ina wiki nne na ikifikisha miezi itakuwa tishio. Ooh, Aziz Ki hajatembea kwenye mikimbio yake. Jamani, ya nini kujieleza na maelezo mengi...
4 Reactions
4 Replies
409 Views
Mtanzania Magdalena shauri ameshika nafasi ya 40 mbio ndefu km 42 olimpiki paris.
2 Reactions
10 Replies
523 Views
Wadhamini wa legi na timu zote kwenye ligi wananufaika kupitia Simba na Yanga. Mapato ya viwanjani ya timu zote yanapatikana wanapocheza na Simba na Yanga. Washabiki wananunua visimbuzi na...
3 Reactions
13 Replies
631 Views
[emoji599]KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI : 1. Timu tunayo ni suala la muda tu 2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio 3. Mbona hamjatufunga tano 4. Azam anachukua hili kombe 5...
12 Reactions
39 Replies
1K Views
Kiufupi mashabiki na nyie mnapenda stress za hovyo; look Yanga ni Timu bora kwa sasa na wapo serious kwamba wanataka kuachana na traditionnal football na hawana muda na political football. SSC...
4 Reactions
19 Replies
824 Views
LEO, saa 3:30 asubuhi sehemu ya wanariadha watakaokimbia katika Olympics wamo Watanzania pia Alphonce Felix Simbu na Gabriel Gerald Geay Mashindano haya Olympic yanaruka mbashara kupitia #ZBC2...
8 Reactions
320 Replies
5K Views
Tukiwa taifa mwenyeji wa mashindano yajayo ya AFCON nilitegemea maandalizi makubwa sana katika mashindano haya ya Olimpic niliona kwenye vyombo vya habari kwamba Waziri wetu wa michezo aliambatana...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Honorable Minister, we would like to put it in your attention existence of the following facts; 1. That, since 2002 Tanzania Olympic Committee’s current top leadership has been in power...
0 Reactions
3 Replies
437 Views
Tumsikilize huyu Mwamba, Mwanaharakati wa michezo Tanzania hususani Riadha.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
1. Simba SC vs Coastal Union: Predictive score: Simba SC 3 - 0 Coastal Union Simba SC is expected to win comfortably with a strong performance. 2. Yanga SC vs Azam FC: Predictive...
2 Reactions
6 Replies
666 Views
My Take King Majuto, Katrina wa Dareda-Karatu na Joti kazeni buti,la sivyo mtapotezwa katika tasnia ya komed
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Vumbi limetawala hapo Namfua Stadium. Misomisondo amefunika ila tatizo vumbi la Singida. Mwageni maji basi.
4 Reactions
27 Replies
860 Views
Mwanamieleka wa Cuba, Mijaín López Núñez, amekuwa mwanariadha wa kwanza kushinda medali tano za dhahabu mfululizo katika Michezo ya Olimpiki. Baada ya kushinda kwa pointi 6-0 katika mieleka ya...
4 Reactions
6 Replies
972 Views
Dirisha bado halijafungwa, Simba tafuteni mbadala wa Fredy na Ngoma Tu, Halafu Kazi Imeisha Kama umeangalia mpira sina cha kuongeza, nawakilisha kama ilivyo hapo juu. Soma Pia: Usajili wa Freddy...
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimeangalia mechi ya man city vs man utd kiukweli hatujapata burudani ya kutosha kutokana na kwamba kuna baadhi ya wachezaji ambao walitumikia timu zao za taifa hawakuwepo kwa sababu ya...
1 Reactions
0 Replies
208 Views
Kwenye mbio za marathon kidunia huyu Eliud Kipchoge ndio GOAT anacho kila kitu anazo dhahabu,mshaba na fedha Sio Olympic, commonwealth na kadhalika kote amepita na umri umemtupa mkono , kitendo...
2 Reactions
7 Replies
575 Views
Wale wafuatiliaji wa Epl leo tar 10/8/2024 ndio ufunguzi wa ligi inayo anza tr 16/8/2024 . Uwanja: Wembley Mechi ishaanza HT :Man city 0-0 Man united 0-1 Garnacho dk 82 1-1 Bernado dk 89 FT...
2 Reactions
17 Replies
757 Views
... 💰💸 Viingilio fainali ya Ngao ya jamii : ◉ 30,000 ›› VIP (A) ◉ 10,000 ›› VIP (B) ◉ 10,000 ›› VIP (C) ◉ Mzunguko ›› 5,000. ℹ️ Mechi itachezwa Jumapili baina ya timu mbili kubwa zilizoko...
7 Reactions
13 Replies
729 Views
Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na...
7 Reactions
22 Replies
843 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…