Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni nani wakulaumiwa!!!!!!!!!!! Kati ya kocha na wachezzaji. Kama nafasi za kufunga wamezipata!!!!!!! Nani alaumiwe na nini kifanyike
0 Reactions
1 Replies
889 Views
NEW YORK: Jeremy Lin came with an intriguing story even before he escaped the New York Knicks' bench. First American-born NBA player of Chinese or Taiwanese descent. Harvard graduate...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
BREAKING NEWZ: Kutoka Uwanja wa Taifa. Mashabiki wa Ndala a.k.a Malapa wameenda kukaa jukwaa la Wekundu Simba Taifa kubwa na hawataki kutoka na wanaleta Vurugu huku wakiacha upande wao ukiwa...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Vurugu kubwa zimeripotiwa mara baada ya mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Coastal Union na Ruvu Shooting.Katika vurumai hiyo,Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting,Charles Boniface Mkwassa amepokea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
''This is the worst Arsenal team I have seen in my time watching football. There is a lack of desire and a lack of passion." Roy Keane
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma habari za michezo mtanadoni naona kuna boing mzimbabwe leo anapambana na Klitschko. Since kuondoka kwa Tyson boxing imekuwa haina msisimko mkubwa tena kama ule wa zamani watu...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Mabao mawili ya Karim Benzema,moja la Cristiano Ronaldo na lile la Angel Di Maria yalitosha kuipa ushindi wa 4-1 timu ya Real Madrid dhidi ya Racing Santander na kuifanya iendelee kuongoza ligi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Great performance my boy Chisora. you exposed Vitali big time. He is on the decline and you are on your way up. Keep working hard. you've got a big opportunity if you stay focussed...
0 Reactions
3 Replies
953 Views
Chisora has the tools to upset Klitschko Dereck Chisora is a huge underdog against Vitali Klitschko, but he's still confident he can upset the odds Preparing for an upset...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
washika bunduki wapata kipigo cha mabao 2,toka kwa sundaland,na kuiaga michuano ya FA,huyu mzee ameshindwa kazi kwanini wasimfukuze?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu mapambano ya awali nda yanaanza sasa hv then baadae tuone mrusi na muingereza nani zaidi maana walizozana sana wakati wanapima uzitoi hawa jamaa juzi!
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hawa ndugu zangu naona wameishiwa kabisha..zamaleki wameshafungua domo kumeza hili kandambili wao wamebakia kutafuta wimbio sijui taarabu gani hata siwaelewi elewi. anzisheni bendi kabisa tujue...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
wakuu nisaidieni matokeo ya mechi ya simba, kwa aliye weza kuyapata.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
kila la heri wazee wa jangwani kwenye bwawa aka mafuriko.. soon tutawawekea streams za chanel za kiarabu humu: enjoy
0 Reactions
45 Replies
5K Views
wananchi na wana JF kwa ujumla Kuna mechi muhimu sana inaendelea katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam na mpaka sasa yanga iko mbele kwa bao moja bila.hii ni mechi ya kutafuta klabu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
mwinyi kazimoto anaipatia simba bao la kuongoza hapa kigari
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Ndugu zangu tuweke pembeni tofauti zetu. Mafanikio ya klabu yoyote ni sifa kwa taifa, japokuwa kwa upande fulani itakupain. Tuweke tofauti zetu kwenye vodacom ligi. Mungu zibariki simba na yanga...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Leo ni zile mechi za kimataifa ambazo zitazechwa na vigogo vyetu vya soka hapa nchini Tanzania. Yanga itakuwa nyumbani kucheza na Zamalek ya Misri katika kombe la Klabu Bingwa wakati simba itakuwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jangwani wananishangaza sana na staili yao ya kushangilia ,kuna uhusiano gani kati ya Jangwani na CCM? heri mimi nitabaki kuwa mshabiki wa Manyema United ... :lol:
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hivi mnajua kuwa drogba na torres hakuna aliyewahi kufunga goli mmoja wapo akiwa akiwa uwanjani. yani drogba hajawah kufunga goli torres akiwa uwanjani, labda atolewe au awe benchi. na hvyo hvyo...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…