Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

baada ya miaka mingi kupita bla ya kupata ubingwa sasa naona mashabiki wa kweli wa liverpool ndoto ze2 za kupata huo ubingwa unakaribia hiyo jumapili 2takapo cheza fainali ya carling cup na...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
hadi dk ya 85 arsenal anaongoza kwa bao 5!kwa 2
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ivi kweli gadiola ndo kamshindwa morinyo? inaonekana sasa bacelona inatoka kwenye mbio zakuusaka ubingwa wa hispania hawezekani uachwe point 3 mpaka zinafika kumi. hii ni aibu kwa kocha kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
'' Mara tu baada ya mazoezi kabla ya timu kuelekea nchini Panama,kocha mkuu wa Sounders bwana Sigi Schmid aliniita na kufanya naye mazungumzo ya takribani dakika kama 20 hivi,kimsingi alikuwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mechi kati ya taifa stars na DRC inakaribia kuanza hapa uwanja wa Taifa. Nitakuleteeni live up date. Nyimbo za taifa ndo zinzpigwa na sasa wimbo wa tanzania unapigwa baada ya ule wa Congo
1 Reactions
51 Replies
5K Views
Miaka ya 80 ndipo Africa ilipoanza kuvuma ktk ulimwengu wa soka hasa pale FIFA world cup ya 1982 ambapo Algeria na Comeroun ziliwakilisha Africa. Cameroun, ingawa ilitolewa mapema, haikupoteza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna taarifa kwamba yule mwanadada wa twiga starts SOFIA MWASIKILI ameshindwa kucheza mpira Uturuki kisa eti ftt imemnyima itc,mwenye taarifa kamili afunguke hapa.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Source:Wambura Kayasema hayo wakati akichangia mada kwenye malumbano ya hoja ITV
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hongereni sana kwa kuwa na vifaa vya kutosha na vya kisasa(camera)za kuonyeshea mpira live,hususani kama huu wa leo wa taifa stars na congo drc,picha zilikuwa safi,utadhani super sport!sio wale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kusikia matangazo meengi ktk mechi iliyopita kati ya Yanga na Zamalek yanatangazwa na wapiga hela nikajua tushaumia. Hiv umati wote ule na hela tuliyotangaziwa vinaendana kweli...!
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Wana JF. Nimekuwa nikijiuliza sana kwini kuna tatizo gani kwa huyu bwana mdogo toka aingie NBA mwaka 2009 alikuwa 2nd pick overall na Memphis Grizzlies na sasa yuko Houston Rockets performance...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
huyu mchezaji denis mwape *simpendi..hivi Yanga mmemtoa wapi huyu kituko hebu tuondoleen haraka.Changamkeni kama simba mchezaji akizingua wanamuondoa fasta.alaf huyo papic anapedelea wachezaji...
0 Reactions
1 Replies
889 Views
UKARABATI SHAMBA LA BIBI WAENDELEA
0 Reactions
1 Replies
4K Views
mapato ya mechi ya yanga na zamaleki, yametangazwa kuni ni milion 280!!huku wadau wengi wakipata wasiwasi na kiasi hicho kutokana na kampuni ya prime time promotion kusimamia pambano hilo na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
chelsea yapata kipigo toka kwa napol,ktk michuano ya kombe la uefa.kwa timu hii hata wafanyeje,inaonekana kama kuna mgomo baridi hivi,yaani wachezaji hawajitumi kabisa!nadhani kocha wa chelsea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
For those true boxing fans, we talked about this in 2010, it seems Pacman is now facing a "reality bite" Manny Pacquiao insists he'll fight Floyd Mayweather but offer was financially unacceptable...
0 Reactions
3 Replies
929 Views
Nadhani kwa mliowahi uwanjani siku ya mechi ya Yanga na Zamalek mlijionea miongoni mwa vituko ni yule babu aliyevalia American Suti (kwa muonekano alikua mithili ya mjumbe wa KAMATI YA UFUNDI)...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
serekali wawekeshe kwenye soka la wanawake wanaume vimeo kila siku waonikifungwa tu hata hawafiki popote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kumtafuta mrithi wa Marcio Maximo Kocha wa Zambia Herve Renard aliomba kuifundisha Taifa Stars lakini TFF wakasema hakidhi vigezo (hana qualification), ikabidi wamuajiri Poulsen. Tujiulize...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…